Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kwa wenzetu nchi zilizo endelea mtu hawezi kukukomoa kukuadhibu sababu yeye ako na madaraka au kuwa Karibu na top leader,
Kwenye Katiba mpya kiwekwe namna mtumishi akionewa akashtaki kwenye Tume asikilizwe.
Ila uzuri yupo Mungu mwenye nguvu zote asopendezwa Na uzalimu.
Kwenye Katiba mpya kiwekwe namna mtumishi akionewa akashtaki kwenye Tume asikilizwe.
Ila uzuri yupo Mungu mwenye nguvu zote asopendezwa Na uzalimu.