Ungepeleka ujumbe huu kwa watu wasiojulikanaMungu hadhiakiwi...! Vyote vilivyomo duniani ni mali yake. Chagua maneno vizuri ya kutumia mahali popote hapa duniani. Una bahati sana umepata furusa ya kukumbushwa hili.
Musukuma alisema ni mbegu za mwanaume mwingineHahahaha lakini nasikia hata siyo wake ila watu wamefanya yao
Issue ni hivi by Sky Eclat's voice: Mtoto raha yake ukojolewe Sky EclatLeo Mhe Paul makonda Amepata Mtoto wa Kiume. Vyovyote utakavyofikiria Ila Mtoto ni wa Makonda.. of course mie sina Mapenzi sana Na Mkuu wa Mkoa Huyu but NajiulizaHawa Watu wawili Jamani wanajisikiaje huko walipo
Unajua Kuzaa Na Kuwa na Watoto ni baraka ila Linapokuja Swala la Mwingine kumtafuta kwa Tabu sana halafu Mtu Mwingine anambeza na Kumtukana na Kujiona Yeye pekee ndo anaweza Kuzaa wengine hawawezi Mungu naye anakuabisha Mwisho wa Siku
Mange Kimambi alikuwa Mstari wa Mbele kumtukana makonda naKumwambia hana Uwezo wa Kuzaa ... Musukuma naye Bungeni lilipoibuka swala la madawa ya Kulevya Alitoa Lugha za Kejeli kwa mkuu wa Mkoa Wa Dar kwamba " Raha Kuzaa Bwanaaaaaa"
Sijui hali zao Zipoje huko baada ya Leo Mkuu huyo wa Mkoa Kupata Mtoto wa Kiume
Exactly, haya ya chupa sawa na Ng'ombe hayanogi, hata ukimtazama usoni mtoto huoni ule utamu wa mtoto! Ni hiyo basi tuHaswaa umsikie anavyotoka kiunoni
Masikitiko yangu ni ile generation curses kwa huyu mtoto. Wafunge na kuomba sana Mungu aifungue. Baba amejitengenezea maadui wengi sana.Nadhani sasa atakua binadamu yale matendo ya kutekana nakutupwa kwenye viroba na watu wasiojulikana yatapungua maana furaha aliyoipata kwa mtoto na uchungu anaopata mwanae akiteseka ndo uchungu wanaopata wazazi wa sàanane,lissu,nk
Wonderful walahi!
TrueWanajisikia aibu.Ingawa hawawezi kukiri
Achana na jirani yangu Lowasa wewe!Kuna watu walidai Lowassa angekufa kabla ya uapisho
Kumbe mimba imeingizwa kwa sindano? Mkukii wa bosi hausimami au hautemi?Baada ya wazungu kushindwa mchina kafanikisha,mtoto wetu huyo maana kodi zetu zimetumika
Afu mtoto nasikia ni wa kiume. Nitajiridhisha nikiangalia msambwanda wake... kama ni chura au mjusi.Naomba niulizie na hospital aliyojifungulia mkuu wakikujibu niambie maana mm sijui.
Mange anaua watu?Makonda ana mapungufu ila bora kuliko mange na hao wajinga wengine
Kama mtoto wake asingetaabika namna ileAcha walopoke, siku Makonda akimwonyesha live, chata ni yake, hawa hawa watadai ni wa kaka ake .
Hao ni wala NchiMkuu, wewe ndio Mrs makonda nini?!
Wanajifanya hawakumbuki unyama wa huyo jamaa yaoUngepeleka ujumbe huu kwa watu wasiojulikana