Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Mungu hadhiakiwi...! Vyote vilivyomo duniani ni mali yake. Chagua maneno vizuri ya kutumia mahali popote hapa duniani. Una bahati sana umepata furusa ya kukumbushwa hili.
Ungepeleka ujumbe huu kwa watu wasiojulikana
 
Watanzania wanapenda sana udaku( Habari zisizo rasmi)
Habari ya udaku hata iwe na page 100000 Mtanzania lazima aisome na kuimaliza!!!!.....

Watu wachache wameshaona fursa kwenye kasumba hiyo na wanapiga hela kwenye hilo....wakina Shigongo na Shilawadu!!!

Watanzania tuna aleji na taarifa rasmi , tunapenda taarifa z kunong'onezana pembeni.....na ndio zinazoaminika

Tanzania a wonderful country
Tanzanians are wonderful people
 
Leo Mhe Paul makonda Amepata Mtoto wa Kiume. Vyovyote utakavyofikiria Ila Mtoto ni wa Makonda.. of course mie sina Mapenzi sana Na Mkuu wa Mkoa Huyu but NajiulizaHawa Watu wawili Jamani wanajisikiaje huko walipo

Unajua Kuzaa Na Kuwa na Watoto ni baraka ila Linapokuja Swala la Mwingine kumtafuta kwa Tabu sana halafu Mtu Mwingine anambeza na Kumtukana na Kujiona Yeye pekee ndo anaweza Kuzaa wengine hawawezi Mungu naye anakuabisha Mwisho wa Siku

Mange Kimambi alikuwa Mstari wa Mbele kumtukana makonda naKumwambia hana Uwezo wa Kuzaa ... Musukuma naye Bungeni lilipoibuka swala la madawa ya Kulevya Alitoa Lugha za Kejeli kwa mkuu wa Mkoa Wa Dar kwamba " Raha Kuzaa Bwanaaaaaa"

Sijui hali zao Zipoje huko baada ya Leo Mkuu huyo wa Mkoa Kupata Mtoto wa Kiume
Issue ni hivi by Sky Eclat's voice: Mtoto raha yake ukojolewe Sky Eclat
 
Nadhani sasa atakua binadamu yale matendo ya kutekana nakutupwa kwenye viroba na watu wasiojulikana yatapungua maana furaha aliyoipata kwa mtoto na uchungu anaopata mwanae akiteseka ndo uchungu wanaopata wazazi wa sàanane,lissu,nk
 
Nadhani sasa atakua binadamu yale matendo ya kutekana nakutupwa kwenye viroba na watu wasiojulikana yatapungua maana furaha aliyoipata kwa mtoto na uchungu anaopata mwanae akiteseka ndo uchungu wanaopata wazazi wa sàanane,lissu,nk
Masikitiko yangu ni ile generation curses kwa huyu mtoto. Wafunge na kuomba sana Mungu aifungue. Baba amejitengenezea maadui wengi sana.
 
Hongera sana mkuu wa mkoa wa Dar kwa Baraka ya mtoto.
 
36728042_430639927418449_2637048892553691136_n.jpg
36566439_224045988238264_249400281203212288_n.jpg
 
Laana za shekhe ziko kazini walahi!
Albadini hilo limewakumba walahi!
 
Back
Top Bottom