Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

We cho'oko usidhani matusi yanuzwa kima wewe!! Badala ya kujibu hoja, umebaki kumwaga matusi! Halafu mbona unaumia sana Jiwe akisemwa?! Au ni mke mwenza wa Mrs Jiwe wewe?! Btw, kama unaona mbona umeshindwa kujibu maswali niliyokuuliza? Pumbavu sana shenzi wahed wewe!
Maswali ya kipumbavu nenda kamuulize basha wako.
 
Sukari ipo bandarini anataka kulazimisha iwahi. Huyu nae ana matatizo si watumie iliyopo? Hawa ndio wanaomharibia kazi JPM
Baada ya kuwazulumu korosho wamakonde sasa mambo yamehamia kwenye sukari

Huwa anapenda kutengeneza tatizo halafu anakuja kulitatua ili asifiwe
 
achana na Chige akili yake ni ya wale wanaopinga kila kitu akishirikiana na mamluki wa Ubelgiji
Honera kwa Magufuli kutupunguzia makali ya umeme sijui leo tungekuwa wapi
sasa CORONA inawapelekesha wengi lkn ulitabiri Mataifa na Mabenki yasamehe madeni na Corona inawezekana tukaishi navyo

Kwa bahati mbaya hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye uwezo wa kujenga na kutetea hoja! Kama kapunguza makali ya umeme, jibu maswali ambayo mwenzako ameshindwa kujibu: Je, tangu ameingia amejenga power plants ngapi, zipo wapi na zinazalisha MW ngapi!
 
Mie situmii umeme wa bure, sijui mwenzangu unapata wapi umeme wa free, itabidi Tanesco wakufuatilie, nyie ndio wezi wa umeme mnaolitia hasara shirika letu.
Mliacha kumfuatilia Herbindder Sigh na yule Mhaya jirani yake JPM mkashangilia
kweli wewe ni mtoto wa shule bado Vyuo vikifunguliwa urudi ukasomee uCHADEMA
Kabla ya Magufuli ilikuwepo Tozo ya kila mwezi kukaa na Mita ya Tanesco hiyo bado unailipia?
Leo ndio unaona tanesco wanapata hasara kwa kukosa Tozo hilo.
Wakurugenzi wa Tanesco walikuwepo waliotaka kuendelea na mgawo wakatumbuliwa mmoja wapo mjomba wako na wezi wakubwa wapo ndani
Magufuli Mungu amuongezee maisha na atawale kipindi kijacho
 
Baada ya kuwazulumu korosho wamakonde sasa mambo yamehamia kwenye sukari

Huwa anapenda kutengeneza tatizo halafu anakuja kulitatua ili asifiwe
Sukari hamna tatizo. Imeshaingia ya kutosha. Watu wamepanic tu. Kwani kwenye korosho alidhurumu?
 
Jibu swali kima wewe... unakazwa na Jiwe na ndio maana unafikia kutukana watu ukiona anapigwa vitofa?
Kwa bahati mbaya hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye uwezo wa kujenga na kutetea hoja! Kama kapunguza makali ya umeme, jibu maswali ambayo mwenzako ameshindwa kujibu: Je, tangu ameingia amejenga power plants ngapi, zipo wapi na zinazalisha MW ngapi!
Mkuu hasira za nini na matusi
wewe lile Tozo la kila mwezi unalipia bado
hayo Makampuni ya Wizi waliokuwa wanatuchuna na kila siku bei kupanda ungeyadhibiti na kuyatumbua
huyo Ruge na Sigh ungewaweza
Nchi ilishapotea kaa mkubali, Magufuli hajaongeza lolote ila kudhibiti kidogo kilichopa wanyonge km wewe utumie mtandao wa JF kutukana 24/7
 
Sana. Watu wametajirika sana.
Jumanne Kishimba alikuja na huo mpango nasikia aliutoa Zimbabwe
Ila mazingira ndio yanakoma majaruba yote yamejaa Cyanide

Yaani mchele ukipimwa umejaa Mercury na Cyanide kwa viwango vya juu sana halafu mvua zikinyesha maji yanaelekea ziwani
Samaki wamejaa sumu usiseme kabisa afya zinaporojeka kila kukicha
 
Mkuu hasira za nini na matusi
Kwanini usimuulize mwenzako ambae baada ya kushindwa kujibu maswali niliyomuuliza, akaanza matusi!!
wewe lile Tozo la kila mwezi unalipia bado
Silipii... sasa cha ajabu hapo ni kipi? Tatizo lenu huwa hamfuatilii mambo vinginevyo mngejua gharama kadhaa zilianza kuondolewa na Muhongo Awamu ya IV. Kwanza walishusha bei za kuunganisha umeme, pia wakaja kushusha hadi Sh.27,000 kwa watu wa vijijini!
hayo Makampuni ya Wizi waliokuwa wanatuchuna na kila siku bei kupanda ungeyadhibiti na kuyatumbua
Kwani hayo makampuni tumeacha kutumia umeme wake?! Au unazungungumzia IPTL ambayo imepelekea serikali kutakiwa kuilipa Standard Chartered USD 185 Million? ingawaje hata hivyo mkataba wake ulishaisha?
huyo Ruge na Sigh ungewaweza
Nchi ilishapotea kaa mkubali, Magufuli hajaongeza lolote ila kudhibiti kidogo kilichopa wanyonge km wewe utumie mtandao wa JF kutukana 24/7
Danganyaneni wenyewe kwa sababu anayefuatilia anajua bado mambo ya hovyo hovyo yapo pale pale!

NI Magufuli huyo huyo ndie alinunua kivuko kibovu.... hayo tuyaache!

Alipoingia tu madarakani likaibuka sakata la LUGUMI.... taja hapa serikali ya Magufuli imefanya nini?

Kila siku Magufuli wamebaki kupiga kelele kwamba nchi iliharibika! Kila mmoja anafahamu wezi wakubwa nchi hii ni Top Government Officials and High Profile Politicians.... nitajie Mwanasiasa mmoja TU na top government officials mmoja TU ambao wamefikishwa mahakamani kutokana na tuhuma za ufisadi!!

Kila mmoja anajua Ruge na Singh wapo mahabusu almost 3 to 4 years now! Na kila mmoja anajua hawa jamaa hawakwenda pale BoT na vifaru bali walishirikiana na wale wale niliowataja: Top Government Officials and High Profile Politicians.

Again, nitajie Top Government Officials mmoja TU and High Profile Politician mmoja TU waliounganishwa na ile kesi!!

Juzi tu hapa tukasikia sakata la Lugola... sie wengine siku ile ile tukasema wazi kwamba kelele za Magufuli kuhusu ufisadi, target yake ni wafanyabiashara ili baadae wawachomoe pesa, na Watendaji wa serikali wa ngazi ya kati kuja chini!

Again, tuambie sakata la Lugola limeishia wapi?!

Pamoja na hayo, jibu swali langu la msingi: Tangia Magu aingie madarakani, amejenga plants zipi na zinazozalisha MW ngapi!

Jibu kwanza hayo maswali, vinginevyo case closed manake sioni sababu ya ku-argue na watu wasiojibu wasichoulizwa! Sana sana nikikubanisha sana na kushindwa kujibu, huenda ukafanya kama mwenzako... kukimbilia matusi badala ya kujibu hoja!
 
Jumanne Kishimba alikuja na huo mpango nasikia aliutoa Zimbabwe
Ila mazingira ndio yanakoma majaruba yote yamejaa Cyanide
Tatizo hawana zile carpet za kuweka kwenye mabwawa. We busindi na Bugarama plant kibao unategemea nini?
 
Kwanini usimuulize mwenzako ambae baada ya kushindwa kujibu maswali niliyomuuliza, akaanza matusi!!
Silipii... sasa cha ajabu hapo ni kipi? Tatizo lenu huwa hamfuatilii mambo vinginevyo mngejua gharama kadhaa zilianza kuondolewa na Muhongo Awamu ya IV. Kwanza walishusha bei za kuunganisha umeme, pia wakaja kushusha hadi Sh.27,000 kwa watu wa vijijini!
Kwani hayo makampuni tumeacha kutumia umeme wake?! Au unazungungumzia IPTL ambayo imepelekea serikali kutakiwa kuilipa Standard Chartered USD 185 Million? ingawaje hata hivyo mkataba wake ulishaisha?
huyo Ruge na Sigh ungewaweza

Danganyaneni wenyewe kwa sababu anayefuatilia anajua bado mambo ya hovyo hovyo yapo pale pale!

NI Magufuli huyo huyo ndie alinunua kivuko kibovu.... hayo tuyaache!

Alipoingia tu madarakani likaibuka sakata la LUGUMI.... taja hapa serikali ya Magufuli imefanya nini?

Kila siku Magufuli wamebaki kupiga kelele kwamba nchi iliharibika! Kila mmoja anafahamu wezi wakubwa nchi hii ni Top Government Officials and High Profile Politicians.... nitajie Mwanasiasa mmoja TU na top government officials mmoja TU ambao wamefikishwa mahakamani kutokana na tuhuma za ufisadi!!

Kila mmoja anajua Ruge na Singh wapo mahabusu almost 3 to 4 years now! Na kila mmoja anajua hawa jamaa hawakwenda pale BoT na vifaru bali walishirikiana na wale wale niliowataja: Top Government Officials and High Profile Politicians.

Again, nitajie Top Government Officials mmoja TU and High Profile Politician mmoja TU waliounganishwa na ile kesi!!

Juzi tu hapa tukasikia sakata la Lugola... sie wengine siku ile ile tukasema wazi kwamba kelele za Magufuli kuhusu ufisadi, target yake ni wafanyabiashara ili baadae wawachomoe pesa, na Watendaji wa serikali wa ngazi ya kati kuja chini!

Again, tuambie sakata la Lugola limeishia wapi?!

Pamoja na hayo, jibu swali langu la msingi: Tangia Magu aingie madarakani, amejenga plants zipi na zinazozalisha MW ngapi!

Jibu kwanza hayo maswali, vinginevyo case closed manake sioni sababu ya ku-argue na watu wasiojibu wasichoulizwa! Sana sana nikikubanisha sana na kushindwa kujibu, huenda ukafanya kama mwenzako... kukimbilia matusi badala ya kujibu hoja!
Kwani hoja ya msingi ni kujenga Power plants? Au hoja ni kudhibiti hujuma ambazo zilisababisha mafisadi wanufaike na mgao wa umeme? Au unauliza kama punguani anae tafuta kick.
 
Unajua maana ya kupinga kila kitu? Au umesikia hilo neno na ww umelibeba kichwa kichwa kama zuzu? Hapo nimepinga nini?
Hutaki JPM apewe pongezi. Wakati ni usimamizi wake na uchapakazi ndio umefanikisha haya.
 
Back
Top Bottom