Hongera Rais Samia kwa hotuba fupi inayotoa mwanga kuhusu maono ya serikali yako kwa mwaka, 2024

Hongera Rais Samia kwa hotuba fupi inayotoa mwanga kuhusu maono ya serikali yako kwa mwaka, 2024

Kwa mwaka 2024 kuna mambo ambayo serikali imejiwekea kuyafanyia kazi kwa lengo la kuboresha huduma lakini pia kukuza uchumi.

Kujenga miundombinu ya elimu na afya ni lengo la kila mwananchi. Lakini pia kufungua njia ya uchumi kwa kuanza kutoa huduma kwa SGR 2024 sambamba na kudhibiti kukati kwa umeme ni jambo lakuponhezwa

Kikubwa zaidi ambacho ningeomba ukiongeze kuelekea 2024 ni ukali dhidi ya wateule wako. Wengi wamechukulia heshima na uvumilivu unaowapa wateule wako kama upole. Nafahamu upole una tija ila kwa Tanzania ambayo tunataka kukimbia tunapaswa kukimbizwa. We are to slow kwenye kazi, tumerelux sana na sasa tunahitaji kuchapwa viboko bila kujali umri.

Nikutakie kila la kheri kufikia malengo yako 2024
Neno MAONO mnalitumia hata pasipostahili.
 
Hotuba ya Mhe Rais iliyorushwa mubashara kuptia television ya TBC, Mhe Rais kwa mdomo wake wakati akihutubia nchi alitamka wazi kuwa treni ya mwendo kasi itaanza kazi kwenda Dodoma kabla ya Juni, 2024. Asemayo Mhe. Rais lazima tuamini na ni agizo. Kama Treni ya mwendo kasi kwenda Morogoro haijaanza kazi mpaka leo ni miujiza gani itatokea treni ya mwendo kasi kwenda Dodoma kuanza kazi kabla ya Juni, 2024. Yangu ni macho and time will tell.
 
Back
Top Bottom