Hongera Samatha Mbwana kwa kujenga nyumba

Hongera Samatha Mbwana kwa kujenga nyumba

Hana lolote? Ttz king hapend skendo afu Unasema kiba anafata makombo domo na kiba yupi mwny makombo afu huyo joket kbl hashim kumbandua kiba ndio alianza akaacha ndio amerud mond mke watoto wanne unasema nn ww tumia akili kujib hoja sio kalio
Maneno ya mkosaji hayo
 
Jumba la ulimwengu liko Wazo ndo balaa sio ghorofa wala nn ila ni hatari kuna bonge la garden na ukicheki parking huoni gari ya kijapani ni range, BMW, Mercedes alafu jamaa yuko simple sana so down to earth sio hao wanaopiga kelele mitandaoni!
Ulimwengu ndio nani?
 
ununio ni karibu?
Hapana ni mbali karibu km 30 mpaka posta,ila kutoka ununio kwenda Mall Tegeta complex km 3,sijajua kwa Samatha kutoka kwake hadi mjimwema au kibada kwenda kufanya shopping kuna km ngapi?
 
Hapana ni mbali karibu km 30 mpaka posta,ila kutoka ununio kwenda Mall Tegeta complex km 3,sijajua kwa Samatha kutoka kwake hadi mjimwema au kibada kwenda kufanya shopping kuna km ngapi?
Kwa kupita daraja jipya kwenda posta ni 15KM,kwa kupitia kivukoni kwenda posta ni 10km
 
Hongera sana huyu jamaa anatuwakilisha vzr kwenye soka ingawa kiukwel hyo nyumba kwa hadhi yake ni kawaida sana
 
kuna watu hapo wanawezapiga nayo picha wakasema ya kwao.
 
Kwa kupita daraja jipya kwenda posta ni 15KM,kwa kupitia kivukoni kwenda posta ni 10km
HAKUNA kitu kama hicho, Kutoka ferry hadi kibada kuna zaidi ya 12km,kutoka kibada hadi kisarawe ii kuna 16km.
 
NAONA GETI LIMEOIGWA XEMENT ATARUKA UKUTA?
 
Back
Top Bottom