Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ununio ni karibu?Mbona ameenda kujenga mbali? Ameshindwa kumkata mtama mtu bahari beach,ununio?
Maneno ya mkosaji hayoHana lolote? Ttz king hapend skendo afu Unasema kiba anafata makombo domo na kiba yupi mwny makombo afu huyo joket kbl hashim kumbandua kiba ndio alianza akaacha ndio amerud mond mke watoto wanne unasema nn ww tumia akili kujib hoja sio kalio
Picha pleaseAli Kiba sio mtu wakupenda kiki Tu, lakini mjengo wake Samatta atasubiri sana
Ulimwengu ndio nani?Jumba la ulimwengu liko Wazo ndo balaa sio ghorofa wala nn ila ni hatari kuna bonge la garden na ukicheki parking huoni gari ya kijapani ni range, BMW, Mercedes alafu jamaa yuko simple sana so down to earth sio hao wanaopiga kelele mitandaoni!
Hapana ni mbali karibu km 30 mpaka posta,ila kutoka ununio kwenda Mall Tegeta complex km 3,sijajua kwa Samatha kutoka kwake hadi mjimwema au kibada kwenda kufanya shopping kuna km ngapi?ununio ni karibu?
Kwa kupita daraja jipya kwenda posta ni 15KM,kwa kupitia kivukoni kwenda posta ni 10kmHapana ni mbali karibu km 30 mpaka posta,ila kutoka ununio kwenda Mall Tegeta complex km 3,sijajua kwa Samatha kutoka kwake hadi mjimwema au kibada kwenda kufanya shopping kuna km ngapi?
HAKUNA kitu kama hicho, Kutoka ferry hadi kibada kuna zaidi ya 12km,kutoka kibada hadi kisarawe ii kuna 16km.Kwa kupita daraja jipya kwenda posta ni 15KM,kwa kupitia kivukoni kwenda posta ni 10km
Madalali mko makini kweli ha ha ha [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] kila kitu mnajuaGharama zoote alizotumia ndio nusu ya hela ya kiwanja cha Mondi South Africa
n mmMkewake ninani
duh...imebidi nicheke tu..we noma!hii kama Nissan Patrol/SafariHiyo Gari yako ni aina gani?
Sio kwamba hapendi kiki,tatizo kaachwa mbali kiki zake hazina kiki.Ali Kiba sio mtu wakupenda kiki Tu, lakini mjengo wake Samatta atasubiri sana