Hongera sana Dr. Rose Muhando

Hongera sana Dr. Rose Muhando

Elimu ni kwa ajili ya ajira pekee? Hujui kabisa maana ya Elimu, You are such a very weak minded human being, hujui hata def ya Elimu
Umelialia eti heshima ya elimu inashushwa, elimu ina heshima gani. Wapuuzi walikaririshwa eti elimu ndiyo kila kitu.
Upuuzi mwingine ni kujua definition ya elimu, yaani kujua definition ya elimu kunanisaidiaje kuleta mkate mezani ili wife, watoto na dependants wengine wapate milo yao na mahitaji mengine ya lazima.
Weak minded from your point of view probably lakini ukweli utabaki palepale hata mtu awe na elimu kiasi gani kama elimu yake haina tija(tangible impact) ina maana amepoteza muda na resources huko mashuleni na vyuoni stupidly.
The end justifies the means.
 
Back
Top Bottom