Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Wewe kama sio Muislam lazima ukopeshwe Kwa Riba Kwa sababu wewe sio Ndugu Yao.
Wapi huelewi Mkuu
Amemaanisha Hao waislam wanaofata maadili ya quruan mbona wanakopa kwenye bank zisizo za kiisilam na wanatozwa riba?
 
Utuachie ukristo wetu.. wewe nenda kasilimu tu..!!
Hapo kwenye riba, hao hao unaosema mabenki yao yanatoa mikopo bila riba, waislamu wangapi wanakopa huko kwenye mikopo yenye riba? AU DHAMBI NI KUKOPESHA TU KWA RIBA ILA WEWE KUKOPESHWA KWA RIBA SIYO DHAMBI..!!

Mtuache na ukristo wetu
Endelezeni uwizi,uwongo,usherati

Ova
 
Kama kavunja taratibu Acha apigwe.
Hilo kwangu sioni kama ni tatizo.

Hapa ninachojadili ni uaminifu baina yetu Vijana WA Kikristo Vs Vijana wa Kiislam.
Wewe Kwa muono wako unaonaje?
Ukristo imekuwa dini ya dili tu

Ova
 
Nadhani hata kwenye ndoa,wanawake wa kiIslam WENGI wana heshima kuliko wetu wa kikristo.

Wanajua wakizingua rungu linapitishwa au wanapandishwa vyeo, ila hawa wetu akizingua huna namna, na ndio twaongoza kwa kuibua ma supawumani.
 
Sasa sisi tufanyaje..

Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.

Mtuache na ukristo wetu.

Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.

Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.

Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..

Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.

Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .

Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
truth naked aisee!!! lakini ata waislam kuna ki2 wanasaliti,hayakatazwa kula nguruwe tu,,,no,,,pia bata,sungura na kamabale lakini wao wanakomaa na ngurue,pia wanashindwa kutofautishakati ya mila za kiarabu na uislam,,,alaf waslam wengi waliooa wake wengi hawataingia mbinguni kwani q'ran tujufu inasisitiza kutokuwepo kwa upendeleo unapodeal na wake zako,yaani kuwe na haki sawa!!{hili ni jambo gumu sana kwao na kwangu pia}....then wanamdharau MARIAM {mama yake ISSA-YESU}...}wakati ukisoma SURATUL MARIAM inaelezea waziwazi kwamba MARIAM ni mwanamke aliyebarikiwa na aliye na daraja la juu kabisa kuliko mwanamke yeyote aliyewahi kutokea zamani sasa na wakti ujao na wala hajaonja mauti{nadhani tatizo ni kutoelewa lugha iliyoandikiwa kwenye q'ran--wamebaki kukariritu}'''''''''''then wakati wao waislam wakiwaita majini kuwa ni viumbe kama sisi na wanakufa na siku ya kihama watahukumiwa kama wanaadam{soma SURATUL JINN}..na hao majinni pia yanaingia misiskitini kuswali na ndo manake waislam wanaposali wanageuka kushoto na kulia ili kuwapa hao jamaa salaam kwani hawaonekani kwa macho mpaka waamue kujigeuza kna kupata mwili wautakao,,,wakati hayo ya majini yakijiri hivo kwa upande wa waislam,wakriso kwa upande wao majinni ni PEPO wachafu na cha ajabu majinni wanaogopa kuingia makanisani kwani linapotajwa jina la YESU huwa wanaungua@!!!!!......naa unajua kwa nini maeneo au nchi zenye waislam wengi kama SOMALIA IRAN,AFGHANSTAN ,ZANZIBAR na kwingineko hawapendi makanisa yajengwe? do you know why? kwa sababu waskaj wao hao MAJJIN wanapata shida sana na wanateseka sana linapotajwa jina la YESU,,,na ujue waislam wanashirikiana katika riski kwani majinni yanatumika ktk utaftaji aisee,,nahapo ndo utagundua kwamba mtume MUHHAMD Hawasaidii waislam kwa sasa kwani nae anasubiri ISSA BIN MARIAM ashuke kuhukumu siku ya kiama ndo nae afufuke THAT IZ WHY WAISLAM HUWA WAKISEMA"TUMSWALIE MTUME-yaani anahitaji maombi huko aliko}..na wakriso wao wanamtegemea YESU aliye hai,,kwani kwa mujibu wa Q'RAN tukufu ISSA hakuuwawa kwani alibadilishiwa mtu akauwawa badala yake nae ISSA linyakuliwa kwenda mbinguni...na hapo utabaini ukweli flan kwenye BIBLIA TAKATIFU kwani YESU alipozidiwa na adhabu SIMON WA KIRENE alilazimishwa na askari amsaidie YESU msalaba,,,,anzia hapo na utaujua ukweli baada ya utafiti wako!!
 
Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?
Ukristo Una Tbs!
Hivyo mtu kama huyo sio Mfuasi!
[emoji116][emoji116]
James 2:13
[13] Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu. Imani bila Matendo Imekufa
 
Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?
Kama wote watakuwa waaminifu jehannam isingekuwepo!
Ref; Mwenyezi Mungu Aliichoma sodoma na gomora kwa uovu wa kuf&$#rn!
Ilaha hadi leo watu wanapumuliana [emoji15][emoji24][emoji24]
[emoji116][emoji116]
John 10:26-27
[26]But ye believe not, because ye are not of my sheep, as I said unto you.
Lakini ninyi hamsadiki, kwa sababu hammo miongoni mwa kondoo wangu.

[27]My sheep hear my voice, and I know them, and they follow me:
Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
 
Nampongeza mchungaji kwa kuujua na kuufahamu ukweli yote aliyoyasema ni kweli, vijana wa kikristo sio waaminifu hata kidogo kiufupi ni wezi na sio waastaarabu.

Mimi kama mkristo wa Lutheran naomba mchungaji Kimaro arudishwe kazini maana amezungumza ukweli kabisa vijana wa kikristo wengi wao ni wezi, matapeli na wagai gai kabisa! Nakupongeza mchungaji Kimaro

"Bring back mchungaji kimaro"
Wizi hauna dini.
Wapigaji wako kote kote tu regardless dini zao. Vitabu vyote vya dini vinasema usiibe.
 
ninacho weza kusema kiukweli hata kwenye kufanya biashara ukifanya biashara na mkristo au muislam utaona utofauti mkubwa sana wenzetu wanamuogopa Mungu kweli tofauti na wakristo wanacho angalia ni faida kiwe kibaya au kizuri

Sent from my FRL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Atarudishwa na apangwe Usharika wa Wailes-Temeke
 
Nampongeza mchungaji kwa kuujua na kuufahamu ukweli yote aliyoyasema ni kweli, vijana wa kikristo sio waaminifu hata kidogo kiufupi ni wezi na sio waastaarabu.

Mimi kama mkristo wa Lutheran naomba mchungaji Kimaro arudishwe kazini maana amezungumza ukweli kabisa vijana wa kikristo wengi wao ni wezi, matapeli na wagai gai kabisa! Nakupongeza mchungaji Kimaro

"Bring back mchungaji kimaro"
Kiongozi wa wakristo akisema maneno hayo ni mpumbavu kabisa.

Kwa nini nasema hivi?

Ni hawa hawa viongozi wanahamasisha waumini wao watafute pesa kwa njia yoyote.Ni hawa hawa viongozi wanawabagua vijana wasio na mali hata kama ni waadilifu sana.

Ni hawa hawa viongozi wanaendekeza matumizi makubwa ya pesa kwenye mahari na arusi za kifahari.Kwa nini mtu asiibe huko TRA n.k ili apate heshima kanisani?

Imefika mahali watoto wa kikristo wanakuwa na mahusiano na waabudu shetani ili wapewe magari mazuri.

Viongozi wengi wa kikristo ni masonic na wana support sana mambo ya kushetani kwani yanawapa maisha mazuri ya kifahari.Kwa nini vijana wanaowaongoza wasiige?

Simuungi mkono kuwalaumu vijana kwani yeye ameshiriki kuwafanya wawe hivyo.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi wa wakristo akisema maneno hayo ni mpumbavu kabisa.

Kwa nini nasema hivi?

Ni hawa hawa viongozi wanahamasisha waumini wao watafute pesa kwa njia yoyote.Ni hawa hawa viongozi wanawabagua vijana wasio na mali hata kama ni waadilifu sana.

Ni hawa hawa viongozi wanaendekeza matumizi makubwa ya pesa kwenye mahari na arusi za kifahari.Kwa nini mtu asiibe huko TRA n.k ili apate heshima kanisani?

Imefika mahali watoto wa kikristo wanakuwa na mahusiano na waabudu shetani ili wapewe magari mazuri.

Viongozi wengi wa kikristo ni masonic na wana support sana mambo ya kushetani kwani yanawapa maisha mazuri ya kifahari.Kwa nini vijana wanaowaongoza wasiige?

Simuungi mkono kuwalaumu vijana kwani yeye ameshiriki kuwafanya wawe hivyo.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hamzidi Yesu Aliyewazogodoa hata watu Alio Wafia Msalabani na kuwaita mbweha, nyoka wana wa majoka, na wengine aliwatandika bakora za makalio...
 
Sasa sisi tufanyaje..

Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.

Mtuache na ukristo wetu.

Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.

Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.

Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..

Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.

Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .

Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app


Umeshasikia Kuna njaa kiasi Cha serikali kupeleka chakula Cha msaada mikoa yenye waislamu wengi? Hususani Mikoa ya Pwani?

Ilikuwepo advantage ya kielimu kwa wakristo wakati wa ukoloni mpaka serikali ya awamu ya tatu. Sasa hivi kila mtaa,kitongoji,Kijiji zimejaa digrii nyingi. Ashukuriwe JaKaya Kikwete kwa kujenga shule za kata na kuongeza fursa za kusoma elimu ya juu.

Mikoa yenye umaskini kitakwimu za serikali mingi ipo kwenye ukanda wenye wakristo wengi.

Vijana/wanawake wanaojiuza wengi wanatoka vijijini hasa mikoa yenye wakristi wengi.

Mchungaji Kimaro yupo sahihi. Badala ya kumshambulia mnapaswa kubadilika. Acheni kujitetea kwa maneno.
 
Umepika takwimu...too low.
Usisahau kuwa pamoja na uwaninifu wao ndio kundi kubwa la waharifu nenda gerezani asilimia 80 wafungwa ni wao nenda mahabusu asilimia 90 ni wao,

Njoo kwenye malezi na ndoa
Single mothers asilimia 80 ni wao
Single fathers asilimia 80 ni wao

Twende uko mitaani asilimia 80 ya watoto wa mitaani ni wao

Yani kiufupi ni kundi linalozarisha waharibu na matatizo kwenye jamii
Wewe sio muaminifu. Umetunga takwimu za uongo😅😅
Usisahau kuwa pamoja na uwaninifu wao ndio kundi kubwa la waharifu nenda gerezani asilimia 80 wafungwa ni wao nenda mahabusu asilimia 90 ni wao,

Njoo kwenye malezi na ndoa
Single mothers asilimia 80 ni wao
Single fathers asilimia 80 ni wao

Twende uko mitaani asilimia 80 ya watoto wa mitaani ni wao

Yani kiufupi ni kundi linalozarisha waharibu na matatizo kwenye jamii
 
Back
Top Bottom