Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Uaminifu hauwi kwa watu wa imani ya dini fulani, ni tabia ya mtu binafsi awe mkristo, mwislamu au wa dini yoyote ile, na hata asiye na dini. Wapo wakristo wasio waaminifu na walio waaminifu. Wengi tu! Iko vivyo hivyo kwa waislamu na hata wasio na dini yoyote ile.
Ila magaidi wengi ni waislamu
 
Biblia inasema 'usimkopeshe ndugu yako kwa riba' hivi NMB, CRDB ni ndugu zako? Sasa we upewe tu halafu wale wafanyakazi utakuwa unawapelekea mahindi?

Ni kweli kimkopesha "ndugu" yako kwa riba' ni dhambi. Sasa we umpe mdogo wako elfu kumi halafu umwambie akulipe elfu kumi na mbili, we si ni mchawi kasoro ungo
 
Nampongeza mchungaji kwa kuujua na kuufahamu ukweli yote aliyoyasema ni kweli, vijana wa kikristo sio waaminifu hata kidogo kiufupi ni wezi na sio waastaarabu.

Mimi kama mkristo wa Lutheran naomba mchungaji Kimaro arudishwe kazini maana amezungumza ukweli kabisa vijana wa kikristo wengi wao ni wezi, matapeli na wagai gai kabisa! Nakupongeza mchungaji Kimaro

"Bring back mchungaji kimaro"
Nami namuunga mkono ni kwel kabisa yaan uwizi na ufisadi ni kama sehemu ya maisha yao kifupi hawaishi kwa kufuata neno la Mungu. Hii pia uchangiwa na mahubiri ya siku hizi yamejaa kuhamasisha watu kuwa matajiri badala ya kumtafuta Mungu. Bila kusahau michango kuwa mingi makanisani.
 
Vita vya Kimball Rwanda kanisa ndio chanzo na walistimulate kwahiyo wale ni waislamu?
Hapa umethibitisha kuwa mhusika wa ile dini ya wapumbavu😂rwandan genocide ni matokeo ya colonial favoritism. Ila kwa vile wakati wenzako wanasoma history wewe ulikuwa umekimbilia madrasa kwenda kucrame hadithi za waarabu. Pole sana
 
Hapa umethibitisha kuwa mhusika wa ile dini ya wapumbavu😂rwandan genocide ni matokeo ya colonial favoritism. Ila kwa vile wakati wenzako wanasoma history wewe ulikuwa umekimbilia madrasa kwenda kucrame hadithi za waarabu. Pole sana
😀😀😀😀 wakristo mlijifungia kanisani mwishowe mkalipuliwa na kanisa katoliki
 
Mtu anaemtumikia Mungu wa kweli hatashushwa na mwanadamu.

Mungu atamuinua zaidi. Jipe mda kuujua ukweli
Kupewa likizo au kubadilishiwa kituo cha kutolea huduma ndio kushushwa? Yeye ni nani hadi asihamishwe? Aliyemleta hapo ana haki ya kumpeleka pengine. Acheni kuleta ushabiki maandazi katika huduma.
 
Back
Top Bottom