Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Kama kuna kitu nakupa Kongole ni kuwa objective katika maswala ambayo ni ya kweli.

Pamoja na kuwa Mkristo lakini huwa unasimamia ukweli pale panapo hitaji ukweli,Kwa hapo hakika umeonyesha jinsi ulivyo tofauti na wengine.

Mimi dini yangu ni Upendo, Haki na Ukweli.
Kunielewa itakupasa uwe na hayo mambo Matatu
 
Sasa sisi tufanyaje..

Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.

Mtuache na ukristo wetu.

Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.

Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.

Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..

Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.

Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .

Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mimi mkristu mwenzio, jamaa wapi amedanganya?
 
Sasa sisi tufanyaje..

Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.

Mtuache na ukristo wetu.

Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.

Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.

Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..

Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.

Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .

Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Umeandika kwa jaziba mpaka umejikuta unaandika ujinga,hebu rudia tena kusoma ulicho kiandika alafu ujitathimini iwapo kichwa chako kiko sawa.
 
Kupitia taarifa iliyitolewa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Gerald Kusaya leo Jumanne Novemba 15, 2022 amesema kuwa Mamlaka hiyo iliendesha Operesheni katika maeneo mbali mbali ya nchini na kukamata Jumla ya Kilo 34.89 za dawa za kulevya aina heroin.

Katika watuhumiwa hao 11 waliokamatwa yumo Mfanyabishara na Mmiliki wa Kituo cha Michezo cha Cambiasso Sports Academy, Kambi Zubeir Seif.

Amesema watuhumiwa wengine ni Seleman Matola (24) mkulima na mtoto wa dada yake na mtuhumiwa Seif, Said Matwiko (41) fundi seremala, Maulid Mzungu (54) ambaye anaundugu wa mtuhumiwa Sultan ambaye ni kocha wa Simba.

“Wengine waliokamatwa ni John Andrew (40) mkazi wa Magore Kitunda, huyu ni mfanyabiashara pia ana jukumu la kutafuta vijana wenye vipaji na kuwapeleka kituo cha Cambiasso Sports Academy, Rajabu Dhahabu (32) mfanyabiashara na mkazi wa Tabata Segerea, Hussein Pazi (41) pamoja na Ramadhan Chalamila (27)” alisema Kusaya

Kusaya alisema katika tukio jingine mamlaka hiyo ilimkamata mtuhumiwa Abdulnasir Kombo (30) ambaye ni mkazi wa Kaloleni jijini Arusha akiwa na biskuti 50 zilizotengenezwa kwa kutumia dawa ya kulevya aina ya bangi kama moja ya malighafi aliyokuwa akiiuza katika eneo la Jiji hilo.
Daaah

Jf bana..
 
Kupitia taarifa iliyitolewa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Gerald Kusaya leo Jumanne Novemba 15, 2022 amesema kuwa Mamlaka hiyo iliendesha Operesheni katika maeneo mbali mbali ya nchini na kukamata Jumla ya Kilo 34.89 za dawa za kulevya aina heroin.

Katika watuhumiwa hao 11 waliokamatwa yumo Mfanyabishara na Mmiliki wa Kituo cha Michezo cha Cambiasso Sports Academy, Kambi Zubeir Seif.

Amesema watuhumiwa wengine ni Seleman Matola (24) mkulima na mtoto wa dada yake na mtuhumiwa Seif, Said Matwiko (41) fundi seremala, Maulid Mzungu (54) ambaye anaundugu wa mtuhumiwa Sultan ambaye ni kocha wa Simba.

“Wengine waliokamatwa ni John Andrew (40) mkazi wa Magore Kitunda, huyu ni mfanyabiashara pia ana jukumu la kutafuta vijana wenye vipaji na kuwapeleka kituo cha Cambiasso Sports Academy, Rajabu Dhahabu (32) mfanyabiashara na mkazi wa Tabata Segerea, Hussein Pazi (41) pamoja na Ramadhan Chalamila (27)” alisema Kusaya

Kusaya alisema katika tukio jingine mamlaka hiyo ilimkamata mtuhumiwa Abdulnasir Kombo (30) ambaye ni mkazi wa Kaloleni jijini Arusha akiwa na biskuti 50 zilizotengenezwa kwa kutumia dawa ya kulevya aina ya bangi kama moja ya malighafi aliyokuwa akiiuza katika eneo la Jiji hilo.

😀😀😀

Sasa Mkuu hiyo haiondoi ukweli WA nilichoandika,
Nilichoandika kinafanyika kila Siku yaani ndio Maisha yetu ya kila siku
 
NAUNGANA NA MCHUNGAJI ELIONA KIMARO" VIJANA WA KIISLAM NI WAAMINIFU KULIKO SISI VIJANA WAKIKRISTO" NITATOA SABABU
Hayo mahubiri aliyatoa zamani na niliwahi kuyaona kwenye mitandao. Kitendo cha kuyaibua leo siku ambayo amepewa likizo ni kutaka kulazimisha uhusiano wa haya matukio. mimi nadhani tusubiri uongozi wa KKKT kama wataamua watoe sababu za likizo hiyo au la, vinginevyo hayo ni maoni ya Mwamakula ambaye ni wa dhehebu la Moravian, na wewe ambaye sijajua ni wa dini au dhehebu gani
 
😀😀😀

Sasa Mkuu hiyo haiondoi ukweli WA nilichoandika,
Nilichoandika kinafanyika kila Siku yaani ndio Maisha yetu ya kila siku
Nilitaka nijue tu maoni yako kuhusu idadi kubwa ya vijana wanaokamatwa na madawa ya kulevya kuwa ni waisilamu
 
Kuna mwenzio Jana kapigwa Sandals akienda kujitetea Masjid
 
Pamoja na hoja zako nzuri sana, ukweli sisi wakristo sio waaminifu, kimavazi, kimaongezi, kiimani..amenena vizuri. Sisi sio waaminifu.
Tatizo kubwa la MAJUHA wengi ni KUFIKIRI kila mtu asiyekuwa MUISLAM Basi ni MKRISTO.

Ni aina fulani ya AKILI ya KIJUHA iliyochanganyikana na UZUZU.
 
Vijana hawa hawa wanaojifunga mabomu na kujilipua? Hawa magaidi? Inafikirisha
 
Sasa sisi tufanyaje..

Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.

Mtuache na ukristo wetu.

Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.

Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.

Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..

Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.

Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .

Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Leo ndiyo umejua kuwa hiyo ni tabia ya mtu na siyo dini eee??
 
Sasa sisi tufanyaje..

Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.

Mtuache na ukristo wetu.

Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.

Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.

Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..

Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.

Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .

Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona haujajibu hoja?
 
Back
Top Bottom