Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kama kuna kitu nakupa Kongole ni kuwa objective katika maswala ambayo ni ya kweli.
Pamoja na kuwa Mkristo lakini huwa unasimamia ukweli pale panapo hitaji ukweli,Kwa hapo hakika umeonyesha jinsi ulivyo tofauti na wengine.
Mimi dini yangu ni Upendo, Haki na Ukweli.
Kunielewa itakupasa uwe na hayo mambo Matatu