Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
- Thread starter
- #81
Tupe mfano vp uislamu umeenezwa kwa upanga?Hapo ulipomalizia ndio umekosea kabisa. Hujui kwamba uislamu huenezwa kwa upanga ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe mfano vp uislamu umeenezwa kwa upanga?Hapo ulipomalizia ndio umekosea kabisa. Hujui kwamba uislamu huenezwa kwa upanga ?
huyu mchungaji hawezi kuwa serious. Hawa vijana wanaolima opium for heroin huko afghanistan na pakistan?Hawa HAWA Wanaotumika
Swali zuri mkuu!vijana wengi hasa wa Tanzania wanakaririshwa tu hawasomi hata kidogoNa Ukristo mpaka unakufikia ulienezwa Kwa Njia ipi?
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa sisi tufanyaje..
Wewe na Huyo Kimaro mkasilimu.
Mtuache na ukristo wetu.
Umesahau hao waislamu ndo wanaongoza kwa njaa,shida ,matatizo wadada wengi wanaojiuza vijana wavivu.
Wakristo wengi wamesoma na ndio walioshika nyadhifa nyingi Serikali na private sector.
Halfu alivyoongea hiyo kauli hiyo ni Tabia ya mtu wala sio DINi..
Namaliza kama unataka kuwa muislam mkaslimu.
Msituzoee na mtuache na ukristo wetu maana naona maneno yameanza kuwa mengi .
Tukigusa upande wao hata moderator wanafuta thread zetu.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Dini zote zilizosambaa duniani zilienezwa kwa upanga.Tupe mfano vp uislamu umeenezwa kwa upanga?
Kwa mfano?Dini zote zilizosambaa duniani zilienezwa kwa upanga.
Uzuri wa imani, kila mmoja anajiona mkweli. Kunipa ukweli wako kwa kutumia imani unayoiamini wewe ni ujinga tu. Ni sawa na mimi leo aje muislamu aniambie kula kitimoto ni dhambi kisa kwenye uislamu wanaamini hivyo, ni ujinga tu. SIKU ZOTE, MABISHANO YA KIIMANI YATAISHA PALE TU MMOJA ATAKAPOHAMIA KWA MWINGINE. ILA KAMA KILA MMOJA ATABAKI KWAKE UBISHI NI HADI KIFO KIWATENGANISHEMkuu ukweli hata uwe mchungu vp we upokee
Ndiyo akili yako imeishia hapa?Kuna mwenzio Jana kapigwa Sandals akienda kujitetea Masjid
Leta takwimu hapa za ukweli nikupe epsa achana na porojo za kijinga ..nyie wezi matapeli, wazinzi ,Usisahau kuwa pamoja na uwaninifu wao ndio kundi kubwa la waharifu nenda gerezani asilimia 80 wafungwa ni wao nenda mahabusu asilimia 90 ni wao,
Njoo kwenye malezi na ndoa
Single mothers asilimia 80 ni wao
Single fathers asilimia 80 ni wao
Twende uko mitaani asilimia 80 ya watoto wa mitaani ni wao
Yani kiufupi ni kundi linalozarisha waharibu na matatizo kwenye jamii
Basi kumbe riba wanaiamini. Na benki za uma zinapowakopesha waislamu kwa riba hilo nalo ni dhambi au la?Wewe kama sio Muislam lazima ukopeshwe Kwa Riba Kwa sababu wewe sio Ndugu Yao.
Wapi huelewi Mkuu
Pia ni wavivu tunasubiri kupoke tu.I receive.Kiamaro yuko sahihi kwa Mimi ninaesali kwa Katunzi.Pamoja na hoja zako nzuri sana, ukweli sisi wakristo sio waaminifu, kimavazi, kimaongezi, kiimani..amenena vizuri. Sisi sio waaminifu.
Kwa mfano nini?Kwa mfano?
Wa huo ueneaji wa upangaKwa mfano nini?
Hii kauli ya kwamba walio magerezani wengi ni waislamu aliitoa Mwinyi alipokuwa madarakaniUsisahau kuwa pamoja na uwaninifu wao ndio kundi kubwa la waharifu nenda gerezani asilimia 80 wafungwa ni wao nenda mahabusu asilimia 90 ni wao,
Njoo kwenye malezi na ndoa
Single mothers asilimia 80 ni wao
Single fathers asilimia 80 ni wao
Twende uko mitaani asilimia 80 ya watoto wa mitaani ni wao
Yani kiufupi ni kundi linalozarisha waharibu na matatizo kwenye jamii
Majuha🤣Tatizo kubwa la MAJUHA wengi ni KUFIKIRI kila mtu asiyekuwa MUISLAM Basi ni MKRISTO.
Ni aina fulani ya AKILI ya KIJUHA iliyochanganyikana na UZUZU.
Katafute mwalimu wa historia anaweza kuwa ana muda huo. Uwe na hela za kumlipa. Vinginevyo nenda library ukasome historia ya dini.Wa huo ueneaji wa upanga
Exactly. I so agree. Unakuta mtu mweusi mpumbavu sana anakaa kujifanya yeye muislamu safi. WTFKwani Africa Kabla ya Dini walikuwa wanaishi vipi? C tulikuwa na imani zetu na utamaduni wetu?
Hizi dini mlizoletewa na mungu wenu wa uongo mbona zinataka kuwachanganya akili? ukiwa mkristo au muislam halafu ukafata mafundisho ya kwenye bible au Quran totally unakuwa hauna akili ubongo wako unakuwa hauna tofauti na mavi
Uaminifu hauwi kwa watu wa imani ya dini fulani, ni tabia ya mtu binafsi awe mkristo, mwislamu au wa dini yoyote ile, na hata asiye na dini. Wapo wakristo wasio waaminifu na walio waaminifu. Wengi tu! Iko vivyo hivyo kwa waislamu na hata wasio na dini yoyote ile.Nampongeza mchungaji kwa kuujua na kuufahamu ukweli yote aliyoyasema ni kweli, vijana wa kikristo sio waaminifu hata kidogo kiufupi ni wezi na sio waastaarabu.
Mimi kama mkristo wa Lutheran naomba mchungaji Kimaro arudishwe kazini maana amezungumza ukweli kabisa vijana wa kikristo wengi wao ni wezi, matapeli na wagai gai kabisa! Nakupongeza mchungaji Kimaro
"Bring back mchungaji kimaro"