Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
- Thread starter
- #121
😀😀😀 zero brainHaya kafirwe ukalale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 zero brainHaya kafirwe ukalale
Na ukumbuke hayo mabomu wanayojilipulia hutengenezwa na wakristo😂😂marekani ,,kwhy tuanze kumlaumu mtengenezaji kabla ya mtumiajiVijana hawa hawa wanaojifunga mabomu na kujilipua? Hawa magaidi? Inafikirisha
Hili lipo wazi kabisa yaan wakristo jpil wakitoka church break ya Kwanza bar ... Hakuna muislamu atatoka msikitn awahi bar baada ya sala ya ijumaa...neverNenda bar kahesabu katika waumini wa kikristo na waislamu ...Ninaposema waumini ni wle dini sana wanaenda kanisani na msikitini sio majina ..Then njoo uniambia Nan ni wengi?
UAMINIFU (TRUSTWORTHY, HONESTY OR INTEGRITY), NI KUFANYA JAMBO SAWA NA ULIVYOAHIDI AU ULIVYOAMBIWA KUFANYA. AIDHA, UAMINIFU NI KUSEMA AU KUTETEA UKWELI (TRUTH) HATA KAMA UNAUMA AU UNAKUDHURU.Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?
Mkuu umenena vyema kbsa...
Siku zote ukiona dini inafanywa kuwa nyepesi kwa ku modify baadhi ya sheria ujue ishakua ya kitapeli
Nampongeza mchungaji kwa kuujua na kuufahamu ukweli yote aliyoyasema ni kweli, vijana wa kikristo sio waaminifu hata kidogo kiufupi ni wezi na sio waastaarabu.
Mimi kama mkristo wa Lutheran naomba mchungaji Kimaro arudishwe kazini maana amezungumza ukweli kabisa vijana wa kikristo wengi wao ni wezi, matapeli na wagai gai kabisa! Nakupongeza mchungaji Kimaro
"Bring back mchungaji kimaro"
Wenzetu wametuzidi sisi wakiristo hata kwenye mavazi ni hovyo sana tujirekebishe
Naelewa sana maana ya kuwa mkristo, sasa kama ukristo haufuati tabia za kristo tunasemaje..
Wewe kweli akili mbovu. Hujawahi waona na mabomu yao ya kutengeneza kienyeji? Wanatengeneza wenyewe. You think ni rahisi kwa mtu kuacquire mabomu kirahisi rahisi without attracting attention?Na ukumbuke hayo mabomu wanayojilipulia hutengenezwa na wakristo😂😂marekani ,,kwhy tuanze kumlaumu mtengenezaji kabla ya mtumiaji
Kwahiyo mpaka leo hii tuendelee kuaminishana kuwa jua linazama kwenye matope?🤣🤣Mkuu umenena vyema kbsa...
Siku zote ukiona dini inafanywa kuwa nyepesi kwa ku modify baadhi ya sheria ujue ishakua ya kitapeli
Mwambie Aende Kariakoo apime ni Vijana wapi baina ya waislama Vs Sisi Wakristo wanaheshimu Ibada.
Wakati Sisi Wakristo Vijana wengi tukiwaachia Wanawake waende ibada huku Sisi tukitafuta sababu, vipi upande wa Vijana WA kiislam?
Ingawaje sio kama nawatetea Ila tunajaribu kuangalia uaminifu baina Yao na yetu
Laugh 😃 😀 zero brainUnafirwa
SelekaAl Qaeda
Kupitia taarifa iliyitolewa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Gerald Kusaya leo Jumanne Novemba 15, 2022 amesema kuwa Mamlaka hiyo iliendesha Operesheni katika maeneo mbali mbali ya nchini na kukamata Jumla ya Kilo 34.89 za dawa za kulevya aina heroin.
Katika watuhumiwa hao 11 waliokamatwa yumo Mfanyabishara na Mmiliki wa Kituo cha Michezo cha Cambiasso Sports Academy, Kambi Zubeir Seif.
Amesema watuhumiwa wengine ni Seleman Matola (24) mkulima na mtoto wa dada yake na mtuhumiwa Seif, Said Matwiko (41) fundi seremala, Maulid Mzungu (54) ambaye anaundugu wa mtuhumiwa Sultan ambaye ni kocha wa Simba.
“Wengine waliokamatwa ni John Andrew (40) mkazi wa Magore Kitunda, huyu ni mfanyabiashara pia ana jukumu la kutafuta vijana wenye vipaji na kuwapeleka kituo cha Cambiasso Sports Academy, Rajabu Dhahabu (32) mfanyabiashara na mkazi wa Tabata Segerea, Hussein Pazi (41) pamoja na Ramadhan Chalamila (27)” alisema Kusaya
Kusaya alisema katika tukio jingine mamlaka hiyo ilimkamata mtuhumiwa Abdulnasir Kombo (30) ambaye ni mkazi wa Kaloleni jijini Arusha akiwa na biskuti 50 zilizotengenezwa kwa kutumia dawa ya kulevya aina ya bangi kama moja ya malighafi aliyokuwa akiiuza katika eneo la Jiji hilo.
Mods wanakukula kichwa muda si mrefu zero 🧠 😃 😀 😄Unafirwa
Kwamba kuwa humu unahisihisi ni Kama kuwa peponi yaani?Mods wanakukula kichwa muda si mrefu zero 🧠 😃 😀 😄
Wanapoza machungu ya neno wanavyosema.Hili lipo wazi kabisa yaan wakristo jpil wakitoka church break ya Kwanza bar ... Hakuna muislamu atatoka msikitn awahi bar baada ya sala ya ijumaa...never
Islamic state, al shabab, boko haram wanafata quruan inachoagiza?Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?