Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

Vijana hawa hawa wanaojifunga mabomu na kujilipua? Hawa magaidi? Inafikirisha
Na ukumbuke hayo mabomu wanayojilipulia hutengenezwa na wakristo😂😂marekani ,,kwhy tuanze kumlaumu mtengenezaji kabla ya mtumiaji
 
Nenda bar kahesabu katika waumini wa kikristo na waislamu ...Ninaposema waumini ni wle dini sana wanaenda kanisani na msikitini sio majina ..Then njoo uniambia Nan ni wengi?
Hili lipo wazi kabisa yaan wakristo jpil wakitoka church break ya Kwanza bar ... Hakuna muislamu atatoka msikitn awahi bar baada ya sala ya ijumaa...never
 
"Na wala halingani sawa kipofu na mwenye kuona, wala giza na nuru, wala {hakilingani sawa} kivuli na joto, wala hawalingani walio hai na maiti, hakika allah humfanya asikie amtakaye na wala wewe si mwenye kuwafanya wasikie walio makaburini."

Qur'an 35:19-22
 
Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?
UAMINIFU (TRUSTWORTHY, HONESTY OR INTEGRITY), NI KUFANYA JAMBO SAWA NA ULIVYOAHIDI AU ULIVYOAMBIWA KUFANYA. AIDHA, UAMINIFU NI KUSEMA AU KUTETEA UKWELI (TRUTH) HATA KAMA UNAUMA AU UNAKUDHURU.

MTOTO AKIULIZWA NANI KAKOMBA MBOGA? AKISEMA NI YEYE, HATA KAMA ATAPIGWA, HUYO NI MWAMINIFU. UAMINIFU NI "UJASIRI" WA KUITETEA KWELI HATA KAMA UTAPATA ADHABU.

UAMINIFU NI PAMOJA NA KULIPA DENI ULILOKOPA PASIPO KUPIGA CHENGA AU KUTOLIPA KABISA. HIYO NI DHULUMA.

HAINA TOFAUTI NA UPORAJI AU ULAGHAI. ASIYELIPA DENI NAYE NI JAMBAZI, HATA KAMA HAJATUMIA NGUVU AU SILAHA. ANATUMIA SILAHA YA MANENO MATAMU YA KUKOPA NA KUAHIDI KUREJESHA, KUMBE SI MANENO MATAMU BALI NI SUMU YA UPORAJI!
 
Nampongeza mchungaji kwa kuujua na kuufahamu ukweli yote aliyoyasema ni kweli, vijana wa kikristo sio waaminifu hata kidogo kiufupi ni wezi na sio waastaarabu.

Mimi kama mkristo wa Lutheran naomba mchungaji Kimaro arudishwe kazini maana amezungumza ukweli kabisa vijana wa kikristo wengi wao ni wezi, matapeli na wagai gai kabisa! Nakupongeza mchungaji Kimaro

"Bring back mchungaji kimaro"

SI KWELI WALAHI
 
Naelewa sana maana ya kuwa mkristo, sasa kama ukristo haufuati tabia za kristo tunasemaje..

Mbona huwa mnasema kuna uislam na waislam!!!
Iweje wakristo ndio ukristo[emoji16][emoji16]

Mind you hakuna ukristo unamfundisha mtu wizi au utapeli,kimaro kama hajawahi kukutana na wakristo waaminifu hilo ni swala lake hatumpingi,lakini hatuwezi chukua sample yake kama general conclusion.
 
Na ukumbuke hayo mabomu wanayojilipulia hutengenezwa na wakristo😂😂marekani ,,kwhy tuanze kumlaumu mtengenezaji kabla ya mtumiaji
Wewe kweli akili mbovu. Hujawahi waona na mabomu yao ya kutengeneza kienyeji? Wanatengeneza wenyewe. You think ni rahisi kwa mtu kuacquire mabomu kirahisi rahisi without attracting attention?
 
Mkuu umenena vyema kbsa...
Siku zote ukiona dini inafanywa kuwa nyepesi kwa ku modify baadhi ya sheria ujue ishakua ya kitapeli
Kwahiyo mpaka leo hii tuendelee kuaminishana kuwa jua linazama kwenye matope?🤣🤣
 
Mwambie Aende Kariakoo apime ni Vijana wapi baina ya waislama Vs Sisi Wakristo wanaheshimu Ibada.
Wakati Sisi Wakristo Vijana wengi tukiwaachia Wanawake waende ibada huku Sisi tukitafuta sababu, vipi upande wa Vijana WA kiislam?

Ingawaje sio kama nawatetea Ila tunajaribu kuangalia uaminifu baina Yao na yetu

Wakristo ibada ni jumapili au jumamosi kiongozi.

Siku za kati hapa ni kuhangaika tu,sasa ulitaka wote waingia msikitini na kufunga frem??
 
Kupitia taarifa iliyitolewa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Gerald Kusaya leo Jumanne Novemba 15, 2022 amesema kuwa Mamlaka hiyo iliendesha Operesheni katika maeneo mbali mbali ya nchini na kukamata Jumla ya Kilo 34.89 za dawa za kulevya aina heroin.

Katika watuhumiwa hao 11 waliokamatwa yumo Mfanyabishara na Mmiliki wa Kituo cha Michezo cha Cambiasso Sports Academy, Kambi Zubeir Seif.

Amesema watuhumiwa wengine ni Seleman Matola (24) mkulima na mtoto wa dada yake na mtuhumiwa Seif, Said Matwiko (41) fundi seremala, Maulid Mzungu (54) ambaye anaundugu wa mtuhumiwa Sultan ambaye ni kocha wa Simba.

“Wengine waliokamatwa ni John Andrew (40) mkazi wa Magore Kitunda, huyu ni mfanyabiashara pia ana jukumu la kutafuta vijana wenye vipaji na kuwapeleka kituo cha Cambiasso Sports Academy, Rajabu Dhahabu (32) mfanyabiashara na mkazi wa Tabata Segerea, Hussein Pazi (41) pamoja na Ramadhan Chalamila (27)” alisema Kusaya

Kusaya alisema katika tukio jingine mamlaka hiyo ilimkamata mtuhumiwa Abdulnasir Kombo (30) ambaye ni mkazi wa Kaloleni jijini Arusha akiwa na biskuti 50 zilizotengenezwa kwa kutumia dawa ya kulevya aina ya bangi kama moja ya malighafi aliyokuwa akiiuza katika eneo la Jiji hilo.

Dunia hii imejaa watu fake fake tu.

Ni jambo la hatari mchungaji wa taasisi kuwa na fikra za namna hii.
 
Hili lipo wazi kabisa yaan wakristo jpil wakitoka church break ya Kwanza bar ... Hakuna muislamu atatoka msikitn awahi bar baada ya sala ya ijumaa...never
Wanapoza machungu ya neno wanavyosema.
 
Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?
Islamic state, al shabab, boko haram wanafata quruan inachoagiza?
 
Back
Top Bottom