Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Aliyemuibia kimaro๐๐๐
๐๐
Sasa Nani mwizi Mkuu?
๐๐
Sasa Nani mwizi Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐
Sasa Nani mwizi Mkuu?
๐๐
Sasa Nani mwizi Mkuu?
Hata wadangaji, wengi ni wakristo.
Aliyemuibia kimaro๐๐๐
Pamoja na hoja zako nzuri sana, ukweli sisi wakristo sio waaminifu, kimavazi, kimaongezi, kiimani..amenena vizuri. Sisi sio waaminifu.
Mimi ni mkiristo pia ila sio mwaminifu waislamu wanajitahidi sana kwenye uaminifuUnaelewa maana ya mkristo?. Au wewe una deal na majina ya watu. Ukristo ni kuwa mwanafunzi na mfuasi wa Yesu Kristo sio jina la mtu.
Nakubalianq na wewe namba tatu tu,Mengine ni mtazamo tu,ukosefu wa uaminifu hauna mahusiano na dini ya mtu moja kwa moja,yapo Mengi ysnayokatazwa na msaafu lakini waislam wanayafanya,kama kujishughurisha na mziki.
Ukitaja kijana mmoja wa kikristo asiye muaminifu,nitakuonyesha mmoja wa kiislam,
Kijana wa kiislam wa Zanzibar sio Sawa na kijana wa Kiislam wa Dar au Arusha,hapo ishu sio dini,ni muingiliano wa secural life na maisha ya kila siku,
Zenj uislam umekolea sana,na hakuna muingiliano wa ubepari sana.
Ila ndani ya serikali wafanyakazi wapo Wala Rushwa,na wabadhirifu,na Zenj,99%ni Islam!
Naelewa sana maana ya kuwa mkristo, sasa kama ukristo haufuati tabia za kristo tunasemaje..Unaelewa maana ya mkristo?. Au wewe una deal na majina ya watu. Ukristo ni kuwa mwanafunzi na mfuasi wa Yesu Kristo sio jina la mtu.
Uaminifu ndio hoja.
Kama tunashindwa kuwa waaminifu Kwa kufuata yaliyomo kwenye Misahafu yetu mpaka inafikia kipindi MTU anaanzisha na dhehebu linalopingana na Aya za Biblia huoni mpaka hapo tunashida?
Mimi ni mkiristo pia ila sio mwaminifu waislamu wanajitahidi sana kwenye uaminifu
Kupitia taarifa iliyitolewa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Gerald Kusaya leo Jumanne Novemba 15, 2022 amesema kuwa Mamlaka hiyo iliendesha Operesheni katika maeneo mbali mbali ya nchini na kukamata Jumla ya Kilo 34.89 za dawa za kulevya aina heroin.4. Kuheshimu jina la Mungu na manabii wake
Waislam wanaweza kuwa na mapungufu mengi lakini linapokuja suala la Jina la Mungu wao ALLAH na Mtume wao Muhammad kwa kweli hapo wanaonyesha uaminifu mkubwa.
Embu linganisha uaminifu baina yetu Sisi Vijana Wakristo Vs Waislam Kwa Hoja. Ili tupime je ELIONA KIMARO kakosea au yupo sahihi
Wewe ndio mwenye shida, unachukua imani potofu unalazimisha iwe Ukristo. Mtu anajiita mungu au nabii mkuu, bado mnamuita mkristo. Ukristo Ni kuwa mfuasi na mwanafunzi wa Kristo. Kama mtu hafuati hayo huyo sio mkristo. Narudia Tena, uaminifu Ni suala la mtu binafis sio dini.
Mkuu ukweli hata uwe mchungu vp we upokee
Unalinganisha kwa angle ipi au kupitia wapi?. Na ni utafiti upi ulifanya ukafikia hapo?
Na Ukristo mpaka unakufikia ulienezwa Kwa Njia ipi?