Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kidumu chama cha Mapinduzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nimemsikia waziri wa kuitwa Ndumbalu kama sijakosea jina lake, yeye sifa ni kwa Samia tu mwanzo mwisho utafikiri samia kawekeza chochoteNi mpumbavu pekee anaweza kushukuru akawaacha GSM na MO
AibuLeo nimemsikia waziri wa kuitwa Ndumbalu kama sijakosea jina lake, yeye sifa ni kwa Samia tu mwanzo mwisho utafikiri samia kawekeza chochote
Anzisha Uzi wa haya, huu ni kuhusu timu zetu kufuzuHongera pia kwa ukosefu wa maji, sukari, umeme na Us Dollars.
Chizi Maarifa again!Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rais Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wameingia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Jinga lenzake na Chizi Maarifa!Jinga lingine hili, hiyo 10M kwa goli kwenye football ndo mchango!? Unajua Bonus na gharama zinazotumika kuendesha team? Hizo bonus zimezisaidia nini Azam na Singida FG zilizokuwa sirikisho? Na zimeisaidia vipi Team ya CCM Taifa Stars?
We @chizimaarifa Ni uongozi wa timu na makocha pamoja na juhudi za wachezaji ndiohuleta mafanikio.Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rais Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wameingia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Hiyo sifa unaitoa kwa msingi upi.Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rais Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wameingia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.
Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.
Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Kama kugawa zawadi za magoli ndio chachu ya kuongeza morali ya ushindi mbona alifanya hivyo kwa taifa stars ikawa holaa!Kagawa zawadi za magoli ili kuongeza morali na kweli amefanikiwa sana kwenye hili.
Hapa tunajadili mafanikio ya club. Siyo Timu ya Taifa.Kama kugawa zawadi za magoli ndio chachu ya kuongeza morali ya ushindi mbona alifanya hivyo kwa taifa stars ikawa holaa!