Hongera sana Rais Samia kwa kupeleka timu mbili CAF

Hongera sana Rais Samia kwa kupeleka timu mbili CAF

Kwa hakika Rais Samia Anastahili pongezi sana kutoka kwa jumuiya ya wanamichezo.maana ameleta chachu kubwa sana na hamasa ya kipekee sana katika michezo tangia ameingia madarakani.kwa kuwa kwa sasa wachezaji wanapambana sana wawapo uwanjani ili waweze kupata zawadi ya mama ya pesa taslimu.

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,maana kila awekapo mkono ni lazima pafanikiwe.mikono ya Rais Samia imebarikiwa na kupewa kibali na Mungu mwenyewe na ndio maana akiweka tu mkono wake mahali popote pale ni lazima ushindi wa kishindo upatikane.ndio maana kama Taifa ni washindi katika kila kitu kinachojitokeza mbele yetu.

Hongera sana Rais Samia umekata kiu ya watanzania ya kutaka kuona tunapata timu mbili hatua ya robo fainali.
Jinga lingine hili, hiyo 10M kwa goli kwenye football ndo mchango!? Unajua Bonus na gharama zinazotumika kuendesha team? Hizo bonus zimezisaidia nini Azam na Singida FG zilizokuwa sirikisho? Na zimeisaidia vipi Team ya CCM Taifa Stars?
 
Labda kama unasndikw kwa kejeri. Lakini kama uko serious wewe ni bure. Bora nduguzo wabadirishane na gunia la mahindi kuliko kubaki na wewe.
 
Kwa hakika Rais Samia Anastahili pongezi sana kutoka kwa jumuiya ya wanamichezo.maana ameleta chachu kubwa sana na hamasa ya kipekee sana katika michezo tangia ameingia madarakani.kwa kuwa kwa sasa wachezaji wanapambana sana wawapo uwanjani ili waweze kupata zawadi ya mama ya pesa taslimu.

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,maana kila awekapo mkono ni lazima pafanikiwe.mikono ya Rais Samia imebarikiwa na kupewa kibali na Mungu mwenyewe na ndio maana akiweka tu mkono wake mahali popote pale ni lazima ushindi wa kishindo upatikane.ndio maana kama Taifa ni washindi katika kila kitu kinachojitokeza mbele yetu.

Hongera sana Rais Samia umekata kiu ya watanzania ya kutaka kuona tunapata timu mbili hatua ya robo fainali.
Screenshot_2024-02-29-07-56-10-583_com.android.chrome~2.jpg
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Mama ameupiga mwingi mpaka unamwagika!
 
hongera kwa ccm pia,kwa kupeleka timu 2 afrika
Naomba ushindi huu usihusishwe na chama chochote cha siasa sababu miaka mingi vyama vimekuwepo lakini mafanikio hamna, mpaka wakati fulani tulionekana kichwa cha mwendawazimu kila mtu anajifunza kunyoa. Mama hoyeee! Nani kama mama?
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Chawa mna mambo ya kitoto sana, kwahiyo miaka yote ambayo hizo team haziingii huwa ni rais anazizuia?
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Dah![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Hata km uchawa. Umezidi
Hizo ni timu zinazojiendesha zenyewe.
Angepongezwa kwenye timu ya taifa na siyo club ambazo tayari zina mafanikio
 
Back
Top Bottom