Hongera sana Rais Samia kwa kupeleka timu mbili CAF

Hongera sana Rais Samia kwa kupeleka timu mbili CAF

Nashauri serikali ya samia ianze kuwalipa mishahara wachezaji na benchi la ufundi la timu za simba na Yanga
 
Kwa hakika Rais Samia Anastahili pongezi sana kutoka kwa jumuiya ya wanamichezo.maana ameleta chachu kubwa sana na hamasa ya kipekee sana katika michezo tangia ameingia madarakani.kwa kuwa kwa sasa wachezaji wanapambana sana wawapo uwanjani ili waweze kupata zawadi ya mama ya pesa taslimu.

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,maana kila awekapo mkono ni lazima pafanikiwe.mikono ya Rais Samia imebarikiwa na kupewa kibali na Mungu mwenyewe na ndio maana akiweka tu mkono wake mahali popote pale ni lazima ushindi wa kishindo upatikane.ndio maana kama Taifa ni washindi katika kila kitu kinachojitokeza mbele yetu.

Hongera sana Rais Samia umekata kiu ya watanzania ya kutaka kuona tunapata timu mbili hatua ya robo fainali.
 
Kwa hakika Rais Samia Anastahili pongezi sana kutoka kwa jumuiya ya wanamichezo.maana ameleta chachu kubwa sana na hamasa ya kipekee sana katika michezo tangia ameingia madarakani.kwa kuwa kwa sasa wachezaji wanapambana sana wawapo uwanjani ili waweze kupata zawadi ya mama ya pesa taslimu.

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,maana kila awekapo mkono ni lazima pafanikiwe.mikono ya Rais Samia imebarikiwa na kupewa kibali na Mungu mwenyewe na ndio maana akiweka tu mkono wake mahali popote pale ni lazima ushindi wa kishindo upatikane.ndio maana kama Taifa ni washindi katika kila kitu kinachojitokeza mbele yetu.

Hongera sana Rais Samia umekata kiu ya watanzania ya kutaka kuona tunapata timu mbili hatua ya robo fainali.

Sasa uzi ndio umekamilika baada ya mtani wangu Mnyiha wa Mlowo kutia timu...
 
Tulijua tu ,kenge mlivyo na matusi
1709457948241.png
 
Jifunze kuandika kwanza ndipo uje kutoa uharo wako hapa.

Hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
Ndio maana siwezi shabikia kenges kama Lema na kundi lake ,hivi na wewe unajiita akili kubwa ehe?
 
Kwakweli hangaya anastahili pongezi,kwa Yale magoli ma3,aliyofunga Jana kutoka kwa pasi mujarabu toka kwa chama
Anaupiga mwingiii🤣🤣🤣
Mi5 tena kwake manake kama boli anajua kulisakata🤧🤧🤧
 
Hivi kweli unaweza ukawa mshabiki wa saccos ya mzee Mbowe na bado uakaona uko sawa KWELI?
 
Hivi kweli unaweza ukawa mshabiki wa saccos ya mzee Mbowe na bado uakaona uko sawa KWELI?
 
Hivi kweli unaweza ukawa mshabiki wa saccos ya mzee Mbowe na bado uakaona uko sawa KWELI?
 
Un

Ungekuwa na akili ungemshabikia mbuzi kama Lema na saccos ya binamu yake ?
Una bahati saan leo niko kwa mood ya kujibu wajinga kama nyie, siku hizi huwa sijibishani na ngedere kama nyie, huwa naweka kwa ignore list tu
 
Back
Top Bottom