Hongera sana Rais Samia kwa kupeleka timu mbili CAF

Hongera sana Rais Samia kwa kupeleka timu mbili CAF

Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Nilitaka nitukane lakini kumbe jina lako ni chizi tayari inatosha
 
Hizo ndio habari anazopata haraka mpira ukiisha tu mambo yakiwa mazuri kama namuona embu nileeteni simu yangu mbio kurusha tweet.

Akiambiwa habari za umeme, sukari, sijui maji,; ebu watafuteni mawaziri wajibu. Hayo mambo hataki kusikia kabisa wala kuyaongelea.
 
Mama ana baraka,beema na upako. Mwenyezi Mungu azidi kumpa maarifa,hekima,busara na mwongozo.
 
Mlivyo Walaanifu na mnavypenda shirki kuna siku mtasema Hongera Mh. Kwa jua kuchomoza maana mtu akishalaanika na akitaka kushibisha tumbo lake hana haya wala kumshirikisha Allaah kwake sio jambo kubwa.
 
Hizo ndio habari anazopata haraka mpira ukiisha tu mambo yakiwa mazuri kama namuona embu nileeteni simu yangu mbio kurusha tweet.

Akiambiwa habari za umeme, sukari, sijui maji,; ebu watafuteni mawaziri wajibu. Hayo mambo hataki kusikia kabisa wala kuyaongelea.
Sasa unataka aongelee mambo asiyoyajua?
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Tanzania ina maChizi wengi sana. Comrade, fanya kujipiga kifua. Maana mko wengi sana.
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Kaziwezeshaje hizi timu mbili? Umetumwa kumpigia kampeni?
 
Kwa kweli ni juhudi kubwa sana ya Rahisi Samia na anastahili pongezi kubwa kwa kuziwezesha Simba na Yanga zote kuingia Fainali katika mashindano haya makubwa ya Vilabu. Tena wamengia kwa kishindo kwa kuzichabanga teams pinzani magoli ya kutosha.

Hizi zote ni juhudi za Serikali ya CCM katika kuleta Maendeleo ya nchi. Kwa kweli tumefanikiwa sana na naona huko mbeleni tutakuja kufanya makubwa zaidi ya haya.

Angalau tumepata faraja katika kipindi hiki cha majonzi kwa kuwa na wawakilishi wawili kimataifa. Si jambo dogo. Ni maendeleo makubwa sana.
Labda uwe umeandika hii kitu kwa utani tu ila ikiwa upo serious we mpumbavu wa kiwango cha hali ya juu kupitiliza
 
Back
Top Bottom