Hongera Wananchi mnazidi kudhihilisha ubora wenu, mnaongoza kundi na mpira mkubwa

Hongera Wananchi mnazidi kudhihilisha ubora wenu, mnaongoza kundi na mpira mkubwa

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sintowapongeza wachezaji na benchi zima la ufundi kwa kazi kubwa mliyoifanya mpaka kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho, timu kwa sasa inajiamini pakubwa, ikichagizwa na usajili bora uliofanyika.

Mchakato wa kuitengeneza Yanga mpya umekuwa na tija kubwa na sasa unalipa, pongezi pia kwa Eng, Hersi na viongozi wote wanaopambana usiku na mchana kuakikisha Yanga inakuwa imara kila eneo.

Hii ni meseji inatumwa kwamba, yanga ya sasa inakuja kuwa tishio na sintoshangaa wakifika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho, kuongoza kundi kibabe na mpira ukipigwa mkubwa na sio kubahatisha nawapa heko🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏.
 
Nitakuwa mchoyo wa fadhira kama sintowapongeza wachezaji na benchi zima la ufundi kwa kazi kubwa mliyoifanya mpaka kutinga hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho, Timu kwa sasa inajiamini pakubwa ikichagizwa na usajili bora uliofanyika, Mchakato wa kuitengeneza yanga mpya umekuwa na tija kubwa na sasa unalipa, Pongezi pia kwa Eng, Hersi na viongozi wote wanaopambana usiku na mchana kuakikisha Yanga inakuwa imara kila eneo, Hii ni meseji inatumwa kwamba yanga ya sasa inakuja kuwa tishio na sintoshangaa wakifika nusu fainali ya kombe la shirikisho, kuongoza kundi kibabe na mpira ukipigwa mkubwa na sio kubahatisha nawapa heko🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Kombe la Loser
 
Ligi ya vilaza ambayo ilibidi mumtumie shetani lucifer kule south africa kuchoma uwanja moto ili kuona kama mngetoboa lakini mkapokea kichapo na kurudi mikono nyuma, mlishindwa nini kutoboa kwenye iyo ligi ya vilaza?
Kwani aliye liita kombe la walioshindwa ni Simba au ni mropokaji wenu?
 
Nitakuwa mchoyo wa fadhira kama sintowapongeza wachezaji na benchi zima la ufundi kwa kazi kubwa mliyoifanya mpaka kutinga hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho, Timu kwa sasa inajiamini pakubwa ikichagizwa na usajili bora uliofanyika, Mchakato wa kuitengeneza yanga mpya umekuwa na tija kubwa na sasa unalipa, Pongezi pia kwa Eng, Hersi na viongozi wote wanaopambana usiku na mchana kuakikisha Yanga inakuwa imara kila eneo, Hii ni meseji inatumwa kwamba yanga ya sasa inakuja kuwa tishio na sintoshangaa wakifika nusu fainali ya kombe la shirikisho, kuongoza kundi kibabe na mpira ukipigwa mkubwa na sio kubahatisha nawapa heko🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Oyo oyo oyoooooooo!!! Wananchi tunatisha sana
 
Kilaza ni yule mwenye wachezaji wa ndondo cup nafikiri anajijua, watu wanakwenda robo fainali wakiwa wanajiamini wengine wanakwenda wakiwa akili mbili vichwani sijui hapo ni nani kilaza zaidi
CAF sio wajinga kuweka zawadi kiduchu huko shirikisho kuliko champions. Ni kilaza pekee anaedhani ushindani wa europa league ni sawa na eufa champions.
 
Kipofu kaona mwezi kwa kombe la looser toka 1998 alikuwa anajamba jamba tu mitaani [emoji1787]
 
Maneno ya mkosaji. Hata mtihani unakuwaga hivyo hivyo unajifanya kuongoza test ikifika mtihani wa mwisho chaliii
Vile unavyoona europa league ni kwa timu za uwezo average ni hivyo hivyo na huku CAF shirikisho.Hakuna timu bora inayoshiriki europa league.
 
CAF sio wajinga kuweka zawadi kiduchu huko shirikisho kuliko champions. Ni kilaza pekee anaedhani ushindani wa europa league ni sawa na eufa champions.
Sawa, pumba na mchele vitajitenga hivi karibuni, timu bora itaendelea na michuano na timu dhaifu itaishia robo fainali, ubora wa timu yako tutaupima hatua ya robo fainali maana akuna tena wakina horoya
 
Back
Top Bottom