CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Tupe msimamo wa ligi kuu maana mnashiriki pamoja hiyo ligi ili nako tuone kama kilaza anaongoza vilaza wenzie.Kilaza anapojisifu kuongoza vilaza wenzie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe msimamo wa ligi kuu maana mnashiriki pamoja hiyo ligi ili nako tuone kama kilaza anaongoza vilaza wenzie.Kilaza anapojisifu kuongoza vilaza wenzie.
Mafanikio sio kombe pekee ndio maana kila hatua kuna zawadi. Mna miaka 24 hamjawahi ipata robo fainal ya champions na sio kwamba hamuitaki bali ni uwezo wenu umeishia hapo.Jibu swali,Mshawahi shinda nini!?
Ni hatua nzuri kwa nafasi ya 10 kwa ubora barani Afrika, na ndo chagizo la kuingiza timu nne kwenye michuano ya KimataifaHuko CL una nini ulichowahi shinda!!?
Wewe ni looser tu,Ni hatua nzuri kwa nafasi ya 10 kwa ubora barani Afrika, na ndo chagizo la kuingiza timu nne kwenye michuano ya Kimataifa
Je anayefika Chuo na anaishia sekondari kidato cha nne ni sawa?
Kwa kifupi wewe ni looser huna nyota hata moja ngazi ya AfrikaMafanikio sio kombe pekee ndio maana kila hatua kuna zawadi. Mna miaka 24 hamjawahi ipata robo fainal ya champions na sio kwamba hamuitaki bali ni uwezo wenu umeishia hapo.
Kwanini sasa uteseke na kitu ambacho si kipya kwako?Hii ya kuongoza kundi nayo mpyaaa sasa? Simba ilishaongoza kundi tena CL na ndani ya kundi hilo Al Ahly akiwemoooo.
Hakunaaa jipyaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Makolokolo ni lisindikizaji bora zaidi ya miaka mi5 na litaendelea hivyo hivyo hadi millennium [emoji1787]K
Kweni huko Kwa vipanga una nini ulichoshinda Cha maana!?
Makolokolo maisha hayarudi nyuma kama mlivyoingiaga uwanjani kinyume nyume kwa upumbavu wenu wa imani za kishirikina bali huenda mbele.utopolo bhana hata kuongoza kundi kwa muda unashangilia wakati bado mechi moja tena kundi lenyewe la 'losers' cup kwa walioshindwa Champion league.kwetu Simba Kuongoza kundi siyo habari kwani tuliwahi kuongoza kundi la 'Champions' league mbele ya Al Ahly
Intermillan alikaa miaka 35 hajawahi kuchukua UEFA CHAMPIONS LEAGUE hadi 2010 alipoenda Mourinho ndipo akatwaa ubingwa, iwe nongwa kwa Yanga FC iliyokaa miaka 24 tu?Mafanikio sio kombe pekee ndio maana kila hatua kuna zawadi. Mna miaka 24 hamjawahi ipata robo fainal ya champions na sio kwamba hamuitaki bali ni uwezo wenu umeishia hapo.
Arsenal ana zaidi ya miaka 26 mbele ya Chelsea kwa ukongwe wa kuasisiwa klabu, pia alimtangulia Chelsea FC kucheza fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE dhidi ya Barcelona FC 2006.Mafanikio sio kombe pekee ndio maana kila hatua kuna zawadi. Mna miaka 24 hamjawahi ipata robo fainal ya champions na sio kwamba hamuitaki bali ni uwezo wenu umeishia hapo.
Makolo amna tofauti na Tanzania prisons kwenye michuano ya kimataifa ambayo inacheza ligi kuu kila msimu na uwa inapambana kubaki kwenye ligi tu basi, ata iyo kungia robo fainali ni bahati tu imewaangukia mkakutana na wakina vipers na horoya ndo ikawa ivyo, ndio maana raja katembeza kichapo kwa vilaza wote kwenye kundi iyo inatuma meseji unakoelekea ndio mwendo umeumaliza maana akuna tena kina horoya kule, utapewa stahiki yako ipasavyo ata ukilala unaroga uwanja mwaka mzimaMafanikio sio kombe pekee ndio maana kila hatua kuna zawadi. Mna miaka 24 hamjawahi ipata robo fainal ya champions na sio kwamba hamuitaki bali ni uwezo wenu umeishia hapo.
Hawa dawa yao watolewe robo,Ili wakomeMakolokolo ni lisindikizaji bora zaidi ya miaka mi5 na litaendelea hivyo hivyo hadi millennium [emoji1787]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wamkande arudi kukimbizana na IhefuMakolo amna tofauti na Tanzania prisons kwenye michuano ya kimataifa ambayo inacheza ligi kuu kila msimu na uwa inapambana kubaki kwenye ligi tu basi, ata iyo kungia robo fainali ni bahati tu imewaangukia mkakutana na wakina vipers na horoya ndo ikawa ivyo, ndio maana raja katembeza kichapo kwa vilaza wote kwenye kundi iyo inatuma meseji unakoelekea ndio mwendo umeumaliza maana akuna tena kina horoya kule, utapewa stahiki yako ipasavyo ata ukilala unaroga uwanja mwaka mzima
Ila safari hii Mkuu tarehe 16 Aprili, 2023 Simba mjikomboe walau mmfunge Yanga. Mkifungwa tena utani haunogi!Mafanikio sio kombe pekee ndio maana kila hatua kuna zawadi. Mna miaka 24 hamjawahi ipata robo fainal ya champions na sio kwamba hamuitaki bali ni uwezo wenu umeishia hapo.
Mliifunga lini simba kwenye ligi zaidi ya kubahatisha kwenye ngao ya jamii?Ila safari hii Mkuu tarehe 16 Aprili, 2023 Simba mjikomboe walau mmfunge Yanga. Mkifungwa tena utani haunogi!
Mimi sio Shabiki wa Yanga ila ninachojua kuanzia mwaka 2019/2020 hadi leo 2022/2023 hamjamfunga Yanga kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Zaidi mlitoka sare tena ya mwisho mlishangilia sana. Vilevile, kama utakumbuka kwenye uchaguzi wa Viongozi wenu ambao mlimwalika mchezaji anaitwa Manzoki, wanachama wa Simba walimsuta sana Mwenyekiti Mangungu kwa kushindwa kuifunga Yanga kwa muda mrefu. Kama nimekukosea naomba samahani Mkuu.Mliifunga lini simba kwenye ligi zaidi ya kubahatisha kwenye ngao ya jamii?
Ukiondoa Pyramid na AS FAR timu zote zilizopo shirikisho ni vilaza sana. Horoya au Vipers wangekuwa shirikisho wangeongoza makundi. Angalia huyo Gallants kwenye ligi ya south anaburuza mkiani lakini huko shirikisho anaongoza kundi .Makolo amna tofauti na Tanzania prisons kwenye michuano ya kimataifa ambayo inacheza ligi kuu kila msimu na uwa inapambana kubaki kwenye ligi tu basi, ata iyo kungia robo fainali ni bahati tu imewaangukia mkakutana na wakina vipers na horoya ndo ikawa ivyo, ndio maana raja katembeza kichapo kwa vilaza wote kwenye kundi iyo inatuma meseji unakoelekea ndio mwendo umeumaliza maana akuna tena kina horoya kule, utapewa stahiki yako ipasavyo ata ukilala unaroga uwanja mwaka mzima
Mnaoteseka ni nyie, kuona kwamba kuongoza kundi ni jambo jipyaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini sasa uteseke na kitu ambacho si kipya kwako?
"Ukijikuna ujue umewashwa"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kilaza anakuongoza Hadi ww , basi ww ni kilaza zaidi yakeKilaza anapojisifu kuongoza vilaza wenzie.
Timu kubwa malengo yake sio kuifunga timu moja tu. Mwenye akili timamu hawezi kutoka mbele na kuitaja yanga ndio imepata mafanikio kuliko simba kwa hicho kipindi ulichotaja.Mimi sio Shabiki wa Yanga ila ninachojua kuanzia mwaka 2019/2020 hadi leo 2022/2023 hamjamfunga Yanga kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Zaidi mlitoka sare tena ya mwisho mlishangilia sana. Vilevile, kama utakumbuka kwenye uchaguzi wa Viongozi wenu ambao mlimwalika mchezaji anaitwa Manzoki, wanachama wa Simba walimsuta sana Mwenyekiti Mangungu kwa kushindwa kuifunga Yanga kwa muda mrefu. Kama nimekukosea naomba samahani Mkuu.