Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya kuongoza kundi nayo mpyaaa sasa? Simba ilishaongoza kundi tena CL na ndani ya kundi hilo Al Ahly akiwemoooo.Kilaza ni yule mwenye wachezaji wa ndondo cup nafikiri anajijua, watu wanakwenda robo fainali wakiwa wanajiamini wengine wanakwenda wakiwa akili mbili vichwani sijui hapo ni nani kilaza zaidi
Napigilia msumari wa moto hapa NI MATUMIZI MBAYA YA AKILI ambayo yanahitaji matibabu KUDHANI KOMBE LA LOOSER SAWA NA CAFCLCAF sio wajinga kuweka zawadi kiduchu huko shirikisho kuliko champions. Ni kilaza pekee anaedhani ushindani wa europa league ni sawa na eufa champions.
Kweni huko Kwa vipanga una nini ulichoshinda Cha maana!?Kilaza anapojisifu kuongoza vilaza wenzie.
Huko CL una nini ulichowahi shinda!!?Napigilia msumari wa moto hapa NI MATUMIZI MBAYA YA AKILI ambayo yanahitaji matibabu KUDHANI KOMBE LA LOOSER SAWA NA CAFCL
Huko Kwa winners una kombe lolote!!?Kombe la Loser
Huko Kwa winners una Cha maana ambacho ushawahi shinda!?Kipofu kaona mwezi kwa kombe la looser toka 1998 alikuwa anajamba jamba tu mitaani [emoji1787]
Mwambie huyoSawa, pumba na mchele vitajitenga hivi karibuni, timu bora itaendelea na michuano na timu dhaifu itaishia robo fainali, ubora wa timu yako tutaupima hatua ya robo fainali maana akuna tena wakina horoya
Huko Champions league ushawahi kushinda nini!?CAF sio wajinga kuweka zawadi kiduchu huko shirikisho kuliko champions. Ni kilaza pekee anaedhani ushindani wa europa league ni sawa na eufa champions.
Ni kweli champions hatua ya robo akina horoya hawapo Ila huko shirikisho hatua hiyo hiyo ya robo akina horoya wapo kibao. Na ndio tofauti ya champions na shirikisho.Sawa, pumba na mchele vitajitenga hivi karibuni, timu bora itaendelea na michuano na timu dhaifu itaishia robo fainali, ubora wa timu yako tutaupima hatua ya robo fainali maana akuna tena wakina horoya
Ukweli utakuuma daima,huna ulichowahi shinda CLVile unavyoona europa league ni kwa timu za uwezo average ni hivyo hivyo na huku CAF shirikisho.Hakuna timu bora inayoshiriki europa league.
utopolo bhana hata kuongoza kundi kwa muda unashangilia wakati bado mechi moja tena kundi lenyewe la 'losers' cup kwa walioshindwa Champion league.kwetu Simba Kuongoza kundi siyo habari kwani tuliwahi kuongoza kundi la 'Champions' league mbele ya Al AhlyKilaza ni yule mwenye wachezaji wa ndondo cup nafikiri anajijua, watu wanakwenda robo fainali wakiwa wanajiamini wengine wanakwenda wakiwa akili mbili vichwani sijui hapo ni nani kilaza zaidi
Na wewe unalingia CL!?Ni kweli champions hatua ya robo akina horoya hawapo Ila huko shirikisho hatua hiyo hiyo ya robo akina horoya wapo kibao. Na ndio tofauti ya champions na shirikisho.
Huko winners mshawahinshinda kombe Gani!?utopolo bhana hata kuongoza kundi kwa muda unashangilia wakati bado mechi moja tena kundi lenyewe la 'losers' cup kwa walioshindwa Champion league.kwetu Simba Kuongoza kundi siyo habari kwani tuliwahi kuongoza kundi la 'Champions' league mbele ya Al Ahly
Rudi kwenye hoja yako ya kuongoza kundiHuko winners mshawahinshinda kombe Gani!?
Kuna ubaya tukiongoza kundi!?Rudi kwenye hoja yako ya kuongoza kundi
hakuna ubaya ,ila usisherekee mbele ya Simba kwani kwake siyo habariKuna ubaya tukiongoza kundi!?
Nyinyi mnaoshiriki shirikisho na mnajiona Bora kuliko anaeshiriki champions mmeshinda nini ?Huko Champions league ushawahi kushinda nini!?
Miye sijakufuata popotehakuna ubaya ,ila usisherekee mbele ya Simba kwani kwake siyo habari
Jibu swali,Mshawahi shinda nini!?Nyinyi mnaoshiriki shirikisho na mnajiona Bora kuliko anaeshiriki champions mmeshinda nini ?