Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Mimi sijasema ni mafanikio ila nimesema ili utani unoge basi safari hii hapo Aprili mmfunge Yanga. Ikija mada ya mafanikio tutajuzana Boss Wangu.Timu kubwa malengo yake sio kuifunga timu moja tu. Mwenye akili timamu hawezi kutoka mbele na kuitaja yanga ndio imepata mafanikio kuliko simba kwa hicho kipindi ulichotaja.
Hata J's kybale ambaye kafuzu robo klabu bingwa yuko mkiani kwenye ligi yakeUkiondoa Pyramid na AS FAR timu zote zilizopo shirikisho ni vilaza sana. Horoya au Vipers wangekuwa shirikisho wangeongoza makundi. Angalia huyo Gallants kwenye ligi ya south anaburuza mkiani lakini huko shirikisho anaongoza kundi .
Uto ana deni la 5-0 pia 4-1 ili utani unoge inabidi arudishe hivyo vipigo.Mimi sijasema ni mafanikio ila nimesema ili utani unoge basi safari hii hapo Aprili mmfunge Yanga. Ikija mada ya mafanikio tutajuzana Boss Wangu.
Hiyo sawa ila hiyo ya kutomfunga mtani wako kwa muda mrefu hasa kwenye Ligi Kuu ni vizuri ikafanyiwa kazi.Uto ana deni la 5-0 pia 4-1 ili utani unoge inabidi arudishe hivyo vipigo.
Kwani kwenye ligi kuu mmeifunga lini simba hadi uone kwenu sio muda mrefu?Hiyo sawa ila hiyo ya kutomfunga mtani wako kwa muda mrefu hasa kwenye Ligi Kuu ni vizuri ikafanyiwa kazi.
Dah haya nimemaliza!Kwani kwenye ligi kuu mmeifunga lini simba hadi uone kwenu sio muda mrefu?
Leta jibu mmeifunga lini kwenye ligi?Dah haya nimemaliza!