Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Enzi na Enzi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
888
Reaction score
821
Naipongeza wizara ya elimu kwakusikia malalamiko niliyoyafikisha kwenu kupitia jukwaa letu pendwa la jf.

Nilileta uzi nikiwatetea wazazi na kuwatuhumu baadhi ya walimu wa shule za secondary na msingi nilianza na shule ya secondary ya kata wilayani magu kwa kuagiza watoto wapeleke kilo10 za mchele pamoja na tsh.2000 kwakila mtoto kwa ajiri ya chakula baada yakuongeza masaa mawili ya ziada nikisema huo mpango ulikuwa ni mpango wa walimu kujipatia pesa.

baada ya uzi wangu kusomwa na wachangiaji hasa walimu, nilishambuliwa sana japo hawakuja na hoja ya kujibu mambo muhimu niliyohoji sababu ya kufanya hivyo.

Nashukuru leo serikali kupitia wizara ya elimu imejibu na kuungana na mimi kufikia hatua ya kutoa waraka wakuzuia shule zte nchini za msingi/secondary kuzuia ongezeko la masaa hayo mawili kwa kuwaeleza imegundua kuna changamoto za usafiri na baadhi ya shule zinazotumia mfumo wa doble.

serikali/ wizara imeelekeza km wanataka kuongeza mda wa vipindi basi uwe ndani ya utaratibu wa zamani wa masomo hayohayo manane nasio kuongeza mda wa masaa mawili.

hivyo niwakati sasa walimu mliokuwa mmekusanya fedha na mchele mrudishe kwa wazazi mliowachangisha vinginevyo takukuru watatimba faster kurudisha michango ya wazazazi km walivyoludisha mahindi ya shule huko manyara yaliyotaperiwa na mh.Diwani na afisa wake wakata.

hongera wizara hongera ccm na hongera serikari.
maana sehem zte hizi tuliwapa taarifa.

Angalizo kwa walimu na kamati zilizohusika.
1. Ludisheni michango
2.tangazeni kusitisha zoezi hili kwa barua km mlivyo toa barua kwa wazazi, vinginevyo tutaashumu mnaendelea kupiga kimyakimya.

Mwisho... wamimu njooni tena muijibu wizara au serikali hapa tena siyo mimi enzi na enzi.

Nawasilisha.
Nakala 1. Wazazi wte tz
Nakala 1. Walimu wte na kamati za shule zilizoagiza na kubariki wizi huu kwa wazazi
Nakala 1. Maafisa watendaji kata tz maana ndio mlitumiwa.

Enzi na Enzi.
Dar es salaam.
 
20200702_171940.jpg
toeni barua kama hizi za kusitisha michango maana bado mnachangisha.
 
Hongera sana kwa kupigania hilo ila hao watoto sijui kama watafundishwa kwa moyo wote na hao walimu wenye njaa ya mahindi na shilingi 2000/=

Ha ha ha ! Walipoona mipunga imeiva wakanja na mbinu za mchele 10kg.

Kabula ya michele walikuwa wakitaka hela ya uji.
Waalimu bwana mnajimalizia heshima ktk jamii.
Hili nalo limewavua nguo japo nalo litapita.
 
Sidhani kama waalim wananjaa kiasi hicho. Nachokiona ni kwamba waalim ni wepesi kuendeshwa kwa matamko kutoka juu licha ya kwamba matamko hayo hayana uhalali kisheria na kikanuni. Kwa post hii sina maana ya kumtetea mwalimu au mtumishi yotote mwizi. Pongezi kwako mleta uzi. Umeokoa hifadhi ya chakula cha wazazi.
 
Sidhani kama waalim wananjaa kiasi hicho. Nachokiona ni kwamba waalim ni wepesi kuendeshwa kwa matamko kutoka juu licha ya kwamba matamko hayo hayana uhalali kisheria na kikanuni. Kwa post hii sina maana ya kumtetea mwalimu au mtumishi yotote mwizi. Pongezi kwako mleta uzi. Umeokoa hifadhi ya chakula cha wazazi.

Hili jambo niliwahi kuwaambia humhum jf walimu yakwamba.
Kwanini walimu wazamani walikuwa wakiheshimika sana ktk jamii kuliko siku hizi?

Zamani hata ukiwa na rafiki yako mtoto wa mwalimu nawewe unaheshimika.

Nikawaambia ualimu ni heshima kubwa karne na karne. Nikasema heshima hii ilijengwa hata na BWANA YESU KRISTO ...walimuita mwl.

Julius k. Nyerere alikuwa Mwl. Naalisema aitwe mwl. Jkn nasiyo mtukufu rais au mh.

Lakini pia walimu ndio wameongoza nchi hii mpaka sasa.

Nikawauliza waalimu , wao hawana hata group la watssap la walimu? Ili wawe wanalekebishana kulinda hadhi zao?

Nikawaeleza hata ukiangali taasisi ya Takukuru asilimia kubwa ukisikia imeokoa hela za mstaafu! Basi atakuwa mstaafu ni mwl.

Ukichunguza wanaopigwa kwenye vibanda umiza vya mikopo utagundua ni walimu.

Nikawaambia Waalimu wazamani hawakuwa watu wakuendereza starehe, walifundisha na walichapa kazi zao kwa weledi km vile kulima, siasa, ufugaji, na biashara.
Ilikuwa ukifika kwa mwl. Lazima ukutane na kuku ,bata, mbuzi na ng'ombe kwa mwl.

Walimu waleo wameendekeza starehe ndo maana hata waalimu wakike wanaongoza kuolewa na watu wasio na heshima ktk jamii ilimradi tu anatuhela twa kumpereka saloon.

Nikawashauri warudishe heshima yao kwa kukataa mambo yasiyowahusu. Kazi yao walosomea nikufundisha nakazi zingine zenye mlengo huo.
Nikawashauri km nishida hata huku kwa wazazi shida zipo hivyo kuwabebesha mizigo mingine kwa mgongo wa elimu nikujimalizia heshima.
Lakini nilitukanwa.
Haya tukaneni tena kwa wizara yenu.
 
Hili swali waulize wizara ya elimu waliotoa waraka huo.
Km hawatakula nyie linawatesa nini?

Tunzeni heshima zenu. Njaa mbaya sana.
...hicho ulichooandika ni kwa sababu una njaa ya akili!
Miongoni mwa maeneo ambayo yapo nyuma kielimu na mwamko wa elimu bado upo chini ni huko ulikotaja wanakochangishwa chakula!
...maeneo kama klm huwezi sikia upuuzi kama unaoleta hapa! Wazazi wanachangishwa na wanalipa michango ya chakula na huwezi kusikia malalamiko, tena wanachanga zaidi ya hicho mnachochanga nyie!
...kwa ufinyu huo wa akili ulionao hivi hizi zero na four hapa kwenye hiyo shule yenu mtaweza kuziondoa kweli?
IMG_0763.jpg
 
Sioni sababu bado ya wewe kushambulia walimu na kuipongeza Serikali.

Unaonekana kama hujitambui...coz Serikali yenyewe ndio ilitengeneza tatizo hilo na wamekula tapishi lao wenyewe.

Walimu wala hawahusiki popote.

KILAZA.
 
...hicho ulichooandika ni kwa sababu una njaa ya akili!
Miongoni mwa maeneo ambayo yapo nyuma kielimu na mwamko wa elimu bado upo chini ni huko ulikotaja wanakochangishwa chakula!
...maeneo kama klm huwezi sikia upuuzi kama unaoleta hapa! Wazazi wanachangishwa na wanalipa michango ya chakula na huwezi kusikia malalamiko, tena wanachanga zaidi ya hicho mnachochanga nyie!
...kwa ufinyu huo wa akili ulionao hivi hizi zero na four hapa kwenye hiyo shule yenu mtaweza kuziondoa kweli?View attachment 1495626
Na utakuta ndio wanaongoza kwa kuzaa usiku na mchana, una hoja ya msingi sana ndugu mchangiaji.
Na ndiko kunakoongoza mimba na ndoa za utotoni.
 
Hili jambo niliwahi kuwaambia humhum jf walimu yakwamba.
Kwanini walimu wazamani walikuwa wakiheshimika sana ktk jamii kuliko siku hizi?

Zamani hata ukiwa na rafiki yako mtoto wa mwalimu nawewe unaheshimika.

Nikawaambia ualimu ni heshima kubwa karne na karne. Nikasema heshima hii ilijengwa hata na BWANA YESU KRISTO ...walimuita mwl.

Julius k. Nyerere alikuwa Mwl. Naalisema aitwe mwl. Jkn nasiyo mtukufu rais au mh.

Lakini pia walimu ndio wameongoza nchi hii mpaka sasa.

Nikawauliza waalimu , wao hawana hata group la watssap la walimu? Ili wawe wanalekebishana kulinda hadhi zao?

Nikawaeleza hata ukiangali taasisi ya Takukuru asilimia kubwa ukisikia imeokoa hela za mstaafu! Basi atakuwa mstaafu ni mwl.

Ukichunguza wanaopigwa kwenye vibanda umiza vya mikopo utagundua ni walimu.

Nikawaambia Waalimu wazamani hawakuwa watu wakuendereza starehe, walifundisha na walichapa kazi zao kwa weledi km vile kulima, siasa, ufugaji, na biashara.
Ilikuwa ukifika kwa mwl. Lazima ukutane na kuku ,bata, mbuzi na ng'ombe kwa mwl.

Walimu waleo wameendekeza starehe ndo maana hata waalimu wakike wanaongoza kuolewa na watu wasio na heshima ktk jamii ilimradi tu anatuhela twa kumpereka saloon.

Nikawashauri warudishe heshima yao kwa kukataa mambo yasiyowahusu. Kazi yao walosomea nikufundisha nakazi zingine zenye mlengo huo.
Nikawashauri km nishida hata huku kwa wazazi shida zipo hivyo kuwabebesha mizigo mingine kwa mgongo wa elimu nikujimalizia heshima.
Lakini nilitukanwa.
Haya tukaneni tena kwa wizara yenu.
Wewe mzee sidhani kama umeshasomesha hata mmoja chuo kikuu ikiwa mwanao tu mchango wa chakula tu unawatapikia walimu kama watoto wako?

Sina hakika kama hata mabinti zako unawahudumia kwa malalamiko haya.
Acha mawazo duni.

Jitolee kusapoti program muhimu kwa watoto wako.

Wasukuma ninaowafahamu hawawezi kulalamika kwa kilo kumi za mchele, wewe utakuwa mvivu haswa.

Acha uvivu lima, lima , lima, tena lima haswaa.

Hata walimu wakila shuleni wakapata nguvu kuwafundisha wanao mnapungukiwa nini.

Hoja zako ni mfu, unasema walimu walikuwa na mabata wanalima n.k leo walimu wako wangapi?

Shule ngapi bado zina maeneo ya kulima? Wanafunzi wenyewe hawalimi siku hizi kama ninyi mlivyolelewa.

Acha uvivu mzee
 
Tatizo lako liko kichwani, hivi aloongeza hayo masaa mawili ni walimu au serikali uenyewe??
Hicho chakula umewachangia walimu au wanao? Yaan uko radhi mwanao ashinde shule kutwa bila kula? Na hapo hulipi ada ni shule ya kata!! Ajabu hii..
 
  • Thanks
Reactions: a45
Hili jambo niliwahi kuwaambia humhum jf walimu yakwamba.
Kwanini walimu wazamani walikuwa wakiheshimika sana ktk jamii kuliko siku hizi?

Zamani hata ukiwa na rafiki yako mtoto wa mwalimu nawewe unaheshimika.

Nikawaambia ualimu ni heshima kubwa karne na karne. Nikasema heshima hii ilijengwa hata na BWANA YESU KRISTO ...walimuita mwl.

Julius k. Nyerere alikuwa Mwl. Naalisema aitwe mwl. Jkn nasiyo mtukufu rais au mh.

Lakini pia walimu ndio wameongoza nchi hii mpaka sasa.

Nikawauliza waalimu , wao hawana hata group la watssap la walimu? Ili wawe wanalekebishana kulinda hadhi zao?

Nikawaeleza hata ukiangali taasisi ya Takukuru asilimia kubwa ukisikia imeokoa hela za mstaafu! Basi atakuwa mstaafu ni mwl.

Ukichunguza wanaopigwa kwenye vibanda umiza vya mikopo utagundua ni walimu.

Nikawaambia Waalimu wazamani hawakuwa watu wakuendereza starehe, walifundisha na walichapa kazi zao kwa weledi km vile kulima, siasa, ufugaji, na biashara.
Ilikuwa ukifika kwa mwl. Lazima ukutane na kuku ,bata, mbuzi na ng'ombe kwa mwl.

Walimu waleo wameendekeza starehe ndo maana hata waalimu wakike wanaongoza kuolewa na watu wasio na heshima ktk jamii ilimradi tu anatuhela twa kumpereka saloon.

Nikawashauri warudishe heshima yao kwa kukataa mambo yasiyowahusu. Kazi yao walosomea nikufundisha nakazi zingine zenye mlengo huo.
Nikawashauri km nishida hata huku kwa wazazi shida zipo hivyo kuwabebesha mizigo mingine kwa mgongo wa elimu nikujimalizia heshima.
Lakini nilitukanwa.
Haya tukaneni tena kwa wizara yenu.
Mkuu waalin wengi sasa wanaingia qnet na kibaya zaidi huwashawishi hadi wajasiriamali nao wauze assets zao bao wajiunge qnet. Yaan waalim wa sasa sijui nani kawaroga
 
...hicho ulichooandika ni kwa sababu una njaa ya akili!
Miongoni mwa maeneo ambayo yapo nyuma kielimu na mwamko wa elimu bado upo chini ni huko ulikotaja wanakochangishwa chakula!
...maeneo kama klm huwezi sikia upuuzi kama unaoleta hapa! Wazazi wanachangishwa na wanalipa michango ya chakula na huwezi kusikia malalamiko, tena wanachanga zaidi ya hicho mnachochanga nyie!
...kwa ufinyu huo wa akili ulionao hivi hizi zero na four hapa kwenye hiyo shule yenu mtaweza kuziondoa kweli?View attachment 1495626
Pole sana mwl. Njaa.
Siku zote wanasema iga ufe. Kwa wanafunzi waliopita kinango secondary miaka ya 92 watakuwa mashahidi hapa.
Maisha ya shuleni yalikuwa magumu sana japo tulikuwa bording!
Tulikunywa uji bila sukali nusu kikombe na chakula cha mchana na jion ilikuwa kukimbizana na masifuria
Lkn angalia vijana tulivyotoboa mwaka huo.
Watoto wa matajiri pale magu, pamoja nakuwa nakila kitu walitoka na zero.

Mikoa ya Arusha, kilimanjaro na Kagera sikwamba wajinga hawapo arusha na kilimanjaro ndo inaongoza kuwa na mateja wengi kwa jina la kisasa arachuga.
Sili ya wasomi wengi kutoka mikoa hyo sio chakula ila nimikoa yenye wananchi wenye uwezo wa kifedha.
Hivyo walipeleka wtt wao ktk shule zenye uwezo. Na mpaka ss wanafanya hivyo.

Na ndo kabila linaloongoza kwa kuwekeza ktk taasisi za elimu na za kifedha nchini.

Angalia matokeo ya kisongo secondary iliyopo arusha ya mwaka huu ucheke.

IGA UFE.
Chakula na michango haiwezi fanya watoto wafauru.
 
Tatizo lako liko kichwani, hivi aloongeza hayo masaa mawili ni walimu au serikali uenyewe??
Hicho chakula umewachangia walimu au wanao? Yaan uko radhi mwanao ashinde shule kutwa bila kula? Na hapo hulipi ada ni shule ya kata!! Ajabu hii..

Siamini ktk kula.
Naamini katika nia.
Mtoto hata km utampa milo 7 kwa siku nakila chakula kiwe na mboga saba km shule anayosoma inawalimu wanaowaza kuchangisha kila wanapopata shida usizani watafauru.

Kuna watoto wa matajiri walienda kwa magari na kupewa kila kitu lkn hawakufauru.
Ukimkuta mwl waalimu wanasapoti nakuamini ktk kula basi ujue ndo walioenda kusoma kozi hii ya ualimu baada ya kufeli.
 
Tatizo lako liko kichwani, hivi aloongeza hayo masaa mawili ni walimu au serikali uenyewe??
Hicho chakula umewachangia walimu au wanao? Yaan uko radhi mwanao ashinde shule kutwa bila kula? Na hapo hulipi ada ni shule ya kata!! Ajabu hii..

Hivi una hisi nikwanini ma lecture hawataki kuitwa waalimu?
Nikwasababu ya hii fani kuhalibiwa na kuvunjiwa heshma na walimu wenye tabia za kutaka tumichango michango km hutu.

Kifupi tengenezeni hadhi yenu kwa kuepuka mambo ya aibu km haya.

Kama selikari iliamua kuongeza mda basi wangetangaza wao hii michango ili kulinda heshima yenu.

Tatizo selikari ilivyosema inaongeza masaa ndo mkaja na maudenda ya kutaka mamichele ya bule.

Rais magufuli aliwaambia VYA BULE VIBAYAA .
 
Back
Top Bottom