Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Hebu nenda shule moja pale simiyu ya msabato flani hivi!
Ukiiona unaweza kuizarau kwa macho, na ada zake ninafuu na walimu wako simple tu.
Angalia inavyofaulisha watoto kila mwaka utashangaa hiyo shule hakunaga Div3 wala Div4 watoto wote ni Div1 na Div2.

Nikwamba hizi shule zetu hazina usimamizi mzuri! Ukuu wa shule na uratibu wa kata ni wakununua 500000/= kipindi cha awamu ya nne.

Hivyo mwl. Kama huyo akija kuwa headmaster lazima achangishe kufidia hela zake.
 
Ukifuatilia kwa mbaaali mtoa mada hajui anachokifanya

Kwanza mdogo wangu hutambui yafuatayo
1. Maelekezo ya kula shuleni hayakutolewa na walimu
Haya yalikuwa maelekezo na vikao shuleni vya wazazi viliitishwa na hizo b
ajeti shuleni ukifuatilia zilipangwa na wazazi kwenye vikao, walimu wanafanya kusimamia tuu

2. Kuondolewa kwa masaa haya mawili wameeleza sababu za kusitisha kitu hicho na si kwa sababu ya michango ya chakula kama unavodai.

Kosa kubwa la walimu nini?
Kosa kubwa la walimu ni ujinga waliojitwika wa kufanya majukumu yasiyo ya kwao. Yani leo kwenye kikao wazazi wanaomba kusaidiwa kukusanya michango hiyo kesho yanayokuja ni haya ( ambaye hakuwepo kwenye kikao anaona huo ni mpango wa shule)

Kosa lingine ni KUYAPENDA MATOTO UTADHANI YAKIFELI KWAKO HAULI.
Nyakati zimebadilika walimu wanapaswa kufanya kazi na si kama wito. Hakuna sehemu utashtakiwa kama mwalimu kisa litoto limefeli. Fundisheni tu habari za kula, kusafiri sijui nini waachieni wazazi wao.

Mnapokea matusi kwa kujitolea kufanya kazi zisizowahusu
Fundisheni tuuu mambo mengine amalizane na wazazi wake
 
Tatizo lako liko kichwani, hivi aloongeza hayo masaa mawili ni walimu au serikali uenyewe??
Hicho chakula umewachangia walimu au wanao? Yaan uko radhi mwanao ashinde shule kutwa bila kula? Na hapo hulipi ada ni shule ya kata!! Ajabu hii..
Huyu jamaa ana tatizo binafsi na walimu, anaona kama hizo kilo zake 10 za mchele na hiyo 2000 basi atawatajirisha walimu.
 
Umasikini tu unakutawala na pia inaonekana una roho mbaya, huwezi Kuja humu kulalamikia mchele kilo 10 ambavyo vitaliwa na mtoto, utakufa masikini na roho yako mbaya kenge wewe.
Pole nyingi sana ziwafikie wafanyakazi wenzie na majirani zake kazi wanayo maana unoko wa jamaa ni noma lakini pole zaidi kwa mkewe maana jamaa anaonekana ana gubu sana
 
Nakukumbusha tuu muda wa teuzi umeisha bora ukatafuta kazi nyingine
 
Ukifuatilia kwa mbaaali mtoa mada hajui anachokifanya

Kwanza mdogo wangu hutambui yafuatayo
1. Maelekezo ya kula shuleni hayakutolewa na walimu
Haya yalikuwa maelekezo na vikao shuleni vya wazazi viliitishwa na hizo b
ajeti shuleni ukifuatilia zilipangwa na wazazi kwenye vikao, walimu wanafanya kusimamia tuu

2. Kuondolewa kwa masaa haya mawili wameeleza sababu za kusitisha kitu hicho na si kwa sababu ya michango ya chakula kama unavodai.

Kosa kubwa la walimu nini?
Kosa kubwa la walimu ni ujinga waliojitwika wa kufanya majukumu yasiyo ya kwao. Yani leo kwenye kikao wazazi wanaomba kusaidiwa kukusanya michango hiyo kesho yanayokuja ni haya ( ambaye hakuwepo kwenye kikao anaona huo ni mpango wa shule)

Kosa lingine ni KUYAPENDA MATOTO UTADHANI YAKIFELI KWAKO HAULI.
Nyakati zimebadilika walimu wanapaswa kufanya kazi na si kama wito. Hakuna sehemu utashtakiwa kama mwalimu kisa litoto limefeli. Fundisheni tu habari za kula, kusafiri sijui nini waachieni wazazi wao.

Mnapokea matusi kwa kujitolea kufanya kazi zisizowahusu
Fundisheni tuuu mambo mengine amalizane na wazazi wake

Na.1 naipinga kwa kielelezo cha barua hii, hapa niwazi kuwa waliopitisha ni wdc hapo hakuna mzazi ila wazazi wametumiwa km daraja kwakuwa wanawajua uelewa wao.

Na.2 Nakujibu hivi! Kuondolewa kwa masaa hayo mawili niwazi kuwa nikwaajiri ya kuondoa michango maana masaa hayo mawili ndio ilikuwa Sababu ya michango hiyo , pitia usome barua hiyo niliyokuwekea sababu iliyopelekea kuwepo michango hiyo.
Sema wamejibiwa kistaha na kiheshima ili kukwepa fedheha.

Kuhusu kosa kubwa la walimu ambalo umeliita ni (nanukuu) ujinga hilo nakuunga mkono 100% kwasabu ulizozitaja lakini nikataka niongezee kuwa ni bola yanapokuwepo mambo ya michango michango basi wizara yenyewe itangaze na walimu wajiweke pembeni maana kazi yao nikufundisha.

Kama siyo wizara basi atangaze RC, DC, WEO, VEO, baada ya kuitisha mkutano wakijiji na wananchi kuridhia badala yakutumia kakikundi ka kamati ya shule ambako kanatumiwa na walimu km daraja.
Hii inamaana watakuwa mbali na uchafu wowote ule.

Nikweli kabisa mtoto asipofauru kwa ajiri ya njaa hutashtakiwa wala kufungwa isipokuwa baadhi ya walimu nao ni njaa tu zinawafanya kila kitu waone nikama fulsa.


Ndio maana hata ccm waligundua kamati za siasa za kata ,wilaya, na mkoa, zilitumiwa kupitisha wabunge wasiofaa ikaamliwa majina yote yatumwe kamati kuu ndio ifanye maamuzi ya mwisho.

Hivyo walimu wasijifiche kwenye kamati za shule maana wazazi walishagundua kuwa zinatumiwa na walimu .

Swala hapa nikujiweka kando kabisa.

Hayo mengine naunga mkono kwa 100%

Enzi na Enzi.
 

Attachments

  • 20200702_171940.jpg
    20200702_171940.jpg
    165.4 KB · Views: 2
Jamaa wewe huwa ni tayira kweli kweli...
Kuna uhusiano gani kati ya kulalamika kwako na kupunguza masaa 2?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
We ni fala kama fala wengine.
Kinachokusumbua ni umaskini tu.
Unapenda kuwaonea sana walimu.
Hili ni kundi ninaloheshimu sana

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app

Siku zote ukweli unauma! Hata mzee baba wakati anawatoa wale wanafunzi waliokuwa vyuo ambao hawakuwa na sifa watu wengi tulilalamika , hata ss anavyojenga miundo mbinu watu wanasema vyuma vimekaza ila naamini baada ya miradi kuisha watafrahi!

Hivyo walimu km nyie nisehem yakundi lililosahaulika ila naamini tutafika tu.

Maana kutumbua majipu mpaka uwe na roho ngum ili utoe uchafu.

Hapo ulipo unaona kama chuki kwa walimu lkn ukweli nikwamba nawasaidia walimu ili kujenga heshima ya ualimu km ilivyokuwa zamani japo walimu wakipindi kile hawakuwa na elimu ya juu kama walimu waleo

Heshima nijambo linalomtambulisha mtu kiwango cha juu kuliko elimu aliyonayo.
 
Naipongeza wizara ya elimu kwakusikia malalamiko niliyoyafikisha kwenu kupitia jukwaa letu pendwa la jf.

Nilileta uzi nikiwatetea wazazi na kuwatuhumu baadhi ya walimu wa shule za secondary na msingi nilianza na shule ya secondary ya kata wilayani magu kwa kuagiza watoto wapeleke kilo10 za mchele pamoja na tsh.2000 kwakila mtoto kwa ajiri ya chakula baada yakuongeza masaa mawili ya ziada nikisema huo mpango ulikuwa ni mpango wa walimu kujipatia pesa.

baada ya uzi wangu kusomwa na wachangiaji hasa walimu, nilishambuliwa sana japo hawakuja na hoja ya kujibu mambo muhimu niliyohoji sababu ya kufanya hivyo.

Nashukuru leo serikali kupitia wizara ya elimu imejibu na kuungana na mimi kufikia hatua ya kutoa waraka wakuzuia shule zte nchini za msingi/secondary kuzuia ongezeko la masaa hayo mawili kwa kuwaeleza imegundua kuna changamoto za usafiri na baadhi ya shule zinazotumia mfumo wa doble.

serikali/ wizara imeelekeza km wanataka kuongeza mda wa vipindi basi uwe ndani ya utaratibu wa zamani wa masomo hayohayo manane nasio kuongeza mda wa masaa mawili.

hivyo niwakati sasa walimu mliokuwa mmekusanya fedha na mchele mrudishe kwa wazazi mliowachangisha vinginevyo takukuru watatimba faster kurudisha michango ya wazazazi km walivyoludisha mahindi ya shule huko manyara yaliyotaperiwa na mh.Diwani na afisa wake wakata.

hongera wizara hongera ccm na hongera serikari.
maana sehem zte hizi tuliwapa taarifa.

Angalizo kwa walimu na kamati zilizohusika.
1. Ludisheni michango
2.tangazeni kusitisha zoezi hili kwa barua km mlivyo toa barua kwa wazazi, vinginevyo tutaashumu mnaendelea kupiga kimyakimya.

Mwisho... wamimu njooni tena muijibu wizara au serikali hapa tena siyo mimi enzi na enzi.

Nawasilisha.
Nakala 1. Wazazi wte tz
Nakala 1. Walimu wte na kamati za shule zilizoagiza na kubariki wizi huu kwa wazazi
Nakala 1. Maafisa watendaji kata tz maana ndio mlitumiwa.

Enzi na Enzi.
Dar es salaam.
Mkuu naona Kama unaendeshwa na mihemko navojua mimi walimu hawawezi kuagiza michango hasa Zama izi za elimu bure Ila huitisha kikao Cha wazazi then walimu hutoa mapendekezo ya budget kulingana na siku anazokuwepo mtoto shuleni na wazazi wanajadili kujua kiasi gani wachangie.
 
Mkuu naona Kama unaendeshwa na mihemko navojua mimi walimu hawawezi kuagiza michango hasa Zama izi za elimu bure Ila huitisha kikao Cha wazazi then walimu hutoa mapendekezo ya budget kulingana na siku anazokuwepo mtoto shuleni na wazazi wanajadili kujua kiasi gani wachangie.


Waachane nayo hayo mambo! Maana hata watoto wao hawasomi hizo shule!
Kihelehele cha nini??
Haya , ENDELEENI . Najua kinachowaponza ni dhiki mliyo nayo kwa baadhi ya walimu wenye kupenda vimichango na mzigo wa madeni mliyo nayo kiasi cha kuzani kila kitu ni fulsa.
 
Fanya kazi, acha longolongo ili uepuke kupata 'Laana matulubai'
 
Back
Top Bottom