Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

[QUOTE="Enzi na Enzi,

Jibu hoja moja baada ya nyingine! Hapo umejibu moja tu.
 
Nakusubiri uijibu hyo☝then nikuweke wazi kila mtu akujue. Unakataa ww siyo mwalimu. Ww nimwalimu ukibisha naweka jina nashule unayofundisha.
Wachane tu walimu njaa,wanafikiri sisi wazazi tutawapa unafuu wa maisha,wapambane tu.
 
Teh teh!
Kwa hiyo wewe ni msaidizi wa Rais?
Yaani hata kuandika hujui, halafu uwe msaidizi wa Rais...!
Hii itakuwa ni kupatwa kwa Rais!
...lakini vile vile kama ulivyosema waalimu wakiona kipato ni kidogo waache kazi, basi na wewe kama mzazi unaona mnaonewa kwa kulipishwa 2,000 basi mhamishe mwanao katika hiyo shule au muachishe shule kabisa, si lazima asome!
Baada ya kujibu hoja unaleta viroja mwalimu njaa.
 
Nakusaidia inaitwa Savannah Plains High School kwa Sasa
Na hapo mwanzo ikiitwa International School ikifuata mitaala ya Cambridge
Usidanganye watu bure hapa watoto wanakula buffers Na sio kushindia uji Na wali ndondo mzee
Learning ni process mzee ambayo inahitaji mental readiness mtoto ale vizuri ashibe asome
Wazazi wanalipa mamilioni yao alafu unasema watoto wao wanaamkia uji Na wali maharage
 
Baada ya kujibu hoja unaleta viroja mwalimu njaa.

Hoja gani ya kujibu? Nijibu matakataka?
Wewe jidanganye tu nje ya keyboard huko kwa kuwa kila mchangia nyuzi kama hizi ni mwalimu!
...na nyie mnajifanya wazazi wakati hata bei za diaper hamzijui!
Mapumbafu nyie!!
 
Umaskini wa akili ni mbaya mno, badala ya kumfikiria mwanao anaishi vipi na njaa kwa muda mrefu,toka saa kumi na mbili alipoamka mpaka saa kumi/nane na nusu, unawaza kilo kumi zenye thamani ya Tsh.10,000-12,000 na Tsh. 2,000 (Probably ya Kuni,chumvi,mafuta,maharage na mpishi) jinsi zitakavyoliwa na Mwalimu!?

Acheni kudharau Walimu,kwa nini msiunde kamati ya wazazi itakayohakikisha watoto wanakula?

Mwanangu chekechea nimemlipia laki na nusu ale shuleni,wewe elfu Kuni na nne unaongea maneno ya kashfa kwa Walimu?

Watu msiosoma mna matatizo, Unamrithisha mtoto ujinga na umaskini kwa gharama ya Tsh 14,000?;(Tena kwa miezi mine mtoto anakula!)
 
Umaskini wa akili ni mbaya mno, badala ya kumfikiria mwanao anaishi vipi na njaa kwa muda mrefu,toka saa kumi na mbili alipoamka mpaka saa kumi/nane na nusu, unawaza kilo kumi zenye thamani ya Tsh.10,000-12,000 na Tsh. 2,000 (Probably ya Kuni,chumvi,mafuta,maharage na mpishi) jinsi zitakavyoliwa na Mwalimu!?

Acheni kudharau Walimu,kwa nini msiunde kamati ya wazazi itakayohakikisha watoto wanakula?

Mwanangu chekechea nimemlipia laki na nusu ale shuleni,wewe elfu Kuni na nne unaongea maneno ya kashfa kwa Walimu?

Watu msiosoma mna matatizo, Unamrithisha mtoto ujinga na umaskini kwa gharama ya Tsh 14,000?;(Tena kwa miezi mine mtoto anakula!)

Nazidi kuwashauri walimu! Jiwekeni mbali na vitu visivyo na afya ktk utu wenu!
Hiyo shule ya savannah huwezi kukuta walimu kama wewe wa Div4 ya point 28.

Hata kama ingekuwa ni tsh.14000 lkn tuone value of money ya tsh.14000.

Maana watoto walipofunga kupisha covid-19 masomo yaliendelea kwa njia mbali mbali , na baadhi ya shule ziliendelea kutoa packages za masomo.

Sasa haya masaa mawili ya nyongeza nidhahili hayakuwa na tija zaidi yakutoa mianya ya walimu wa Div4 ya point 28.

Hata wewe nimwalimu unaefundisha shule ya msingi ibenzamata p/s iloyopo ktk manispaa ya shinyanga.

Ukibishia naweka full name yko hapa. Na wasifu wako kwa ujumla.
Usizani watu tunaongea vitu tusivyovijua hapa.

Mimi Enzi na Enzi ndo nililipinga hili la michango ya 10kg na tsh.2000 kila mtoto baada yakujilidhisha kuwa sababu ya masaa mawili yakufidia topic walimu walianza kutumia vibaya

Nanilitoa ushahidi wa shule kalibia tatu ktk mikoa mbalimbali mala tu yakupitisha mpango huo kabla yashule kufunguliwa.

Nilitukanwa nikaombwa kuweka vielelezo nikaamua kuiomba wizara iingilie kati pamoja na chama tawala.

Baada ya shule kufunguliwa kweli barua zikaanza kusambaa ndo serikali ikaja na waraka wakuzuia jambo hilo.

Namoja yabarua nilizozipata zinatoka mkoa wa mwanza wilaya ya magu hata ukiidoma barua yenyewe ni dhahiri kuwa Head master alilijua hilo mapema akaamua kumtumia Afisa mtendaji wa kata.

Nayeye headmaster akapitisha tu.
Hii inamaana mgao wa mchele ulipangwa ki sisteam.
 
Basi tuishukuru serikali ya awamu ya 5

Sana! Hongera serikali na tutaendelea kuweka wazi mambo yte yasiyo na afya ktk kujiletea maendeleo kwa wananchi.

Kazi ya selikari nikufuatilia na kuja na suruhisha.
Magufuri na serikali yake hawawezi kujua kila kitu bila sisi wananchi kupiga kelele.
 
...hicho ulichooandika ni kwa sababu una njaa ya akili!
Miongoni mwa maeneo ambayo yapo nyuma kielimu na mwamko wa elimu bado upo chini ni huko ulikotaja wanakochangishwa chakula!
...maeneo kama klm huwezi sikia upuuzi kama unaoleta hapa! Wazazi wanachangishwa na wanalipa michango ya chakula na huwezi kusikia malalamiko, tena wanachanga zaidi ya hicho mnachochanga nyie!
...kwa ufinyu huo wa akili ulionao hivi hizi zero na four hapa kwenye hiyo shule yenu mtaweza kuziondoa kweli?View attachment 1495626
hatari..
 
Kwani alietoa waraka wa kula shuleni ni mwalimu?mbona mleta uzi unahasira sana na walimu wetu?Kuna mwl alikula ndogo nini?
 
Nazidi kuwashauri walimu! Jiwekeni mbali na vitu visivyo na afya ktk utu wenu!
Hiyo shule ya savannah huwezi kukuta walimu kama wewe wa Div4 ya point 28.

Hata kama ingekuwa ni tsh.14000 lkn tuone value of money ya tsh.14000.

Maana watoto walipofunga kupisha covid-19 masomo yaliendelea kwa njia mbali mbali , na baadhi ya shule ziliendelea kutoa packages za masomo.

Sasa haya masaa mawili ya nyongeza nidhahili hayakuwa na tija zaidi yakutoa mianya ya walimu wa Div4 ya point 28.

Hata wewe nimwalimu unaefundisha shule ya msingi ibenzamata p/s iloyopo ktk manispaa ya shinyanga.

Ukibishia naweka full name yko hapa. Na wasifu wako kwa ujumla.
Usizani watu tunaongea vitu tusivyovijua hapa.

Mimi Enzi na Enzi ndo nililipinga hili la michango ya 10kg na tsh.2000 kila mtoto baada yakujilidhisha kuwa sababu ya masaa mawili yakufidia topic walimu walianza kutumia vibaya

Nanilitoa ushahidi wa shule kalibia tatu ktk mikoa mbalimbali mala tu yakupitisha mpango huo kabla yashule kufunguliwa.

Nilitukanwa nikaombwa kuweka vielelezo nikaamua kuiomba wizara iingilie kati pamoja na chama tawala.

Baada ya shule kufunguliwa kweli barua zikaanza kusambaa ndo serikali ikaja na waraka wakuzuia jambo hilo.

Namoja yabarua nilizozipata zinatoka mkoa wa mwanza wilaya ya magu hata ukiidoma barua yenyewe ni dhahiri kuwa Head master alilijua hilo mapema akaamua kumtumia Afisa mtendaji wa kata.

Nayeye headmaster akapitisha tu.
Hii inamaana mgao wa mchele ulipangwa ki sisteam.
Kama Elimu gharama,endelea kukumbatia ujinga na uwarithishe kizazi chako.

Anyway sijawahi ishi Shinyanga zaidi ya kupita njia toka Mwanza n.k,so hunijui
 
Nazidi kuwashauri walimu! Jiwekeni mbali na vitu visivyo na afya ktk utu wenu!
Hiyo shule ya savannah huwezi kukuta walimu kama wewe wa Div4 ya point 28.

Hata kama ingekuwa ni tsh.14000 lkn tuone value of money ya tsh.14000.

Maana watoto walipofunga kupisha covid-19 masomo yaliendelea kwa njia mbali mbali , na baadhi ya shule ziliendelea kutoa packages za masomo.

Sasa haya masaa mawili ya nyongeza nidhahili hayakuwa na tija zaidi yakutoa mianya ya walimu wa Div4 ya point 28.

Hata wewe nimwalimu unaefundisha shule ya msingi ibenzamata p/s iloyopo ktk manispaa ya shinyanga.

Ukibishia naweka full name yko hapa. Na wasifu wako kwa ujumla.
Usizani watu tunaongea vitu tusivyovijua hapa.

Mimi Enzi na Enzi ndo nililipinga hili la michango ya 10kg na tsh.2000 kila mtoto baada yakujilidhisha kuwa sababu ya masaa mawili yakufidia topic walimu walianza kutumia vibaya

Nanilitoa ushahidi wa shule kalibia tatu ktk mikoa mbalimbali mala tu yakupitisha mpango huo kabla yashule kufunguliwa.

Nilitukanwa nikaombwa kuweka vielelezo nikaamua kuiomba wizara iingilie kati pamoja na chama tawala.

Baada ya shule kufunguliwa kweli barua zikaanza kusambaa ndo serikali ikaja na waraka wakuzuia jambo hilo.

Namoja yabarua nilizozipata zinatoka mkoa wa mwanza wilaya ya magu hata ukiidoma barua yenyewe ni dhahiri kuwa Head master alilijua hilo mapema akaamua kumtumia Afisa mtendaji wa kata.

Nayeye headmaster akapitisha tu.
Hii inamaana mgao wa mchele ulipangwa ki sisteam.
Kama Elimu gharama,endelea kukumbatia ujinga na uwarithishe kizazi chako.

Anyway sijawahi ishi Shinyanga zaidi ya kupita njia toka Mwanza n.k,so hunijui
 
Huu Uzi umejaa fitna na kaulofa Fulani hivi.mtoto akae SAA 1.30 SAA 10.00 jioni hajala. feza boys/Marian/keizerege unazijua?? Ebu uanzie hapo kudadavua izo ada za milioni 5-6 uje ulinganishe na iyo elfu 70.yani utajiona mwehuu.
 
Walimu walikufanya Nini we kilaza?hivi hua unafanya proof reading kabla ya kupost?. Maandishi yako yanakudhihirisha uwezo wako kichwani.
 
Walimu walikufanya Nini we kilaza?hivi hua unafanya proof reading kabla ya kupost?. Maandishi yako yanakudhihirisha uwezo wako kichwani.
 
Sidhani kama waalim wananjaa kiasi hicho. Nachokiona ni kwamba waalim ni wepesi kuendeshwa kwa matamko kutoka juu licha ya kwamba matamko hayo hayana uhalali kisheria na kikanuni. Kwa post hii sina maana ya kumtetea mwalimu au mtumishi yotote mwizi. Pongezi kwako mleta uzi. Umeokoa hifadhi ya chakula cha wazazi.
Matamko kutoka juu yanaendesha kwa urahisi watu wote.Sio walimu pekee.
 
Huu Uzi umejaa fitna na kaulofa Fulani hivi.mtoto akae SAA 1.30 SAA 10.00 jioni hajala. feza boys/Marian/keizerege unazijua?? Ebu uanzie hapo kudadavua izo ada za milioni 5-6 uje ulinganishe na iyo elfu 70.yani utajiona mwehuu.

Hizo shule hazina waalimu wa Div4 ya point 28 wewe!
Huko waalimu wte wa GPA kali wewe!
 
Back
Top Bottom