Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Teh teh!
Kwa hiyo wewe ni msaidizi wa Rais?
Yaani hata kuandika hujui, halafu uwe msaidizi wa Rais...!
Hii itakuwa ni kupatwa kwa Rais!
...lakini vile vile kama ulivyosema waalimu wakiona kipato ni kidogo waache kazi, basi na wewe kama mzazi unaona mnaonewa kwa kulipishwa 2,000 basi mhamishe mwanao katika hiyo shule au muachishe shule kabisa, si lazima asome!
🤣🤣🤣🤣eti nihamishe shule.
Naona hujasoma agizo la serikali.
 
Bado unajidhihilisha kuwa wewe ni mwl. Wakundi lile la waalimu wa nenda hata ualimu baada ya kupata Division 4 ya point 28.
Kwanini nakuweka kundi hilo.
1. Usizani shule nzuri na zenye gharama kubwa nikwaajiri ya chakula. (HAPANA) tena kwa herufi kubwa. Hizi shule zinaufaulu mzuri kwa sababu zimeajiri waalimu wenye UWEZO NA SIFA ZA KUWA WAALIMU

Nenda shule km za Famtom pale shinyanga! Watoto wanakunywa uji asubuhi, wanakula ugari na maharage na wali siku za ijumaa tu kwa wale waliopo boarding.

Sasa uliza gharama ya shule hiyo . Ada zao ni tsh.3.5ml. Kwa mwaka nakuenderea kulingana na darasa.

Hii nikwasababu shule hii imeajiri walimu wenye uwezo wa khari yajuu

Siyo km nyie waalimu wa Div4 yapoint 28.

Mchango wako na maswali yko yanaonekana ulikoswa koswa na magufuri!
Nyie ndo mlioenda kuchukua shahada ya ualimu ukitokea form4.

Kaa kimya tuongee vipanga.
Ndani ya wizara ya elimu kunakundi kubwa sana la baadhi ya waalimu kama nyie.

Ndio maana wahadhiri wa vyuo vikuu walikataa kuitwa waalimu ili kukwepa fedheha za waalimu viraza km nyie, mnao kesha kupanga namna yakupata fedha au vyakula toka kwa wazazi.

Unajiita kipanga, hata kuandika hujui!
Hata kuandika ugali hujui unaandika ugari!
Sawa, haya mimi ni Mwalimu! Umefurahi..!?
 
Nakusubiri uijibu hyo[emoji3516]then nikuweke wazi kila mtu akujue. Unakataa ww siyo mwalimu. Ww nimwalimu ukibisha naweka jina nashule unayofundisha.

Teh teh! Nimebisha,haya niweke wazi ili kila mtu anijue, nimekupa ruhusa!!
 
Unajiita kipanga, hata kuandika hujui!
Hata kuandika ugali hujui unaandika ugari!
Sawa, haya mimi ni Mwalimu! Umefurahi..!?

Jibu kwanza hizo hoja.
We unadhani kila mtu kasoma arts?
 
Jibu hilo bandiko usibadili gear mwl. Wa Div4 ya 28

...nimeshakujibu, kwamba wewe si unanifahamu? Nianike hapa utaje majina yangu yote na kila kitu unachojua kunihusu pamoja na shule ninayofundisha mimi mwl wa Div 4 point 28...!
Then ndio nione cha kukujibu kama hutakuwa umeandika tena matakataka!
 
...nimeshakujibu, kwamba wewe si unanifahamu? Nianike hapa utaje majina yangu yote na kila kitu unachojua kunihusu pamoja na shule ninayofundisha mimi mwl wa Div 4 point 28...!
Then ndio nione cha kukujibu kama hutakuwa umeandika tena matakataka!

Kwahiyo lakukujua tu ndo umesoma.
 
Kuna ndugu yangu mmoja juzi huko mpakani mkoa wa Kagera mwanae kakataliwa kupokelewa shule na kufukuzwa na mwalim mkuu kisa hana pesa ya kulipia hosteli, kufuatilia kumbe pesa zenyewe mwalim mkuu huwa anazikusanya kwa njia ya mpesa na hakuna risiti sasa sijui kwa nini malipo ya serikali yanakuwa hayana risiti hii njii ya ukusanyaji fedha inatia mashaka kabisa na imani serikaki na wizara ipo macho.
 
Kuna ndugu yangu mmoja juzi huko mpakani mkoa wa Kagera mwanae kakataliwa kupokelewa shule na kufukuzwa na mwalim mkuu kisa hana pesa ya kulipia hosteli, kufuatilia kumbe pesa zenyewe mwalim mkuu huwa anazikusanya kwa njia ya mpesa na hakuna risiti sasa sijui kwa nini malipo ya serikali yanakuwa hayana risiti hii njii ya ukusanyaji fedha inatia mashaka kabisa na imani serikaki na wizara ipo macho.
Ahsante kwa taarifa.
Nitajie jina la shule mkuu.
 
Ahsante kwa taarifa.
Nitajie jina la shule mkuu.
Ndani ya walimu wte nchini kuna kundi walimu upinzani.

Hawa ndo wanaopanga na kuanzisha vitu km hivi.

Unajua upinzani ulikuwa umefanikiwa sana kuteka baadhi ya waalimu na mawakili ndani ya TLS
Hivyo walimu km hao na hawa wanaoshabikia michango nisehem ya kundi hilo.
 
Sidhani kama waalim wananjaa kiasi hicho. Nachokiona ni kwamba waalim ni wepesi kuendeshwa kwa matamko kutoka juu licha ya kwamba matamko hayo hayana uhalali kisheria na kikanuni. Kwa post hii sina maana ya kumtetea mwalimu au mtumishi yotote mwizi. Pongezi kwako mleta uzi. Umeokoa hifadhi ya chakula cha wazazi.
Mukulu ndo ilivyo....
Ilo ndo huwa linaitwa "jicho la tatu"
 
Umasikini tu unakutawala na pia inaonekana una roho mbaya, huwezi Kuja humu kulalamikia mchele kilo 10 ambavyo vitaliwa na mtoto, utakufa masikini na roho yako mbaya kenge wewe.
 
Hili jambo niliwahi kuwaambia humhum jf walimu yakwamba.
Kwanini walimu wazamani walikuwa wakiheshimika sana ktk jamii kuliko siku hizi?

Zamani hata ukiwa na rafiki yako mtoto wa mwalimu nawewe unaheshimika.

Nikawaambia ualimu ni heshima kubwa karne na karne. Nikasema heshima hii ilijengwa hata na BWANA YESU KRISTO ...walimuita mwl.

Julius k. Nyerere alikuwa Mwl. Naalisema aitwe mwl. Jkn nasiyo mtukufu rais au mh.

Lakini pia walimu ndio wameongoza nchi hii mpaka sasa.

Nikawauliza waalimu , wao hawana hata group la watssap la walimu? Ili wawe wanalekebishana kulinda hadhi zao?

Nikawaeleza hata ukiangali taasisi ya Takukuru asilimia kubwa ukisikia imeokoa hela za mstaafu! Basi atakuwa mstaafu ni mwl.

Ukichunguza wanaopigwa kwenye vibanda umiza vya mikopo utagundua ni walimu.

Nikawaambia Waalimu wazamani hawakuwa watu wakuendereza starehe, walifundisha na walichapa kazi zao kwa weledi km vile kulima, siasa, ufugaji, na biashara.
Ilikuwa ukifika kwa mwl. Lazima ukutane na kuku ,bata, mbuzi na ng'ombe kwa mwl.

Walimu waleo wameendekeza starehe ndo maana hata waalimu wakike wanaongoza kuolewa na watu wasio na heshima ktk jamii ilimradi tu anatuhela twa kumpereka saloon.

Nikawashauri warudishe heshima yao kwa kukataa mambo yasiyowahusu. Kazi yao walosomea nikufundisha nakazi zingine zenye mlengo huo.
Nikawashauri km nishida hata huku kwa wazazi shida zipo hivyo kuwabebesha mizigo mingine kwa mgongo wa elimu nikujimalizia heshima.
Lakini nilitukanwa.
Haya tukaneni tena kwa wizara yenu.
Umenena mkuu, kuna mengi nimejifunza aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo lakukujua tu ndo umesoma.

Yes, nasubiri umwage detail zangu hapa ili tuende sawa!
...unajifanya na kuropoka unajua watu nje ya keyboard!
Kuwa huru bwana, hili ni jukwaa huru unamumunya mumunya nini?
Au ni kwa kuwa wewe bado ni mgeni humu?
IMG_0768.jpg
 
Bado unajidhihilisha kuwa wewe ni mwl. Wakundi lile la waalimu wa nenda hata ualimu baada ya kupata Division 4 ya point 28.
Kwanini nakuweka kundi hilo.
1. Usizani shule nzuri na zenye gharama kubwa nikwaajiri ya chakula. (HAPANA) tena kwa herufi kubwa. Hizi shule zinaufaulu mzuri kwa sababu zimeajiri waalimu wenye UWEZO NA SIFA ZA KUWA WAALIMU

Nenda shule km za Famtom pale shinyanga! Watoto wanakunywa uji asubuhi, wanakula ugari na maharage na wali siku za ijumaa tu kwa wale waliopo boarding.

Sasa uliza gharama ya shule hiyo . Ada zao ni tsh.3.5ml. Kwa mwaka nakuenderea kulingana na darasa.

Hii nikwasababu shule hii imeajiri walimu wenye uwezo wa khari yajuu

Siyo km nyie waalimu wa Div4 yapoint 28.

Mchango wako na maswali yko yanaonekana ulikoswa koswa na magufuri!
Nyie ndo mlioenda kuchukua shahada ya ualimu ukitokea form4.

Kaa kimya tuongee vipanga.
Ndani ya wizara ya elimu kunakundi kubwa sana la baadhi ya waalimu kama nyie.

Ndio maana wahadhiri wa vyuo vikuu walikataa kuitwa waalimu ili kukwepa fedheha za waalimu viraza km nyie, mnao kesha kupanga namna yakupata fedha au vyakula toka kwa wazazi.
Ni Uhuru wako kusema lakini hapa unapotosha Na kudanganya watu kwa makusudi au kwa kutokujua
 
Ni Uhuru wako kusema lakini hapa unapotosha Na kudanganya watu kwa makusudi au kwa kutokujua

Kama napotosha fafanua kutoka kwenye bandiko langu.

Nimesema... wahadhiri wa vyuo vikuu walikataa kuitwa waalimu ili kukwepa fedheha hizi za baadhi ya waalimu japo kiuhalisia wahadhiri ni... WAALIMU.
2.Nikasema ndani ya wizara ya Elimu kunakundi kubwa la waalimu walioenda ualimu baada ya kupata Di4 ya point 24, Huyu mwl. Unadhani ataleta mapinduzi ya elimu?
3. Nikasema shule zinazofanya vizuri sio kwa sababu watoto wanakula ila nikwa sababu zimeajiri waalimu wenye uwezo wa juu.
4.Nikasema walimu wanaoshabikia michango ya vyakula kwa wazazi ili wajinufaishe wengi wao niwale waliokoswa koswa na panga la jpm
5.nikasema Jpm alifukuza wanafunzi wengi waliokuwa wakichukua shahada za ualimu wakitokea form4 ndo kundi hili la waalimu vilaza wanaosumbua wazazi.

5.UALIMU NIHESHIMA KUANZIA NGAZI YA JAMII HADI KWA WATOTO UNAOWAFUNDISHA.
Nikasema walimu wa miaka ya 1977 /87walimu waliheshimika kwa sababu walikuwa wachapa kazi, walilima, walifanya siasa safi, walifuga, nawalifanya biashara.

Baadhi ya maduka mengi yalimilikiwa na waalimu.
Kwa mwl. Usingeweza kukoswa kuku, Bata, sungura, mbuzj, ng'ombe , hata barafu zilikuwa za wake wa waalimu bila kusahau ufuta, na vitumbua.

Ilikuwa km huna hela lazima ubebe kiazi kutoka nyumbani na unaficha kichakani .
Zama hizo ndo tulitoa wasomi weledi wa nchi hii km akina JOHN POMBE MAGUFURI hawa ndo waliokuja kuwa waalimu wazuli, JPM alikuwa akitoka shule anachunga, anauza maziwa, nakuchimba BUKULWA muulizeni magufuri km alipeleka kilo 10 za mchele au za mahindi za kula shuleni japo vyakula vilikuwa tele.

Waalimu Badilikeni, ndo maana nashauri watengeneze group wawe wanaonyana na kukosoana.
Hili la michango tuliwakosoa mapema mkashabikia sasa limewaaibisha.
 
Kama napotosha fafanua kutoka kwenye bandiko langu.

Nimesema... wahadhiri wa vyuo vikuu walikataa kuitwa waalimu ili kukwepa fedheha hizi za baadhi ya waalimu japo kiuhalisia wahadhiri ni... WAALIMU.
2.Nikasema ndani ya wizara ya Elimu kunakundi kubwa la waalimu walioenda ualimu baada ya kupata Di4 ya point 24, Huyu mwl. Unadhani ataleta mapinduzi ya elimu?
3. Nikasema shule zinazofanya vizuri sio kwa sababu watoto wanakula ila nikwa sababu zimeajiri waalimu wenye uwezo wa juu.
4.Nikasema walimu wanaoshabikia michango ya vyakula kwa wazazi ili wajinufaishe wengi wao niwale waliokoswa koswa na panga la jpm
5.nikasema Jpm alifukuza wanafunzi wengi waliokuwa wakichukua shahada za ualimu wakitokea form4 ndo kundi hili la waalimu vilaza wanaosumbua wazazi.

5.UALIMU NIHESHIMA KUANZIA NGAZI YA JAMII HADI KWA WATOTO UNAOWAFUNDISHA.
Nikasema walimu wa miaka ya 1977 /87walimu waliheshimika kwa sababu walikuwa wachapa kazi, walilima, walifanya siasa safi, walifuga, nawalifanya biashara.

Baadhi ya maduka mengi yalimilikiwa na waalimu.
Kwa mwl. Usingeweza kukoswa kuku, Bata, sungura, mbuzj, ng'ombe , hata barafu zilikuwa za wake wa waalimu bila kusahau ufuta, na vitumbua.

Ilikuwa km huna hela lazima ubebe kiazi kutoka nyumbani na unaficha kichakani .
Zama hizo ndo tulitoa wasomi weledi wa nchi hii km akina JOHN POMBE MAGUFURI hawa ndo waliokuja kuwa waalimu wazuli, JPM alikuwa akitoka shule anachunga, anauza maziwa, nakuchimba BUKULWA muulizeni magufuri km alipeleka kilo 10 za mchele au za mahindi za kula shuleni japo vyakula vilikuwa tele.

Waalimu Badilikeni, ndo maana nashauri watengeneze group wawe wanaonyana na kukosoana.
Hili la michango tuliwakosoa mapema mkashabikia sasa limewaaibisha.
Shinyanga hakuna shule inayoitwa famtom
As long as hujui hata shule inaitwaje hyo ada yake tu umeijuaje?
Rekebisha kwanza hapo then darasa lingine lifate
 
Back
Top Bottom