Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Hongera Waziri wa Elimu kusikia malalamiko yangu niliyoyaweka JF japo walimu walinishambulia

Wewe mzee sidhani kama umeshasomesha hata mmoja chuo kikuu ikiwa mwanao tu mchango wa chakula tu unawatapikia walimu kama watoto wako?

Sina hakika kama hata mabinti zako unawahudumia kwa malalamiko haya.
Acha mawazo duni.

Jitolee kusapoti program muhimu kwa watoto wako.

Wasukuma ninaowafahamu hawawezi kulalamika kwa kilo kumi za mchele, wewe utakuwa mvivu haswa.

Acha uvivu lima, lima , lima, tena lima haswaa.

Hata walimu wakila shuleni wakapata nguvu kuwafundisha wanao mnapungukiwa nini.

Hoja zako ni mfu, unasema walimu walikuwa na mabata wanalima n.k leo walimu wako wangapi?

Shule ngapi bado zina maeneo ya kulima? Wanafunzi wenyewe hawalimi siku hizi kama ninyi mlivyolelewa.

Acha uvivu mzee

Nyie waalimu wenye tabia za kutaka tumichango ndo mlime.
Vya bule Mh. Magufuli alisema Vibayaa.
Nyie ndo mlime tena mlime haswaa!

Mambo km haya mlitakiwa muwaambie wizara ndo watangaze badala yakutolea udenda mipunga yetu.
Vya bule vibayaa.
 
Mtoa mada hauna jipya wala lolote la maana la kuleta hapa alafu nashangaa kuna watu wanakusapoti na huu ujinga wako
Anyway endelea kutema pumba.
 
Hongera sana kwa kupigania hilo ila hao watoto sijui kama watafundishwa kwa moyo wote na hao walimu wenye njaa ya mahindi na shilingi 2000/=
Kuna msemo huu hapa...
"Kadiri unavyomfanyia unyama mwenzako ndivyo unyama huo unavyokujia kwa njia nyingine mbele yako"

So wasipo wapa haki watoto/wanafunzi basi hata watoto wao watapata kile kile wanachowafanyia wanetu.
 
Kuna msemo huu hapa...
"Kadiri unavyomfanyia unyama mwenzako ndivyo unyama huo unavyokujia kwa njia nyingine mbele yako"

So wasipo wapa haki watoto/wanafunzi basi hata watoto wao watapata kile kile wanachowafanyia wanetu.

Sio sawa! Walimu kulipiza kwa watoto nikosa! Km wanahisi wamenyimwa haki basi ubaya huo wawafanyie selikari na sio watoto wetu.

Lakini kwa kumbukumbu nilizo nazo walimu wamipwa stahiki zao zote, madai ya malimbikizo, wamepandishwa vyeo na madaraja ikiwemo malipo yte ya uhamisho ambayo wamekuwa wakidai zaidi ya miaka20.
Ukitaka haki basi timiza wajibu.
Kudai haki bila kutimiza wajibu nisawa na kumpigia ngoma mtu mwenye anaehitaji usingiza.

Ataziita fujo au kelele.
 
Nyie waalimu wenye tabia za kutaka tumichango ndo mlime.
Vya bule Mh. Magufuli alisema Vibayaa.
Nyie ndo mlime tena mlime haswaa!

Mambo km haya mlitakiwa muwaambie wizara ndo watangaze badala yakutolea udenda mipunga yetu.
Vya bule vibayaa.
Ha ha haa!
Lisha watoto mzee usikimbie majukumu
 
Ha ha haa!
Lisha watoto mzee usikimbie majukumu

Nyie baadhi ya waalimu tunajua huwa mnatumika sana kuifitini selikari na wananchi.

Kwahiyo ss wasaidizi wa mh Rais tupo macho mda wte kumsaidia na kukisaidia chama.

Hatutakubari kukifitini chama.kama niwatoto kusoma nyie walimu ndo mfundishe maana tunawalipa mishahara sis wananchi na ukiona kipato kidogo acha kazi.
 
Sasa je ni kwamba unataka watoto wasile shuleni au unataka nini baada ya hizo fedha na mchele kurudishwa?
Kuna kamsemo ka kibeberu kidogo, kanasema, kama unafikiria elimu ni gharama, jaribu ujinga..

Binafsi kama mzazi inanipa faraja kujua mwanangu shuleni anapata chakula..masomo yanatumia ubongo, nao unahitaji chakula.

Everyday is Saturday.............................😎
 
Mchele kilo sh. 1,000× 10= 10,000
Pesa taslim = 2,000
Jumla sh.12,000

Kwaiyo mtoa mada,
Hii elfu12 unayoitolea povu ndo imlishe mwanao mlo wa mchana kwa Miezi minne.

Dah! Nmejikuta nmekudharau Sana mtoa mada
 
Kuna kamsemo ka kibeberu kidogo, kanasema, kama unafikiria elimu ni gharama, jaribu ujinga..

Binafsi kama mzazi inanipa faraja kujua mwanangu shuleni anapata chakula..masomo yanatumia ubongo, nao unahitaji chakula.

Everyday is Saturday.............................😎
Mtoa mada Hana akili
 
Nyie baadhi ya waalimu tunajua huwa mnatumika sana kuifitini selikari na wananchi.

Kwahiyo ss wasaidizi wa mh Rais tupo macho mda wte kumsaidia na kukisaidia chama.

Hatutakubari kukifitini chama.kama niwatoto kusoma nyie walimu ndo mfundishe maana tunawalipa mishahara sis wananchi na ukiona kipato kidogo acha kazi.
Mchele kilo kumi kumlisha mtoto umekushinda, utamsaidia rais kwa lipi ndugu?
 
Nyie baadhi ya waalimu tunajua huwa mnatumika sana kuifitini selikari na wananchi.

Kwahiyo ss wasaidizi wa mh Rais tupo macho mda wte kumsaidia na kukisaidia chama.

Hatutakubari kukifitini chama.kama niwatoto kusoma nyie walimu ndo mfundishe maana tunawalipa mishahara sis wananchi na ukiona kipato kidogo acha kazi.
Teh teh!
Kwa hiyo wewe ni msaidizi wa Rais?
Yaani hata kuandika hujui, halafu uwe msaidizi wa Rais...!
Hii itakuwa ni kupatwa kwa Rais!
...lakini vile vile kama ulivyosema waalimu wakiona kipato ni kidogo waache kazi, basi na wewe kama mzazi unaona mnaonewa kwa kulipishwa 2,000 basi mhamishe mwanao katika hiyo shule au muachishe shule kabisa, si lazima asome!
 
Pole sana mwl. Njaa.
Siku zote wanasema iga ufe. Kwa wanafunzi waliopita kinango secondary miaka ya 92 watakuwa mashahidi hapa.
Maisha ya shuleni yalikuwa magumu sana japo tulikuwa bording!
Tulikunywa uji bila sukali nusu kikombe na chakula cha mchana na jion ilikuwa kukimbizana na masifuria
Lkn angalia vijana tulivyotoboa mwaka huo.
Watoto wa matajiri pale magu, pamoja nakuwa nakila kitu walitoka na zero.

Mikoa ya Arusha, kilimanjaro na Kagera sikwamba wajinga hawapo arusha na kilimanjaro ndo inaongoza kuwa na mateja wengi kwa jina la kisasa arachuga.
Sili ya wasomi wengi kutoka mikoa hyo sio chakula ila nimikoa yenye wananchi wenye uwezo wa kifedha.
Hivyo walipeleka wtt wao ktk shule zenye uwezo. Na mpaka ss wanafanya hivyo.

Na ndo kabila linaloongoza kwa kuwekeza ktk taasisi za elimu na za kifedha nchini.

Angalia matokeo ya kisongo secondary iliyopo arusha ya mwaka huu ucheke.

IGA UFE.
Chakula na michango haiwezi fanya watoto wafauru.
...! Wee jamaa hovyo sana!
Kwanza tambua si kila anayechangia huu uzi wako ni mwalimu!
Binafsi mimi sipo kwenye hiyo kada, hivyo unavyoropokea kwa kumwita kila anayechangia huu uzi wako ni mwl ni dhahiri kuwa una ukilaza wa hali ya juu!
Twende kazi sasa, unasema kuwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Kagera siri ya ufaulu siyo chakula bali ni kuwa na watu wenye uwezo kifedha kuwapeleka watoto wao kwenye shule zenye uwezo, hii maana yake ni nini? Maana yake ni kuwa hizo shule zenye uwezo watoto walipata mahitaji yote muhimu na kwa wakati ikiwemo chakula kizuri na miundombinu mizuri n.k!

Lakini vile vile weww kama ulisoma zamani kwa tabu na shida, haimaanishi pia watoto wako wasome hivyo hivyo kwa tabu na shida kwa kigezo eti wewe ulifaulu pamoja na kupitia shida!
Halafu hivi wewe ulifaulu kweli?
Maana hata kuandika hujui, mfano hujui kutofautisha "r" na "l" inakera sana!

...then kama kabila hilo ndio linaongoza katika kuwekeza katika taasisi za elimu na fedha nchini, wewe kabila lako linaongoza kuwekeza katika nini!?
 
...! Wee jamaa hovyo sana!
Kwanza tambua si kila anayechangia huu uzi wako ni mwalimu!
Binafsi mimi sipo kwenye hiyo kada, hivyo unavyoropokea kwa kumwita kila anayechangia huu uzi wako ni mwl ni dhahiri kuwa una ukilaza wa hali ya juu!
Twende kazi sasa, unasema kuwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Kagera siri ya ufaulu siyo chakula bali ni kuwa na watu wenye uwezo kifedha kuwapeleka watoto wao kwenye shule zenye uwezo, hii maana yake ni nini? Maana yake ni kuwa hizo shule zenye uwezo watoto walipata mahitaji yote muhimu na kwa wakati ikiwemo chakula kizuri na miundombinu mizuri n.k!

Lakini vile vile weww kama ulisoma zamani kwa tabu na shida, haimaanishi pia watoto wako wasome hivyo hivyo kwa tabu na shida kwa kigezo eti wewe ulifaulu pamoja na kupitia shida!
Halafu hivi wewe ulifaulu kweli?
Maana hata kuandika hujui, mfano hujui kutofautisha "r" na "l" inakera sana!

...then kama kabila hilo ndio linaongoza katika kuwekeza katika taasisi za elimu na fedha nchini, wewe kabila lako linaongoza kuwekeza katika nini!?

Bado unajidhihilisha kuwa wewe ni mwl. Wakundi lile la waalimu wa nenda hata ualimu baada ya kupata Division 4 ya point 28.
Kwanini nakuweka kundi hilo.
1. Usizani shule nzuri na zenye gharama kubwa nikwaajiri ya chakula. (HAPANA) tena kwa herufi kubwa. Hizi shule zinaufaulu mzuri kwa sababu zimeajiri waalimu wenye UWEZO NA SIFA ZA KUWA WAALIMU

Nenda shule km za Famtom pale shinyanga! Watoto wanakunywa uji asubuhi, wanakula ugari na maharage na wali siku za ijumaa tu kwa wale waliopo boarding.

Sasa uliza gharama ya shule hiyo . Ada zao ni tsh.3.5ml. Kwa mwaka nakuenderea kulingana na darasa.

Hii nikwasababu shule hii imeajiri walimu wenye uwezo wa khari yajuu

Siyo km nyie waalimu wa Div4 yapoint 28.

Mchango wako na maswali yko yanaonekana ulikoswa koswa na magufuri!
Nyie ndo mlioenda kuchukua shahada ya ualimu ukitokea form4.

Kaa kimya tuongee vipanga.
Ndani ya wizara ya elimu kunakundi kubwa sana la baadhi ya waalimu kama nyie.

Ndio maana wahadhiri wa vyuo vikuu walikataa kuitwa waalimu ili kukwepa fedheha za waalimu viraza km nyie, mnao kesha kupanga namna yakupata fedha au vyakula toka kwa wazazi.
 
Nakusubiri uijibu hyo☝️then nikuweke wazi kila mtu akujue. Unakataa ww siyo mwalimu. Ww nimwalimu ukibisha naweka jina nashule unayofundisha.
 
Back
Top Bottom