Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
- Thread starter
-
- #61
Shinyanga hakuna shule inayoitwa famtom
As long as hujui hata shule inaitwaje hyo ada yake tu umeijuaje?
Rekebisha kwanza hapo then darasa
Fantom ndo mmiliki.
Sina haja yakuweka wazi kila kitu.
Wachane tu walimu njaa,wanafikiri sisi wazazi tutawapa unafuu wa maisha,wapambane tu.Nakusubiri uijibu hyo☝then nikuweke wazi kila mtu akujue. Unakataa ww siyo mwalimu. Ww nimwalimu ukibisha naweka jina nashule unayofundisha.
Baada ya kujibu hoja unaleta viroja mwalimu njaa.Teh teh!
Kwa hiyo wewe ni msaidizi wa Rais?
Yaani hata kuandika hujui, halafu uwe msaidizi wa Rais...!
Hii itakuwa ni kupatwa kwa Rais!
...lakini vile vile kama ulivyosema waalimu wakiona kipato ni kidogo waache kazi, basi na wewe kama mzazi unaona mnaonewa kwa kulipishwa 2,000 basi mhamishe mwanao katika hiyo shule au muachishe shule kabisa, si lazima asome!
Baada ya kujibu hoja unaleta viroja mwalimu njaa.
Umaskini wa akili ni mbaya mno, badala ya kumfikiria mwanao anaishi vipi na njaa kwa muda mrefu,toka saa kumi na mbili alipoamka mpaka saa kumi/nane na nusu, unawaza kilo kumi zenye thamani ya Tsh.10,000-12,000 na Tsh. 2,000 (Probably ya Kuni,chumvi,mafuta,maharage na mpishi) jinsi zitakavyoliwa na Mwalimu!?
Acheni kudharau Walimu,kwa nini msiunde kamati ya wazazi itakayohakikisha watoto wanakula?
Mwanangu chekechea nimemlipia laki na nusu ale shuleni,wewe elfu Kuni na nne unaongea maneno ya kashfa kwa Walimu?
Watu msiosoma mna matatizo, Unamrithisha mtoto ujinga na umaskini kwa gharama ya Tsh 14,000?;(Tena kwa miezi mine mtoto anakula!)
Basi tuishukuru serikali ya awamu ya 5
hatari.....hicho ulichooandika ni kwa sababu una njaa ya akili!
Miongoni mwa maeneo ambayo yapo nyuma kielimu na mwamko wa elimu bado upo chini ni huko ulikotaja wanakochangishwa chakula!
...maeneo kama klm huwezi sikia upuuzi kama unaoleta hapa! Wazazi wanachangishwa na wanalipa michango ya chakula na huwezi kusikia malalamiko, tena wanachanga zaidi ya hicho mnachochanga nyie!
...kwa ufinyu huo wa akili ulionao hivi hizi zero na four hapa kwenye hiyo shule yenu mtaweza kuziondoa kweli?View attachment 1495626
Kama Elimu gharama,endelea kukumbatia ujinga na uwarithishe kizazi chako.Nazidi kuwashauri walimu! Jiwekeni mbali na vitu visivyo na afya ktk utu wenu!
Hiyo shule ya savannah huwezi kukuta walimu kama wewe wa Div4 ya point 28.
Hata kama ingekuwa ni tsh.14000 lkn tuone value of money ya tsh.14000.
Maana watoto walipofunga kupisha covid-19 masomo yaliendelea kwa njia mbali mbali , na baadhi ya shule ziliendelea kutoa packages za masomo.
Sasa haya masaa mawili ya nyongeza nidhahili hayakuwa na tija zaidi yakutoa mianya ya walimu wa Div4 ya point 28.
Hata wewe nimwalimu unaefundisha shule ya msingi ibenzamata p/s iloyopo ktk manispaa ya shinyanga.
Ukibishia naweka full name yko hapa. Na wasifu wako kwa ujumla.
Usizani watu tunaongea vitu tusivyovijua hapa.
Mimi Enzi na Enzi ndo nililipinga hili la michango ya 10kg na tsh.2000 kila mtoto baada yakujilidhisha kuwa sababu ya masaa mawili yakufidia topic walimu walianza kutumia vibaya
Nanilitoa ushahidi wa shule kalibia tatu ktk mikoa mbalimbali mala tu yakupitisha mpango huo kabla yashule kufunguliwa.
Nilitukanwa nikaombwa kuweka vielelezo nikaamua kuiomba wizara iingilie kati pamoja na chama tawala.
Baada ya shule kufunguliwa kweli barua zikaanza kusambaa ndo serikali ikaja na waraka wakuzuia jambo hilo.
Namoja yabarua nilizozipata zinatoka mkoa wa mwanza wilaya ya magu hata ukiidoma barua yenyewe ni dhahiri kuwa Head master alilijua hilo mapema akaamua kumtumia Afisa mtendaji wa kata.
Nayeye headmaster akapitisha tu.
Hii inamaana mgao wa mchele ulipangwa ki sisteam.
Kama Elimu gharama,endelea kukumbatia ujinga na uwarithishe kizazi chako.Nazidi kuwashauri walimu! Jiwekeni mbali na vitu visivyo na afya ktk utu wenu!
Hiyo shule ya savannah huwezi kukuta walimu kama wewe wa Div4 ya point 28.
Hata kama ingekuwa ni tsh.14000 lkn tuone value of money ya tsh.14000.
Maana watoto walipofunga kupisha covid-19 masomo yaliendelea kwa njia mbali mbali , na baadhi ya shule ziliendelea kutoa packages za masomo.
Sasa haya masaa mawili ya nyongeza nidhahili hayakuwa na tija zaidi yakutoa mianya ya walimu wa Div4 ya point 28.
Hata wewe nimwalimu unaefundisha shule ya msingi ibenzamata p/s iloyopo ktk manispaa ya shinyanga.
Ukibishia naweka full name yko hapa. Na wasifu wako kwa ujumla.
Usizani watu tunaongea vitu tusivyovijua hapa.
Mimi Enzi na Enzi ndo nililipinga hili la michango ya 10kg na tsh.2000 kila mtoto baada yakujilidhisha kuwa sababu ya masaa mawili yakufidia topic walimu walianza kutumia vibaya
Nanilitoa ushahidi wa shule kalibia tatu ktk mikoa mbalimbali mala tu yakupitisha mpango huo kabla yashule kufunguliwa.
Nilitukanwa nikaombwa kuweka vielelezo nikaamua kuiomba wizara iingilie kati pamoja na chama tawala.
Baada ya shule kufunguliwa kweli barua zikaanza kusambaa ndo serikali ikaja na waraka wakuzuia jambo hilo.
Namoja yabarua nilizozipata zinatoka mkoa wa mwanza wilaya ya magu hata ukiidoma barua yenyewe ni dhahiri kuwa Head master alilijua hilo mapema akaamua kumtumia Afisa mtendaji wa kata.
Nayeye headmaster akapitisha tu.
Hii inamaana mgao wa mchele ulipangwa ki sisteam.
Matamko kutoka juu yanaendesha kwa urahisi watu wote.Sio walimu pekee.Sidhani kama waalim wananjaa kiasi hicho. Nachokiona ni kwamba waalim ni wepesi kuendeshwa kwa matamko kutoka juu licha ya kwamba matamko hayo hayana uhalali kisheria na kikanuni. Kwa post hii sina maana ya kumtetea mwalimu au mtumishi yotote mwizi. Pongezi kwako mleta uzi. Umeokoa hifadhi ya chakula cha wazazi.
Huu Uzi umejaa fitna na kaulofa Fulani hivi.mtoto akae SAA 1.30 SAA 10.00 jioni hajala. feza boys/Marian/keizerege unazijua?? Ebu uanzie hapo kudadavua izo ada za milioni 5-6 uje ulinganishe na iyo elfu 70.yani utajiona mwehuu.