Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeandika nini hiki wakati ukikosoa wenzako?Andiko Zurich lkn edit hiyo ongera weka hongera, .com nyie mnatuharibia sana luggage yetu. Hata walimu wenu chenga sana
Timu ya Mpira haiko unavyodhan Mkuu, Wachezaji waandamizi wawili au watatu wanaweza sajiliwa kwingine ukashangaa timu ikawa mbovu mpaka ushangae.
Lets Say Diara na Aziz Ki waondoke! Mzee hilo pengo utajitafuta haswa.
Hao Simba unaowakejeli, wamefanya hicho alichofanya Yanga mara 5!
Na mwaka jana pia alitolewa kwa Penat na Wydad sio hawa wacheza Amapiano! Lkn mlikuwa mnaona izze. Mind you muda ni mwalimu mzuri.
Bora kwa kuishia robo? Au ndio mnadai mmekufa kiume ?yanga inajua ku replace wachezaji haraka, wameondoka wachezaji wengi wa yanga ambao walikuwa wanaonekana ndio best player
Ameondoka mayele, ameondoka Fei toto, ameondoka Bangala , ameondoka Djuma Shaaban, ila bado timu imezidi kuwa bora