Hongera Yanga! Mmeonesha mna na timu ya aina gani. Nawaona mbali ndani ya miaka 2 ijayo kwa ubora wenu

Hakuna cha kuwaona mbali hapo ndio robo mwisho wa reli
"Mwakarobo Jr"
 
Andiko Zurich lkn edit hiyo ongera weka hongera, .com nyie mnatuharibia sana luggage yetu. Hata walimu wenu chenga sana
Wewe umeandika nini hiki wakati ukikosoa wenzako?

Elimu haina mwisho.
 

yanga inajua ku replace wachezaji haraka, wameondoka wachezaji wengi wa yanga ambao walikuwa wanaonekana ndio best player

Ameondoka mayele, ameondoka Fei toto, ameondoka Bangala , ameondoka Djuma Shaaban, ila bado timu imezidi kuwa bora
 
yanga inajua ku replace wachezaji haraka, wameondoka wachezaji wengi wa yanga ambao walikuwa wanaonekana ndio best player

Ameondoka mayele, ameondoka Fei toto, ameondoka Bangala , ameondoka Djuma Shaaban, ila bado timu imezidi kuwa bora
Bora kwa kuishia robo? Au ndio mnadai mmekufa kiume ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…