Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

Yule lecturer kapigwa chini,na kuzaa kote ,na kuishi kama mke na mme ,na kusidikizana mahakamani enzi zile za kesi na Chadema.Leo anaolewa mwingine ?mapenzi ya mwendokasi
Waliachana na lecturer muda tu mbona! Kukaanga sio tija ati.
 
Mashallah beautiful couple, all the best
 
Dah! Huyu jamaa. Yupo kwenye vikao vya harusi na huku anatupa mawe ikulu! Hongera zake by the way
 
Kaa chini andika vizur na uandike vitu vieleweke!! Neno edit lifanye kaz yake!! Kaa unaamka vile!!
Na wewe pia andika vizuri makosa yako ni mengi kuliko hata huyo unayemkosoa!
Vizuri*
Kazi*
Kama*
Una amka*
 
harusi
 
Karibu dogo katika chama kubwa...wenziye tupo huko kitambo.
 
Hongera sana zitto, kwa kutuiga majaribu ya wanawake. Omba mungu uwe umebahatisha mwenye ufahamu wa kutosha.
 
Ndoa ya kiserikali inafungwa na DC, huenda komredi zitto alifunga ya serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…