Hongereni kwa Kumfunga Rivers United FC, ila na hili la Bernard Morisson liwekeni wazi msifiche

Nimeshastaafu Kuwapakuwa Watu Unyabengani Kwao hivyo tafuta tu Wapakuwaji wapya wa hilo Nyabe lako linalokunyamvuka nyamvuka mpaka Kutwa ( 24/7 ) Unanishobokea sawa?
Nani ashoboke na POPOMA nyau wewe
 
Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?
hivi kati ya simba na yanga ni nani alieanza kumsajili morrison kwa kumkomoa mwenzie? we jamaa akili zako zimehamia puani na kichwani umejaza makamasi tuu.
 
Mkuu Genta upo! Za masiku Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…