Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah nakufatilia San mzee Bab popoma SAS unataka nimfatilie mpwayungu ,,wee Ni senior popoma mwandamiziAmbaye 24/7 tu Unamfuatilia JF Oky?
Nani ashoboke na POPOMA nyau weweNimeshastaafu Kuwapakuwa Watu Unyabengani Kwao hivyo tafuta tu Wapakuwaji wapya wa hilo Nyabe lako linalokunyamvuka nyamvuka mpaka Kutwa ( 24/7 ) Unanishobokea sawa?
Lini sasa utanitengea Nyabe lako hilo?Yaah nakufatilia San mzee Bab popoma SAS unataka nimfatilie mpwayungu ,,wee Ni senior popoma mwandamizi
Nut.Utter non sense
Ungekuwa hunishobokei ili Nikuchape nao Unyabengani Kwako ungekuwa unahangaika nami hivi na Kutwa?Nani ashoboke na POPOMA nyau wewe
Wewe ndio unahangaika na mimi nikufokoeUngekuwa hunishobokei ili Nikuchape nao Unyabengani Kwako ungekuwa unahangaika nami hivi na Kutwa?
hivi kati ya simba na yanga ni nani alieanza kumsajili morrison kwa kumkomoa mwenzie? we jamaa akili zako zimehamia puani na kichwani umejaza makamasi tuu.Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?
Ajirekebishe wapi, we subiri tu si unaona ashaambiwa mchezaji majeruhi yeye anaanza uzushi.hahahah! Sasa hivi kakerebika sio kama before
Mkuu Genta upo! Za masiku Mkuu!Inasemekana ( bado nathibitisha ) kwa Chanzo changu Aminika kilichopo Kikosini nchini Nigeria kuwa Mchezaji wa Yanga SC Bernard Morisson alifukuzwa Kambini na kurejeshwa Dar es Salaam Tanzania baada ya Kugundulika akiwa anawasiliana kwa Simu na Wachezaji Wawili Raia wa Kwao Ghana na huku akiwa Amebeti na Kuiua mazima Yanga SC yake inayomuweka Mjini.
Nyie Mchezaji ameshindikana katika Klabu ya Wasomi na Matajiri ya Simba SC iliyokuwa ikimpa kila Kitu nyie Wafuga Vyura na Njaa Njaa FC ndiyo mtamuweza?
Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?
Na tunajua kuwa Bernard Morisson hakuwa Chaguo la Kocha Nabi na ndiyo maana hampi Nafasi na kila Siku tu Wanagombana huko Kambini Kwenu Avic Town ila mnajifanya Kuficha wakati Wafukunyuku wa Mambo ( Masuala Mtambuka) akina GENTAMYCINE tunajua kila Kitu ila huwa tunaamua Kuwapuuzeni tu.
Another Damn Nut.Ajirekebishe wapi, we subiri tu si unaona ashaambiwa mchezaji majeruhi yeye anaanza uzushi.
Salama tu Mkuu. Mkeo na Wanao hawajambo? Nasikia sasa umeongeza Mtoto mwingine. Heko.Mkuu Genta upo! Za masiku Mkuu!