Hongereni kwa Kumfunga Rivers United FC, ila na hili la Bernard Morisson liwekeni wazi msifiche

Hongereni kwa Kumfunga Rivers United FC, ila na hili la Bernard Morisson liwekeni wazi msifiche

Inasemekana ( bado nathibitisha ) kwa Chanzo changu Aminika kilichopo Kikosini nchini Nigeria kuwa Mchezaji wa Yanga SC Bernard Morisson alifukuzwa Kambini na kurejeshwa Dar es Salaam Tanzania baada ya Kugundulika akiwa anawasiliana kwa Simu na Wachezaji Wawili Raia wa Kwao Ghana na huku akiwa Amebeti na Kuiua mazima Yanga SC yake inayomuweka Mjini.

Nyie Mchezaji ameshindikana katika Klabu ya Wasomi na Matajiri ya Simba SC iliyokuwa ikimpa kila Kitu nyie Wafuga Vyura na Njaa Njaa FC ndiyo mtamuweza?

Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?

Na tunajua kuwa Bernard Morisson hakuwa Chaguo la Kocha Nabi na ndiyo maana hampi Nafasi na kila Siku tu Wanagombana huko Kambini Kwenu Avic Town ila mnajifanya Kuficha wakati Wafukunyuku wa Mambo ( Masuala Mtambuka) akina GENTAMYCINE tunajua kila Kitu ila huwa tunaamua Kuwapuuzeni tu.
Samahani mkuu nimesikia wewe ni jamaa wa upinde,samahani lakini je ni kweli???
 
Naona Popoma umeumia sana na ushindi wa Yanga, huyo Morisson mwisho msimu huu hatutaki tena kumuona
 
Maelezo ya Uzi wangu ( hapo juu ) yalisema nina uhakika wa Taarifa au nilisema Inasemekana na nikaenda mbele kusema bado najiridhisha kutoka kwa Chanzo Aminika changu?
Tatizo lako kuu ni kiherehere. Ujiridhishe kwanza kabla ya kuja kujidhalilisha hapa.
 
Inasemekana ( bado nathibitisha ) kwa Chanzo changu Aminika kilichopo Kikosini nchini Nigeria kuwa Mchezaji wa Yanga SC Bernard Morisson alifukuzwa Kambini na kurejeshwa Dar es Salaam Tanzania baada ya Kugundulika akiwa anawasiliana kwa Simu na Wachezaji Wawili Raia wa Kwao Ghana na huku akiwa Amebeti na Kuiua mazima Yanga SC yake inayomuweka Mjini.

Nyie Mchezaji ameshindikana katika Klabu ya Wasomi na Matajiri ya Simba SC iliyokuwa ikimpa kila Kitu nyie Wafuga Vyura na Njaa Njaa FC ndiyo mtamuweza?

Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?

Na tunajua kuwa Bernard Morisson hakuwa Chaguo la Kocha Nabi na ndiyo maana hampi Nafasi na kila Siku tu Wanagombana huko Kambini Kwenu Avic Town ila mnajifanya Kuficha wakati Wafukunyuku wa Mambo ( Masuala Mtambuka) akina GENTAMYCINE tunajua kila Kitu ila huwa tunaamua Kuwapuuzeni tu.
Mambo ya Yanga waachie wenyewe! Sawa?

Halafu upunguze kuwashwa washwa, ili usiendelee kuitwa Popoma Mbobevu.
 
Inasemekana ( bado nathibitisha ) kwa Chanzo changu Aminika kilichopo Kikosini nchini Nigeria kuwa Mchezaji wa Yanga SC Bernard Morisson alifukuzwa Kambini na kurejeshwa Dar es Salaam Tanzania baada ya Kugundulika akiwa anawasiliana kwa Simu na Wachezaji Wawili Raia wa Kwao Ghana na huku akiwa Amebeti na Kuiua mazima Yanga SC yake inayomuweka Mjini.

Nyie Mchezaji ameshindikana katika Klabu ya Wasomi na Matajiri ya Simba SC iliyokuwa ikimpa kila Kitu nyie Wafuga Vyura na Njaa Njaa FC ndiyo mtamuweza?

Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?

Na tunajua kuwa Bernard Morisson hakuwa Chaguo la Kocha Nabi na ndiyo maana hampi Nafasi na kila Siku tu Wanagombana huko Kambini Kwenu Avic Town ila mnajifanya Kuficha wakati Wafukunyuku wa Mambo ( Masuala Mtambuka) akina GENTAMYCINE tunajua kila Kitu ila huwa tunaamua Kuwapuuzeni tu.
unajua mie hua nakupenda kama mtani wetu hata kama maandishi yako siyapendi,i love your personality and your character
 
Back
Top Bottom