Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

Rais gani wa Kumteua huyo Kubwa Jinga ( KJ ) mpwayungu village kwa Cheo chochote kile? Kura 1 tu aliyoipata Kawe ilitosha kuonyesha kuwa hana Faida kwa Taifa hili.
 
Dola haiteui kwa kuiangalia jf jamaa yangu,acha mzaha
Nakupinga hapa Mkuu nina Mifano michache ya Watu walioteuliwa na hata kutenguliwa kutokana na Michango ya Watu hapa Jamiiforums.

Kuna mpaka Maamuzi ya Serikali kadhaa yalishafanyika baada ya Watu kuandika hapa JamiiForums.

JamiiForums ina impact Kubwa huko huko Mamlakani ( Dolani ) kuliko vile uwazavyo na inaheshimika hadi Kuaminika pia. Acha kuidharau na dharau pia dhidi ya JamiiForums kama Mtandao.
 
Kwa hili nakubaliana na wewe popoma mbobezi
 
Haswa
 
porojo
 
Sasa akiweka wazi uhalisia wa maisha yake si angejisajili na jina halisi.... We kubali tu kuwa Genta ana hiyo connection ya taarifa za jeshi😂 ila yeye halisi anaweza kuwa yoyote, mwenye nacho au asiye nacho.
 
Tatizo umri baba. Pia kiutendaji CDF akistaafu inatakiwa COS nae ataafu ili CDF mpya apige kazi na COS wake
Wakati Mwamunyange anastaafu ulikuwa bado hujazaliwa? Maana unaongea vitu ambavyo hujui
 
Mbona hakuna tatizo kusifia ,tutalinganisha utendaji na sifa nasi tutamleta Hapa jf
 
mtani, embu nifafanulie code ya "wazeee wa sanga sanga"
 
Jf haiwezi kuathiri uteuzi wa cdf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…