Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

Watanzania mnapenda Sana kumsifia MTU akiteuliwa na rais hata kabla ya kuona matokeo katika hicho cheo kipya.
MTU anaweza akamudu Sana nafasi ndogo lkn kubwa ikamshinda.
Naamini Leo hii akiteuliwa mpwayungu village kuwa mkuu wa Sungusungu kata ya 14 Temeke Kuna watu watasifia huo uteuzi lkn pia kumsifia mteule kwamba nafasi anaimudu.
Rais gani wa Kumteua huyo Kubwa Jinga ( KJ ) mpwayungu village kwa Cheo chochote kile? Kura 1 tu aliyoipata Kawe ilitosha kuonyesha kuwa hana Faida kwa Taifa hili.
 
Dola haiteui kwa kuiangalia jf jamaa yangu,acha mzaha
Nakupinga hapa Mkuu nina Mifano michache ya Watu walioteuliwa na hata kutenguliwa kutokana na Michango ya Watu hapa Jamiiforums.

Kuna mpaka Maamuzi ya Serikali kadhaa yalishafanyika baada ya Watu kuandika hapa JamiiForums.

JamiiForums ina impact Kubwa huko huko Mamlakani ( Dolani ) kuliko vile uwazavyo na inaheshimika hadi Kuaminika pia. Acha kuidharau na dharau pia dhidi ya JamiiForums kama Mtandao.
 
Nakupinga hapa Mkuu nina Mifano michache ya Watu walioteuliwa na hata kutenguliwa kutokana na Michango ya Watu hapa Jamiiforums.

Kuna mpaka Maamuzi ya Serikali kadhaa yalishafanyika baada ya Watu kuandika hapa JamiiForums.

JamiiForums ina impact Kubwa huko huko Mamlakani ( Dolani ) kuliko vile uwazavyo na inaheshimika hadi Kuaminika pia. Acha kuidharau na dharau pia dhidi ya JamiiForums kama Mtandao.
Kwa hili nakubaliana na wewe popoma mbobezi
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Haswa
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
porojo
 
Yani utadhani anamjua, mtu hujulikani hata na mwenyekiti wa serikali za Mtata unakuja huku kutoa sifa za mkuu wa majeshi
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
shida ya jamiiforum kila mtu mjuaji hatutaki kuweka wazi uhalisia wa maisha yetu, chaajabu hapo ana jero ya mihogo tu mfukoni
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Sasa akiweka wazi uhalisia wa maisha yake si angejisajili na jina halisi.... We kubali tu kuwa Genta ana hiyo connection ya taarifa za jeshi😂 ila yeye halisi anaweza kuwa yoyote, mwenye nacho au asiye nacho.
 
Mbona hakuna tatizo kusifia ,tutalinganisha utendaji na sifa nasi tutamleta Hapa jf
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
mtani, embu nifafanulie code ya "wazeee wa sanga sanga"
 
Nakupinga hapa Mkuu nina Mifano michache ya Watu walioteuliwa na hata kutenguliwa kutokana na Michango ya Watu hapa Jamiiforums.

Kuna mpaka Maamuzi ya Serikali kadhaa yalishafanyika baada ya Watu kuandika hapa JamiiForums.

JamiiForums ina impact Kubwa huko huko Mamlakani ( Dolani ) kuliko vile uwazavyo na inaheshimika hadi Kuaminika pia. Acha kuidharau na dharau pia dhidi ya JamiiForums kama Mtandao.
Jf haiwezi kuathiri uteuzi wa cdf
 
Back
Top Bottom