Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Mtatiro utakuwa umelambishwa pesa ya kutosha. Siyo bure, mawazo yangu tu. sisi wanasiasa atu give up kirahisi namna hiyo
 
Kiukwl mi nilipenda Mtatiro upelekwe kwnye jimbo la Ubungo ukamsambalatishe Masaburi cz Kubenea cjui km ata muweza cz masaburi ni mtt wa mjini na ni mjanja sna ila ww ndo kiboko yake, N.B km UKAWA atacmamishwa Kubenea bac 60% jimbo la ubungo litarudi ccm
 
Aisee umeonyesha ukomavu ktk siasa mabadiliko sio kwenye ubunge tu naimani ukakuwa na mchango mkubwa sana
 
Mtatiro utakuwa umelambishwa pesa ya kutosha. Siyo bure, mawazo yangu tu. sisi wanasiasa atu give up kirahisi namna hiyo

Ccm utawajua tu wanatafuta chokochoko ili watu wagombane
 
Nimetafakari maneno yako ,hadi majozi yamenitoka.Hakika wewe ni mzalendo bila chembe ya shaka ulie choshwa na shida zilizoletwa na huyu mkoloni wetu CCM.Hongera sana! Msimamo huu nichangamoto kwetu sote wapenda mabadiriko.Hakika umeongeza hamasa ya kupigania ukombozi wa pili wa nchi yetu.
 
huyu ndio mwanasiasa wa kweli. Mungu atimize ndoto zako za kisiasa mbeleni na wkt unajipanga katika hayo na aibariki na kampuni yako ufanikiwe
 
That's great Mr Mtatiro!

You are a true politician of our time!!

Nakuhakikishia utaingia tu bungeni through other ways
 
Mtatiro hongera sana kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa na inaonyesha ni jinsi gani unavyo itumia elimu yako kwa vitendo..
 
Good umekomaa kisiasa kwani hatuwezi kugombea nafasi moja wote kuna kupata na kukosa. Ivyo tuwe pmj kushirikiana pmj kama ulivyoeleza. Nawe maneno yako yawe mfano kwa kila mwana Chadema, CUF, Nccr na Nld tusigombanie vyeo ukikosa unganisha nguvu kwa aliepata songa mbele,jaribu nafasi yako 2020. Tuwaondoe hawa manyangau ccm
 
Mdogo wangu Julius Mtatiro, kumbuka kura hazipigwi hapa JF au kule mtaa wa pili Facebook, hamishia mechi huku site; mtaa kwa mtaa, mlango kwa mlango na mtu kwa mtu. Nakumbuka 2010 ulifanya kampeni nzuri sana ingawa kura hazikutosha, safari hii katika ushirika wa ukawa jimbo hili ni lako.

Amekatwa mkuu, au hujamuelewa bado?
 
Last edited by a moderator:
Mtatiro umekomaa. Hongera sana. Unastahili sasa upewe majukumu makubwa zaidi. Mungu awe nawe.
 
Mkuu tuombe ukawa itwae madaraka,ataonekana tu bungeni

Ukawa tumewaahidi kuwaongezea wabunge tu. Ila sarakasi mnazoendelea ruka mwapunguza ari ya wananchi kuwapeni hata wabunge.
 
Hongera Mtatiro kwa kukubali kupoteza nafasi yako ya kuongoza kwa Sababu ya UKAWA ambayo ni Invalid, ungeamua kusisitiza kugombea segerea wala usingeoneka Mbinafsi na ungetudhihirishia ni jinsi gani unajiamini.

Unasemaje kuhusu unfair distribution? Mbona wao Chadema hawakwenda Kigamboni? Kinondoni, mbagala au Temeke? Je sababu walizokupa umeridhika nazo?
Pls think again!!!
 
Back
Top Bottom