Hongereni Walimu wa Tanzania naona kuna Mtu anaanza 'Kuwalainisheni' mapema 2023 hii ili awatumie 'Kumlainishia' 2025 Oktoba

[emoji23][emoji23][emoji23] Kama una rafiki ambaye ni mwalimu wa mwandiko, tafadhari kuwa karibu naye akupige msasa kwenye MWANDIKO.
 
U
Unazo elements zote za umasikini
 
Cc Mpwayungu Village
 
Kachukulie loan hiyo inclement
 
Inafurahia kulipwa 65 kwa kazi maalumu?emu rudia upya kusoma malipo ya kazi maalumu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Yani unakaa mwaka mzima kusubiri 65,000?ama kweli ukiwa masikini hata upeo unapungua
 
"Dola iliamua mapato/fedha mengi/ nyingi yaende/ziende kwenye siasa kuliko kwenye proffession!

Ndio maana proffessional karibu zote zinalia lia sana kuhusu ukata na wote wanakimbilia kwenye SIASA!!

Tatizo la watumishi wa ummaa wakiwemo walimu ni la kimfumo na kipaumbele cha dola kutowapa heshima inayostahili!

Dola imeamua kulinda wapiga dili wakawaacha watumishi wenye kutumika KWA miaka mingi!!


ZIPO DALILI HAPO MBELENI DOLA ITANIINGIZA KITALANI NA NDIPO NITAKAPOFANYA WANASIASA WAIONE SIASA NI KAZI NDOGO SANA NA KUKIMBILIA PROFESSIONAL ZAO ZA AWALI!!


KAMA HUKO UINGEREZA ILIVYO SIASA NI KAZI YA ZIADA HUFANYWA NA WATU BAADA YA KUSTAAFU KAZI ZAO ZA MAANA!!WALA HAKUNA ANASA KAMA AFRICA!!


NITAINGIA NITAREKEBISHA HALI!!
 
Kama hizi ndo akili za waalimu nachelea kusema shule mlikwenda kusomea ujinga ,hamjitambui.
 
Chawa utakufa vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…