GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo matatizo yenu ( changamoto zenu ) alikuwa hazijui tokea akiwa hapo 2015 hadi 2021 hadi Jana ( 2023 ) ndiyo kazijua na kuwaahidi Kuwatatulieni zote?
Na mlivyo Watupu ( Empty Sets ) Vichwani mwenu najua sasa nyote mtafurahi, mtamsifu na kumuona anafaa ila baada tu ya 2025 mtaendelea kudharauliwa na kusahaulika kwa Changamoto zenu lukuki.
Yaani kila Siku tu mnafanywa kama Tambala la Deki ambalo Umuhimu wake ni Kudekia tu penye Uchafu na Kutupwa na kuhitajika tena Uchafu ukijitokeza lakini hata hamshtuki.
Eti Walimu ni Jeshi muhimu nchini hivi lingekuwa ni Jeshi muhimu mngekuwa mnalidharau, mnalipuuza na mnawapa Mishahara midogo hadi Wengine wanaishia Kutwa kujirahisi kwa akina GENTAMYCINE na 'Kuwabandua' kwa Pesa ndogo, kwa Mkopo na sometimes hata kwa Mali Kauli tu?
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu!!
Na mlivyo Watupu ( Empty Sets ) Vichwani mwenu najua sasa nyote mtafurahi, mtamsifu na kumuona anafaa ila baada tu ya 2025 mtaendelea kudharauliwa na kusahaulika kwa Changamoto zenu lukuki.
Yaani kila Siku tu mnafanywa kama Tambala la Deki ambalo Umuhimu wake ni Kudekia tu penye Uchafu na Kutupwa na kuhitajika tena Uchafu ukijitokeza lakini hata hamshtuki.
Eti Walimu ni Jeshi muhimu nchini hivi lingekuwa ni Jeshi muhimu mngekuwa mnalidharau, mnalipuuza na mnawapa Mishahara midogo hadi Wengine wanaishia Kutwa kujirahisi kwa akina GENTAMYCINE na 'Kuwabandua' kwa Pesa ndogo, kwa Mkopo na sometimes hata kwa Mali Kauli tu?
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu!!