KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 701
- 1,241
Sema Huko Umma kufa ni Nje nje...Hospitali za serikali pekee ndio zina madaktari wabobezi katika ukanda wetu huu wa Afrika; pelekeni wagonjwa wenu kwenye hospitali za umma, ata ukimchangia mafuta kidogo sio mbaya, kuliko kwenda huko private ambapo wako profit oriented.
Huduma ni mbovu kidogo