Hospitali ya Agha Khan madaktari wengi ni wanafunzi au ndio kwanza wanaanza kazi?

Hospitali ya Agha Khan madaktari wengi ni wanafunzi au ndio kwanza wanaanza kazi?

Sio mbaya ni namna ya kujifunza ila ni vyema kuwepo pia daktari mwenye ujuzi kwa ajili ya kusaidia/kuelekeza
 
Hiyo ni kweli, niliwahi kufika hapo miaka fulani na dharula fulani maeneo muhimu, vitoto vidogo vimenizunguka havijui hata la kufanya, vinaona aibu kuangalia nikaondoka zangu.

Nikaenda kutibiwa sehemu nyingine na shida yangu iliisha.
 
Hiyo ni kweli, niliwahi kufika hapo miaka fulani na dharula fulani maeneo muhimu, vitoto vidogo vimenizunguka havijui hata la kufanya, vinaona aibu kuangalia nikaondoka zangu.

Nikaenda kutibiwa sehemu nyingine na shida yangu iliisha.
Acha kabisa walimchoma mtoto wangu mkono wakitafuta mshipa, inshort walimtesa kidogo.
 
Hiyo ni kweli, niliwahi kufika hapo miaka fulani na dharula fulani maeneo muhimu, vitoto vidogo vimenizunguka havijui hata la kufanya, vinaona aibu kuangalia nikaondoka zangu.

Nikaenda kutibiwa sehemu nyingine na shida yangu iliisha.
Wewe ni muongo
 
Wewe ni muongo
Hapo hali ndio hilivyo, tafuteni madaktari bingwa wa full-time

Madaktari bingwa wapo hospitali za serikali wanapiga full time, part time ndio wakuja huko kwenu, operation nyingi kubwa lazima madaktari wakubwa watoke government hospitals.
 
Hapo hali ndio hilivyo, tafuteni madaktari bingwa wa full-time

Madaktari bingwa wapo hospitali za serikali wanapiga full time, part time ndio wakuja huko kwenu, operation nyingi kubwa lazima madaktari wakubwa watoke government hospitals.
Wewe ni muongo
 
Ndugu wanajamvi.

Nimeona nilete hili kwenu natumaini wengi wenu mliowahi kwenda Hospital ya Aghakan pale mjini mme notice kuwa madaktari wengi ni wanafunzi ambao hawana uzoefu. Na wengi hurudi kwenye kusoma Notice ili kujua mgonjwa anasumbuliwa na nini..?

Nilimpeleka mtu mida ya usiku emergency kwa kweli nilipata wasiwasi maana wengi waliokuwa pale reception walionekana kutojua vitu, wengine hata kuandaa drip ilikuwa ni tatizo mpaka wapeane msaada wenyewe kwa wenyewe. Kwa kweli niliogopa sana na sikuamini hospital kubwa kama ile kuwa na mdaktari ambao hawana uzoefu tena sehemu ya emergency.
Niwali kwenda Agkani kitu nilicho gundua wale wana Vifaa ila si kwamba wana Madakitari bora hapana, madakitari wao wengi ni wa kawaida kabisa kinacho ibeba ni vifaa
 
Hospitali za serikali pekee ndio zina madaktari wabobezi katika ukanda wetu huu wa Afrika; pelekeni wagonjwa wenu kwenye hospitali za umma, ata ukimchangia mafuta kidogo sio mbaya, kuliko kwenda huko private ambapo wako profit oriented.
Private wana vifaaa ila hawana Madakitari watu hawajagundua hilo
 
Mgonjwa wako alipona au alipendwa zaidi?
Aliingia akiwa yuko ok wakamwambia afanyiwe operation. Baada ya operation siku ya tatu usiku akazidiwa , wakampeleka ICU huko nako kuna uzembe ukafanyika basi mungu akampenda zaidi.
Asingefanya operation angekuwa hai mpaka sasa.
 
Public hospital usiwe na mkono wa kichoyo mim kuna rafiki yangu mke wangu kajifungia agha khan katoa million 10 huo ujinga sifanyi
Hapo utakuwa wamemwambia lazima kisu faster ili wapige pesa. hatari sanaaa...!! Hospital za serikali watu wanajifungua njia ya kawaida. Ukienda private kidogo wanakwambia hapa bili kisu itakuwa tatizo. Tuwahi na kisu tuu..
 
Back
Top Bottom