KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 701
- 1,241
Sema Huko Umma kufa ni Nje nje...Hospitali za serikali pekee ndio zina madaktari wabobezi katika ukanda wetu huu wa Afrika; pelekeni wagonjwa wenu kwenye hospitali za umma, ata ukimchangia mafuta kidogo sio mbaya, kuliko kwenda huko private ambapo wako profit oriented.
Na wengi wako hivyoNa hao madaktari wabobez wengi wao ni freelancer hawataki kubanawa na sheria za sekta binafsi
Ukiwafanya wacheke, utafurahia hudumaSema Huko Umma kufa ni Nje nje...
Huduma ni mbovu kidogo
Ni noma!!Ukiwafanya wacheke, utafurahia huduma
Public hospital usiwe na mkono wa kichoyo mim kuna rafiki yangu mke wangu kajifungia agha khan katoa million 10 huo ujinga sifanyiUkiwafanya wacheke, utafurahia huduma
Acha kabisa walimchoma mtoto wangu mkono wakitafuta mshipa, inshort walimtesa kidogo.Hiyo ni kweli, niliwahi kufika hapo miaka fulani na dharula fulani maeneo muhimu, vitoto vidogo vimenizunguka havijui hata la kufanya, vinaona aibu kuangalia nikaondoka zangu.
Nikaenda kutibiwa sehemu nyingine na shida yangu iliisha.
Msimbe ndio nini mkuu samahani lkn!Pumbavu sana. Wewe ni kibakuri tuu. Agakhan mwaza hapo wana madakitari Bingwa karibu idara zote. But wewe na majungu yako ya kifrica. Utakuwa mtoto wa MSIMBE
Wewe ni muongoHiyo ni kweli, niliwahi kufika hapo miaka fulani na dharula fulani maeneo muhimu, vitoto vidogo vimenizunguka havijui hata la kufanya, vinaona aibu kuangalia nikaondoka zangu.
Nikaenda kutibiwa sehemu nyingine na shida yangu iliisha.
Hapo hali ndio hilivyo, tafuteni madaktari bingwa wa full-timeWewe ni muongo
Wewe ni muongoHapo hali ndio hilivyo, tafuteni madaktari bingwa wa full-time
Madaktari bingwa wapo hospitali za serikali wanapiga full time, part time ndio wakuja huko kwenu, operation nyingi kubwa lazima madaktari wakubwa watoke government hospitals.
Niwali kwenda Agkani kitu nilicho gundua wale wana Vifaa ila si kwamba wana Madakitari bora hapana, madakitari wao wengi ni wa kawaida kabisa kinacho ibeba ni vifaaNdugu wanajamvi.
Nimeona nilete hili kwenu natumaini wengi wenu mliowahi kwenda Hospital ya Aghakan pale mjini mme notice kuwa madaktari wengi ni wanafunzi ambao hawana uzoefu. Na wengi hurudi kwenye kusoma Notice ili kujua mgonjwa anasumbuliwa na nini..?
Nilimpeleka mtu mida ya usiku emergency kwa kweli nilipata wasiwasi maana wengi waliokuwa pale reception walionekana kutojua vitu, wengine hata kuandaa drip ilikuwa ni tatizo mpaka wapeane msaada wenyewe kwa wenyewe. Kwa kweli niliogopa sana na sikuamini hospital kubwa kama ile kuwa na mdaktari ambao hawana uzoefu tena sehemu ya emergency.
Private wana vifaaa ila hawana Madakitari watu hawajagundua hiloHospitali za serikali pekee ndio zina madaktari wabobezi katika ukanda wetu huu wa Afrika; pelekeni wagonjwa wenu kwenye hospitali za umma, ata ukimchangia mafuta kidogo sio mbaya, kuliko kwenda huko private ambapo wako profit oriented.
Aliingia akiwa yuko ok wakamwambia afanyiwe operation. Baada ya operation siku ya tatu usiku akazidiwa , wakampeleka ICU huko nako kuna uzembe ukafanyika basi mungu akampenda zaidi.Mgonjwa wako alipona au alipendwa zaidi?
Tatizo hakuna senior naona wanaachwa wenyewe tuu. Jaribu kwenda emergency usiku ndio utao walioko.Sasa watajifunzaje?
Tatizo ni kuwa peke yao bila supervision ya senior wao.
Hapo utakuwa wamemwambia lazima kisu faster ili wapige pesa. hatari sanaaa...!! Hospital za serikali watu wanajifungua njia ya kawaida. Ukienda private kidogo wanakwambia hapa bili kisu itakuwa tatizo. Tuwahi na kisu tuu..Public hospital usiwe na mkono wa kichoyo mim kuna rafiki yangu mke wangu kajifungia agha khan katoa million 10 huo ujinga sifanyi
Hii kweli kabisaHospitali za serikali pekee ndio zina madaktari wabobezi katika ukanda wetu huu wa Afrika; pelekeni wagonjwa wenu kwenye hospitali za umma, ata ukimchangia mafuta kidogo sio mbaya, kuliko kwenda huko private ambapo wako profit oriented.
Million 10, kajifungua allien au?Public hospital usiwe na mkono wa kichoyo mim kuna rafiki yangu mke wangu kajifungia agha khan katoa million 10 huo ujinga sifanyi