Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Hospitali ya Al Shifa ndio eneo la mwisho la mapigano

Ndio maana vita ilipokolea ambulance gaza zilikuwa nyingi zinakimbia huku na kule kumbe zinasafirisha silaha na Askari wa Hamas .Jeshi la IDF la Israel lilipogundua ki ambulance chochote kikipiga king'ora sijui kinaenda wapi au kutaka kuingia hospitali kinatandikwa bomu au kombora popte kinapiga king'ora

Yalikuwa yanatumika Kama njia ya kusafirisha Silaha. Baada ya kushambuliwa Silaha zikaisha.
 
Sasa sijui watajificha wapi. Wamechokoza watu ,wakidhani walikimbilia kuweka Kambi makanisani, misikitini, mahospitalini mashuleni na sehemu nyingine za kijamii na kuanza kurushwa mabomu wataachwa? Wayahudi Wana sayansi kubwa ya vita ya kugundua Wana ramani yote!! Kombora likifyatuka wanatumia G.P.S za kisasa kujua limetokea wapi. Kimsingi kama watoto, wanawake na raia watapata madhara kwenye hii vita wa kulaumiwa ni Hamas kwa kukiuka sheria za kibinaadamu kwa kutumia raia kama silaha au kinga
 
Ni tahadhari gani wanayochukua wakati wanaua vichanga visivyo na hatia, ata jwtz wasingefanya ujinga kama wanaofanya majeshi ya israel, majeshi yetu yameshiriki misheni nyingi lakini huwezi kusikia wameua raia au waandishi wa habari, target ni adui tu.

Israel alishatoa tangazo watu wahamie upande wa pili, na akatoa na muda. Sasa Hamas kazuia watu wasitoke ili awatumie Kama Kinga. Kama Jana alichofanya Ahmed Siam kukimbilia Shule ya Al Buraq na kundelez mashambulizi. Israel ikaamua kulipua eneo la shule kumbe wamefichwa watoto mle ndani. Watu hamsini wakafa mle.
 
Sahihi yaani kama wamekufa hatabaki Hamas Gaza hata mmoja hii vita ya sasa ni kuhakikisha kwanza mateka wanapatikana wazima ndio Israel itaweza sema mapigano yasimame au la wanataka watu wao wote waliotekwa na Hamas kama Hamas watawaua hakuna Hamas atabaki Gaza na eneo lote la Gaza litakuwa chini ya majeshi ya Israel forever litakaliwa kwa nguvu forever Litakuwa sehemu ya Israel mia kwa mia sasa na hata milele

Na Israel alishasema mapema. Toeni mateka tutasitisha mapigano. Hamas wakawa wajeuri wanaringia mahandaki yao.
 
Sasa sijui watajificha wapi. Wamechokoza watu ,wakidhani walikimbilia kuweka Kambi makanisani, misikitini, mahospitalini mashuleni na sehemu nyingine za kijamii na kuanza kurushwa mabomu wataachwa? Wayahudi Wana sayansi kubwa ya vita ya kugundua Wana ramani yote!! Kombora likifyatuka wanatumia G.P.S za kisasa kujua limetokea wapi. Kimsingi kama watoto, wanawake na raia watapata madhara kwenye hii vita wa kulaumiwa ni Hamas kwa kukiuka sheria za kibinaadamu kwa kutumia raia kama silaha au kinga

Kweli kabisa angeruhusu watu wahame , yeye akawa shikilia kwa vitisho. Mwishowe wote wamebanwa hospitalini hamna kutoa mpaka operation iishe.
 
Wewe ita majina yote lakini kwa moto hii mliopelekewa itabidi msiusahu kwa miaka 100 , yaani mkitaka kuanzisha chokochoko na mkikumbuka jinsi myahudi alivyowafanya mtajikuta mnatulia

Hicho kipigo ni zaidi ya vyote. Walidhani utani.
 
Hicho kipigo ni zaidi ya vyote. Walidhani utani.
Hakika shujaa muongoza njia alisha sema kuwa ogopa Mungu na teknolojia.

Siku mbili zilizo pita ulituambia eneo hilo limesha tekwa.
Screenshot_20231111-174910.jpg
 
Ustaadh unabisha ujinga wakati kila dkk mnakufa kama panya videos mnachukulia wapi wakat mko chini ardhi kama panya
We bint wa mombasa bora kauze sambusa vita unavijua wapi wewe.

We unadhani hivyo vifaru vitatoka hapo Gaza
 
Kwa Sasa mapigano ya IDF na Hamas yanakaribia mwisho. Eneo la Hospitali ya Al Shifa na Hospitali ya Rantisi ndio yalikuwa maeneo magumu kwenye mapambano ya Hamas na IDF.

Kwenye Hospitali ya Rantisi jijini Gaza iligundulika kwamba Hamas waliwaficha raia karibia 1000 humo ndani. Baada ya mapigano makali Kiiongozi wa Hamas aitwaye Ahmed Siam alikimbilia kwenye shule iittwayo Al Buraq hapo jijini Gaza. Baadae IDF waliamua kumuua Siam na wapiganaji na watu wengine hamsini waliokuwa wamejificha kwenye shule hiyo.

Kwa Sasa eneo liliobakia ni hiyo Hospitali ya Al Shifa ambako mapigano makali yanaendelea kati ya IDF na Hamas. Israel imetoa muda wa raia kuondoka ili ishughulike na Hamas waliobakia kwenye Handaki huko Chini.

Kwa habari za chinichini inasemekana mateka wapo Chini kwenye Handaki ya Hospitali hiyo. Pia wapiganaji wa Hamas waliokamatwa wamedai kiongozi wao Yahya Sinwar amejificha huko Chini.

Israel wakifanikwa kuwatoa raia eneo Hilo na kuwapata mateka hao kazi itakuwa imeisha. Kinachochelewesha operation hiyo ni uwingi wa raia waliokwama kwenye eneo Hilo, hivyo kuwafanya IDF kuwashambulia Hamas kwa tahadhari.
Hayo mapigano ya mwisho bado hayawezi kuimaliza Hamas, sana sana yataleta vifo vingi na maafa kwa raia wema wa Palestine.

Huwezi kuimaliza ideology kwa bunduki na mabomu pekee, hata Marekani ni shahidi kwa alichokivuna kutoka kwa Taliban kule Afghanistan.
 
Mkuu Mimi siko biased. Naangalia kwenye Al Jazeera Hospitali imefungwa geti na hakuna mtu kutoka. Ukitoka tu unalambwa Shaba. Kuna mtu na mke wake wamelambwa Shaba live, halafu wewe unadai ni propaganda. Ndio maana nikaomba Israel asitishe haya mapigano.
Yani mnataka kutuletea Hollywood movie mpya kama hi eti wamekuta kiwanda cha ndege chumbani hivi mtu mwenye akili atawasikia hawa wajinga 😄


View: https://youtu.be/9JEJsv5iOQ4?si=b5IvThj0hQb1L8Bs

Labda makondoo tu kama wao ndio watamini.

Sa kwanini wasiingie watuonyeshe Central command ya Hamas 😄
 
Ngoja tusubiri majibu ya kikao cha dharula kilichofanyika Saudia leo kitakuja na majibu gani.
 
Back
Top Bottom