Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
 
Picha
 
Hakuna ghrorofa 40 Arusha
 
Hizo ulizoandika ni hadithi tupu, hakuna ghorofa lenye urefu huo hapa Tanzania, kama unaamini hicho ulichopost njoo na picha hapa na sio blah blah.
Sema arusha ila Tanzania ghorofa 40 zipo nyingi kaka ama wasema tanzania ya makunduchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…