Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Nauli ya Arusha-Dar pls,nataka nikaone the tallest building in Tanzania...
Usijisumbue mkuu, Hakuna kitu kama hicho, Ngorongoro building yenye ghorofa 12 inaonekana mji mzima, ukiwa Nanja hadi waya, njiro hadi muriet linaonekana, hilo la ghorofa 40 si tungeliona hata tukiwa chumban mkuu? Huyo jamaa ameota!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Usijisumbue mkuu, Hakuna kitu kama hicho, Ngorongoro building yenye ghorofa 12 inaonekana mji mzima, ukiwa Nanja hadi waya, njiro hadi muriet linaonekana, hilo la ghorofa 40 si tungeliona hata tukiwa chumban mkuu? Huyo jamaa ameota!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nitatuma picha Ili kukuonyesha sijaota
 
Usijisumbue mkuu, Hakuna kitu kama hicho, Ngorongoro building yenye ghorofa 12 inaonekana mji mzima, ukiwa Nanja hadi waya, njiro hadi muriet linaonekana, hilo la ghorofa 40 si tungeliona hata tukiwa chumban mkuu? Huyo jamaa ameota!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
068 200 5128
Utapata habari kama ni Kweli au la
 
Back
Top Bottom