Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Utaitwa ng'ombe nimekaa paleEneo hotel ilipojengwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaitwa ng'ombe nimekaa paleEneo hotel ilipojengwa
Tatizo watanzania ni matomaso, fika Kiligof maji ya Chai Arusha ujionee mwenyewe Ukitoka huko ukaipe ccm kura 2025Hakuna ghrorofa 40 Arusha
Usijisumbue mkuu, Hakuna kitu kama hicho, Ngorongoro building yenye ghorofa 12 inaonekana mji mzima, ukiwa Nanja hadi waya, njiro hadi muriet linaonekana, hilo la ghorofa 40 si tungeliona hata tukiwa chumban mkuu? Huyo jamaa ameota!Nauli ya Arusha-Dar pls,nataka nikaone the tallest building in Tanzania...
Ulikaa pale mwaka Jana . Hotel imejengwa mwaka huu kama uyoga mkuu. Uliza uliowaacha pale wakusimulieUtaitwa ng'ombe nimekaa pale
Nitatuma picha Ili kukuonyesha sijaotaUsijisumbue mkuu, Hakuna kitu kama hicho, Ngorongoro building yenye ghorofa 12 inaonekana mji mzima, ukiwa Nanja hadi waya, njiro hadi muriet linaonekana, hilo la ghorofa 40 si tungeliona hata tukiwa chumban mkuu? Huyo jamaa ameota!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
NakaziaPicha tafadhali tujionee uzuri
Bc n knomaUlikaa pale mwaka Jana . Hotel imejengwa mwaka huu kama uyoga mkuu. Uliza uliowaacha pale wakusimulie
NakaziaUzi bila Picha yafaa ku ususia haufai kuendelea kufanya mijadara juu yake
Nakazia
068 200 5128 Piga namba hii ulizia kama nimeotaNakazia
068 200 5128Bc n knoma
068 200 5128Uzi bila Picha yafaa ku ususia haufai kuendelea kufanya mijadara juu yake
068 200 5128Usijisumbue mkuu, Hakuna kitu kama hicho, Ngorongoro building yenye ghorofa 12 inaonekana mji mzima, ukiwa Nanja hadi waya, njiro hadi muriet linaonekana, hilo la ghorofa 40 si tungeliona hata tukiwa chumban mkuu? Huyo jamaa ameota!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa kupiga hy namba ndio kuthibitisha.?068 200 5128
Utapata habari kama ni Kweli au la
Wewe si ndiye umileta hii habari,tuwekee picha ili twende sawaTatizo watanzania ni matomaso, fika Kiligof maji ya Chai Arusha ujionee mwenyewe Ukitoka huko ukaipe ccm kura 2025
Mods wafute huu uzi wa kijingaTatizo watanzania ni matomaso, fika Kiligof maji ya Chai Arusha ujionee mwenyewe Ukitoka huko ukaipe ccm kura 2025