mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ila Sasa hivi matajiri wanapumua .Kuna gorofa pale africana lilianza kujengwa kipindi cha kikwete mwishoni,alipoingia magufuli likasimama mazimaaa kujengwa .ila alipoingia Samia naona ujenzi unakaribia kuisha