Hoteli ya Sugu iwafumbue macho vijana kuhusu nguvu ya uwekezaji

Ninakuhakikishia 100% kuwa mimi sio wa buku 7 ; ninajitambua na situmwi na mtu , na nina uhakika wa chakula na malazi yangu na familia yangu siku zote za uhai wetu!!!
Unatumwa na mkeo tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
 
Raisi anajishusha Sana....Kila Jambo hata dogo....anajihusisha...Mi nadhani hakukuwa na haja ya kujitangaza na kumtuma Mkuu wa mkoa kwamba Yeye kama Raisi ndiye anazuia uvunjaji wa hoteli ya Sugu. Angeweza kufanya hilo pasipo Tanzania nzima kujua.
 
Raisi anajishusha Sana....Kila Jambo hata dogo....anajihusisha...Mi nadhani hakukuwa na haja ya kujitangaza na kumtuma Mkuu wa mkoa kwamba Yeye kama Raisi ndiye anazuia uvunjaji wa hoteli ya Sugu. Angeweza kufanya hilo pasipo Tanzania nzima kujua.
Katumia hekima kubwa wapo wasaidizi wanafanya mengi ya hovyo kuwakomoa wenye mawazo mbadala wakidhani watamfurahisha mkuu, ama kwa mwavuli kawatuma, kawapiga stop order. Hatua ya kupongezwa kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
 
Katumia hekima kubwa wapo wasaidizi wanafanya mengi ya hovyo kuwakomoa wenye mawazo mbadala wakidhani watamfurahisha mkuu, ama kwa mwavuli kawatuma, kawapiga stop order. Hatua ya kupongezwa kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
Acha unafiki, kuiba kura na kutangazwa wasio shinda mbona ajitokezi kukemea?, Ndugai kuponda katiba kwa nini ajitokezi, jambo baya likimfurahisha tu utulia utafikiri yupo USA, kumbe hapo tu chato!
 
Vijana wenye masikio na msikie,wazee wenzangu tu_relax
 
Mkuu hueleweki,

Mwanzoni umesema wewe ni mzee,( sisi tulio uzeeni), baadae umesema unawaomba vijana wenzako mjitahidi! Ila hoja yako iko vizuri.
This is JF[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Completely wrong and misleading people et kila rich family have dirty stories behind. Kuna watu ni rich and they are clean
 
Katumia hekima kubwa wapo wasaidizi wanafanya mengi ya hovyo kuwakomoa wenye mawazo mbadala wakidhani watamfurahisha mkuu, ama kwa mwavuli kawatuma, kawapiga stop order. Hatua ya kupongezwa kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
Amewachukulia hatua gani hao wasaidizi wake waliotaka kuvunja hoteli ili kumfurahisha yeye.
 
Mwanzon umesema we mzee, katikati unawaasa vijana wenzako
 
Ukipat
Completely wrong and misleading people et kila rich family have dirty stories behind. Kuna watu ni rich and they are clean
Ukipata vihela vyako km ni mfanyabiashara basi Freemason,au msukule,km uko kwa ajira basi umefisadi.ndio mawazo ya watu siku hizi.huna kitu Ni shida pia.
 
Ukipat
Ukipata vihela vyako km ni mfanyabiashara basi Freemason,au msukule,km uko kwa ajira basi umefisadi.ndio mawazo ya watu siku hizi.huna kitu Ni shida pia.
Hya mawazo yamejaa sana kwenye jamii. Watu hawaamini km mtu anaweza pambana mpaka akapta na kuondokana na umasikin. Kijana akomaa Usk na mchana toka kua chinga au ansoma kwa kuunga unga mpka anamaliza anpata kazi shirika zuri kam UNDP au UNFPA analipwa vzr akienda kwao kufanya maendeleo hata kuwajengea wazazi wake unasikia Freemason hyu alkua masikin tu hapa leo anawajengea wazazi jumba lote hilo?
Sasa hua najiuliza kama hyo Freemason ipo na waende wajiunge nao wapte? Tunakwamishana sana na kuwavunja vijana moyo kutafuta maisha kwa aina hizi za mawazo
 
Umesomeka mkuu,ina maana ulikuwa unapiga zaid ya mil 100.Hongera saana,vipi sasa mbona watu wengi wanasema kilimo ni kama kubahatisha ama pata potea? Wewe ulikuwa unatumia mbinu gani..
Angekuwa anatengeneza profit hizo asingetoka huko, jiongeze kidogo......
 
Raisi anajishusha Sana....Kila Jambo hata dogo....anajihusisha...Mi nadhani hakukuwa na haja ya kujitangaza na kumtuma Mkuu wa mkoa kwamba Yeye kama Raisi ndiye anazuia uvunjaji wa hoteli ya Sugu. Angeweza kufanya hilo pasipo Tanzania nzima kujua.
Unakuwa kama mgeni nchini!!!?
au nasema uongo ndugu zangu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…