Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Mama ndio mwenyekiti wa CCM na wamempitisha kwa 100% .kauli ya mwenyekiti ina nguvu
 
Tunakoelekea Mama ataipatia Tanzania Katiba Mpya. Trust Me
Hapo ni shida,sio japo rahisi mkuu.mwiji,mkapa,kikwete,jpm,wote walisita kufanya hivyo,hili Jambo sio rahisi ,ni uwe tayari kubeba eidha lawama au sifa,na pia uwe tayari kukabiliana na lolote litakalojili baada ya uamuzi.ngoja tuone!
 
Kabisa!

Kinadharia ni jambo zuri sana.

Ila kiuhalisia…hmm!!
 

Labda baafa ya 2025. Ila kwasasa ajikite kutengeneza democrasia na kuacha siasa huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…