Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Mama anapoteza maboya,anataka kutuaminisha kwamba anairudisha Nchi kwenye Misingi ya Demokrasia.
 
Hamtalalamika kweli? Maana magu alimteua anna mghwira mkaanza kulialia
 
Mataga kwiiiishaaaaaaaaaaaaa niliwaambia kupitia jukwaaaa hili hili kuwa habari za jiwe sasa ndiyo basi tena.
Mwambie lisu aachane na amsterdam arudi huku rais ampe kazi ya kufanya.

Hata lema pia mwambie habari ya kuishi ugenini haifai
 
Jambo zuri

Lakini asidhani kuwa hii itapoza hitajio letu la kutaka katiba mpya!

Najua Wanasiasa wanaotaka katiba mpya wakipewa vyeo watanyuti, lakini sisi wananchi tunataka KATIBA MPYA
Hiyo ni muhimu kama kupiga mswaki asubuhi
 
Umeharibu uzi wako hapo uliposema akuteue wewe uwe CAG
 
Mataga mjiandae kisaikolojia....NA VILE MNATEGEMEA MAKALIO KUFIKIRI,NA ULIMI KUSIFU NA KUABUDU, MSITEGEMEE TEUZI KABISA..HAPA NI UWEZO TUUU
Hili ndilo la msingi kuliko mengine. Akitimiza ahadi yake kweli basi tutegemee mabadiliko makubwa kwenye siasa za nchi yetu. Atakuwa amekaribisha ushindani na siyo unafiki.
 
Lisu muongo sana afai kuwa mwanasheria,alisema kuna TISS kafa kwa Corona kumbe ni uwongo mtupu.
 
Angekuwa jiwe tayari watu wangesha lizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…