Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Mbele unawasha, Nyuma unawasha! Kotekote unaweza kuvuta!Bwashee umekuwa Sigara kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele unawasha, Nyuma unawasha! Kotekote unaweza kuvuta!Bwashee umekuwa Sigara kali
Mlifirwatwote wote bila shaka yeye bado hajamsamehe kama upande wako marinda yalirudi ni haki yako kusahau na kusamehe adha ya kifiro ulichokuwa unakipata.Wewe K.. Magufuli aliku.f.ir.a nini kabla hajafa!?.. kila post unamuwaza yeye. Punguza jazba kuna maisha baada ya JPM. Samehe na kusahau ma.rinda yatarudi tu. hayupo tena duniani.
Swali lilikuwa specific kwa BAK na nilikiwa na sababu kumuuliza yeye ila wewe uliamua kuvaa viatu vyake..... hukunijibu ila ukazunguka zunguka weeeee kisha ukaja na hoja za kuniuliza mm ni nani JF🤣Uzi uko page ya 12 bado unavamiwa? Ungekuwa na post mbili ungesemaje?
Sasa hapa unapinga au unakubali?Wacha kujibaraguza ukweli mnaumia sana kuona mama anaiondoa nchi kwenye genge hatari na kuirudisha kwenye mikono salama
Wewe hapa tupo tz! Na hao sukuma gang tunasubiri waje wawapelekee bavicha moto hiyo 2025 kwenye uchaguzi mkuu ndio warudi kwao.Tumedhamilia kuwahamisha mataga wrote na kundi lenu la sukuma gang mrudi kwenu rwanda na burundi mliko zoea machafuko.
Muda wenu umekwisha maana baba yenu hayupo tena duniani.
Atawapiga pin nani sasa kina Lisu?Na hapo bado mama Samia atawapiga pini hadi mtatamani dunia ipasuke shenzi
lissu arudi apate kuwa mwanasheria mkuu wa serikaliSasa hapa unapinga au unakubali?
Maana tukisema tumuunge mkono mama yetu kwa nia yake ya kutaka kuwapa kazi wapinzani unakuja na vijimaneno vya hovyo
Weka ushahidi hapaUnauliza hirizi Tanga?
Mataga ntaambia nini watu mimi
Kabisa, tutafanya vetting kama ana faaNa mke wa Mbowe mumpe wilaya ya Chato kabisa.
Aisee... Mpe pole sana mwambie aje tumpe kaziKwa mume wako
Hahahaha yaani mimi nisijue nini vile? Hebu rudia? Hivi unajua hata origin ya huu msemo wapi ulitoka? Then nyie mboga mboga mkauiba kama kawaida yenu?Yawezekana haujui kirefu cha MATAGA
MAke TAnzania Great Again (MATAGA).
SASA soma maelezo ya Mama hapa chini
Upo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Lisu kawa mtangazaji?Niliona mitandaoni ameanza kazi wiki hii katika kituo cha redio, na mtu wa kwanza kumuhoji alikuwa mwenyekiti wa CDM
Ila Mama akiweza kuondoa at least 50% regime ya mwendazake itapendeza sanaKabisa Mkuu kainusuru sana nchi yetu kwani hofu ilikuwa imetanda nchi nzima sasa furaha na matumaini vinarudi taratibu.
Halafu hizi JF ID za 2009 kurudi nyuma huwa nazichukulia kwa uzito mkubwa, ujue hili Mkuu.Hahahaha yaani mimi nisijue nini vile? Hebu rudia? Hivi unajua hata origin ya huu msemo wapi ulitoka? Then nyie mboga mboga mkauiba kama kawaida yenu?
Hahahaha sasa imekuaje tena Mpwa ukanishusha hadhi kiasi hicho? Huu ni mwaka wa 13 humu ndani Mpwa, basi yameisha! Kazi iendeleeHalafu hizi JF ID za 2009 kurudi nyuma huwa nazichukulia kwa uzito mkubwa, ujue hili Mkuu.
Mkuu, kwa hapa Tanzania na kwa mazingira ya nchi yetu kwa sasa; je, hao minority ni akina nani ama ni makundi gani ndani ya jamii yetu ya kitanzania?Kha...mbona hii ni habari isiyo habari Labda amemaanisha "ataendelea" kuteua Watanzania bila kujali itikadi zao. Binafsi ningependa kuona minority wanaingizwa katika utumishi.