NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nayeye alidanganywa,hata makamo wake ambae ni Rais wa sasa pia alisema Rais ni mzima na anachapa kazi.Umesahau waziri mkuu alidanganya taifa kuwa marehemu dikiteta magufuli tu bukheri na afya njema, kumbe tayari alikuwa keshang'ata shuka?